Manji: TFF na BMT wanafanya njama jina langu likatwe ili nisigombee Yanga, nina ushahidi wa sauti



Heee, kumbe YANGA upo mgogoro, anayebisha basi ataona matokeo yake...ngoja niishie hapa...lakini sina hakika kama kasi ya serikali ya awamu ya tano inaendana na kasi hii ya YANGA, tusubiri tuone...I smell a rat...
 
Seriously nataka kujua mpaka anafikia stage ya ku hire private investigator na ku rekodi mazungumzo binafsi (sheria hapa imekaaje) ili tu apate uongozi Yanga.


Hapa ndipo ulipogusa, there is a problem somewhere, tutasikia mengi katika hili...nakwambia there is something wrong somewhere...
 
Seriously nataka kujua mpaka anafikia stage ya ku hire private investigator na ku rekodi mazungumzo binafsi (sheria hapa imekaaje) ili tu apate uongozi Yanga.
Manji ni mfanyabiashara mkubwa hapa Tanzania so usishangae yeye kuwa na mlinzi kutoka nje,unakumbuka yule jamaa wa Home Shoping Centre alivyomwagiwa tindikali ?
 
Seriously nataka kujua mpaka anafikia stage ya ku hire private investigator na ku rekodi mazungumzo binafsi (sheria hapa imekaaje) ili tu apate uongozi Yanga.
Kwa upeo wangu mdogo naona kama kaingilia faragha za watu.
 
Mi nashangaa Tff kupanga uchaguzi Yanga mbona klabu zipo nyingi hawaitishi uchaguzi huko. Ndio mara ya kwanza kusikia tff kusikia wakishinikiza uchaguzi
 
Katiba ya yanga inasemaje kuhusu ukomo Wa vipindi vya uongoz kwa mwenyekiti...

Hili swali nasikia wahindi weusi Wa yanga hawataki kulisikia
 
Hahhahahahaha tumevurugana sana sasa zamu yetu.
 
Seriously nataka kujua mpaka anafikia stage ya ku hire private investigator na ku rekodi mazungumzo binafsi (sheria hapa imekaaje) ili tu apate uongozi Yanga.

Sio apate yeye ndio kiongozi halali sasa kwanini mpitie njia ya mkato kumtoa. Anakodi private investigator na mbona amekodi mpaka kocha wa kufundisha Yanga hukuuliza?
 
Yalishasemwa haya, Yanga uchaguzi ulitakiwa kufanyika zamani badala ya Manji kuendelea kuitawala klabu kwa ujanja ujanja ilihali hana mpinzani wa kumsumbua.

Kutokufanyika uchaguzi kwa muda mwafaka ni kukaribisha matatizo yasiyo ya lazima kwa kuwa kuna wengine wanatamani kuwa viongozi hata kama hawawezi kuwa na mafanikio zaidi ya haya, lakini ni kuwapa nafasi wapinzani wako maana ni kujidanganya kuwa Manji anapendwa na watu wote pale Yanga.
 
kati ya yote namuunga mkono kukataa mikataba ya kinyonyaji ya TFF lakini hajaeleza baada ya kukataa amefanya nini
Huyu mtu yanga watakuja kumchukia sana kwani muda wote ambao amekuwa kiongozi pamoja na kutengeneza migogoro ya kikatiba bado hajaiwezesha yanga kujitegemea na utumbuaji wa majipu wa Magufuli sasa hivi atakimbia yanga ndipo yanga itakapoanza kugeuka opmbaomba
 
Mimi napenda sana simba hila kwa hili TFF wanataka yanga kuingia kwenye migogoro halafu sura za waliochukua fomu wote hali wanataka kupiga hela...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…