Manufaa ya mkojo na kinyesi cha sungura

Manufaa ya mkojo na kinyesi cha sungura

Wakuu habarini!?, kumekuwa na habari za mkojo wa Sungura kuwa ni dili sana mjini. Naomba kujuzwa huu mkojo wa Sungura unauzwa na kununuliwa wapi hapa Tz. Pia kwa wanaojua bei yake kwa lita 5 anijuze pia wakuu. Asanteni
Soko hili lipo Kenya na hata kwa baadhi ya wakulima hapa nchini sema linategemea sana nanuhitaji wake,mie nafuga sungura kutoka Kenya but now days wanalalamika hata huko kwao uhitaji umepungua.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hiyo Avatar yako ni kinyume na haki zinazomlinda mtoto.
 
Hiyo Avatar yako ni kinyume na haki zinazomlinda mtoto.

Ni kweli mkuu, nitaifanyia kazi ujumbe niliokusudia wasilisha ukikamilika. Kile kitu kinachoitwa "mama mlinde mwanao" ila shukrani kwa kuwajali awa watoto pia.
 
Ni kweli mkuu, nitaifanyia kazi ujumbe niliokusudia wasilisha ukikamilika. Kile kitu kinachoitwa "mama mlinde mwanao" ila shukrani kwa kuwajali awa watoto pia.
asee itoe hiyo ni dhambi mbele za aliyekuumba
 
Ndugu Habari za Muda huu.

Zingatia kichwa cha habari hapo.

Kijana wa mdogo wangu anafuga Sungura, na amedokezwa juu ya biashara ya mkojo wa wanyama hao. Kuwa unahitajika kama Booster kwenye mazao ya Horticulture.

Miundombinu ya Kuteka mkoja huo katika mabanda ya Sungura unaendelea kwa sasa. (Almsot kuisha).

Changamoto aliyonayo ni kuwa afahamu kwa uhakika ni wapi ba nani anayenunua na ni bei gani kwa lita moja, awali tuliambiwa ni 5,000/=TSHS kwa lita moja.

Arusha aliagizwa Tengeru atapata mteja. Lakini pale Tengeru ni nani haswa au ni Taasisi ipi kati ya zile za kilimo zilizoko pale zinafanya biashara hii ndio swali tulokosa jibu.

Ndugu kwa anaefahamu tunaomba msaada ili kijana nae ajikwamue kupitia Fursa hii.

Nawasilisha
 
Back
Top Bottom