Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwa kuwa kikwete ni mwanachama sioyanga ni taasisi kubwa ukicheza nayo unaenda na maji, hao tff walioshiriki mpango huo ovu wajiandae
Mi nimepapenda hapo tu...Manji anakataa mikataba ya kinyonyaji...kwi kwi kwikati ya yote namuunga mkono kukataa mikataba ya kinyonyaji ya TFF lakini hajaeleza baada ya kukataa amefanya nini
Huyu mtu yanga watakuja kumchukia sana kwani muda wote ambao amekuwa kiongozi pamoja na kutengeneza migogoro ya kikatiba bado hajaiwezesha yanga kujitegemea na utumbuaji wa majipu wa Magufuli sasa hivi atakimbia yanga ndipo yanga itakapoanza kugeuka opmbaomba
Mimi napenda sana simba hila kwa hili TFF wanataka yanga kuingia kwenye migogoro halafu sura za waliochukua fomu wote hali wanataka kupiga hela...
Naomba kujua mgogoro uliopo ni kati ya makundi ndani ya Yanga au kati ya Yanga na TFF/BMT?Yalishasemwa haya, Yanga uchaguzi ulitakiwa kufanyika zamani badala ya Manji kuendelea kuitawala klabu kwa ujanja ujanja ilihali hana mpinzani wa kumsumbua.
Kutokufanyika uchaguzi kwa muda mwafaka ni kukaribisha matatizo yasiyo ya lazima kwa kuwa kuna wengine wanatamani kuwa viongozi hata kama hawawezi kuwa na mafanikio zaidi ya haya, lakini ni kuwapa nafasi wapinzani wako maana ni kujidanganya kuwa Manji anapendwa na watu wote pale Yanga.