Manji: TFF na BMT wanafanya njama jina langu likatwe ili nisigombee Yanga, nina ushahidi wa sauti

Manji: TFF na BMT wanafanya njama jina langu likatwe ili nisigombee Yanga, nina ushahidi wa sauti

Manji abaki Yanga simba nao wampe MO na huku Azam ili mtajiri washindane huku wanachama, wapenzi na mashabiki tukipata raha huku tukipigana vijembe vya hapa na pale.
 
Manji abaki Yanga simba nao wampe MO na huku Azam ili mtajiri washindane huku wanachama, wapenzi na mashabiki tukipata raha huku tukipigana vijembe vya hapa na pale.
...... Na huku maisha yakisonga maana hakuna namna sasa.
 
yanga ni taasisi kubwa ukicheza nayo unaenda na maji, hao tff walioshiriki mpango huo ovu wajiandae
 
kati ya yote namuunga mkono kukataa mikataba ya kinyonyaji ya TFF lakini hajaeleza baada ya kukataa amefanya nini
Huyu mtu yanga watakuja kumchukia sana kwani muda wote ambao amekuwa kiongozi pamoja na kutengeneza migogoro ya kikatiba bado hajaiwezesha yanga kujitegemea na utumbuaji wa majipu wa Magufuli sasa hivi atakimbia yanga ndipo yanga itakapoanza kugeuka opmbaomba
Mi nimepapenda hapo tu...Manji anakataa mikataba ya kinyonyaji...kwi kwi kwi
 
Mimi napenda sana simba hila kwa hili TFF wanataka yanga kuingia kwenye migogoro halafu sura za waliochukua fomu wote hali wanataka kupiga hela...

Yalishasemwa haya, Yanga uchaguzi ulitakiwa kufanyika zamani badala ya Manji kuendelea kuitawala klabu kwa ujanja ujanja ilihali hana mpinzani wa kumsumbua.

Kutokufanyika uchaguzi kwa muda mwafaka ni kukaribisha matatizo yasiyo ya lazima kwa kuwa kuna wengine wanatamani kuwa viongozi hata kama hawawezi kuwa na mafanikio zaidi ya haya, lakini ni kuwapa nafasi wapinzani wako maana ni kujidanganya kuwa Manji anapendwa na watu wote pale Yanga.
Naomba kujua mgogoro uliopo ni kati ya makundi ndani ya Yanga au kati ya Yanga na TFF/BMT?
 
Back
Top Bottom