Sikumbuki vizur ni mwaka juzi lakini zaidi ya 28$.Sema mtandaoni kila seller na bei yake..Club nuit bei yake ipoje
Sent using iPhone
Kwamimi naona haziko sawa.Kama moja nilionunua mlimani mwanzo ukijipulizia ni very hash baada ya muda unapata harufu nzuri iliyopoa ya full bubble gum.Kwa kweli nilipendezwa nayo.Tatizo ni longitivity...Naomba kuuliza hivi hiz perfume zinazouzwa kwa mils , unakuta unaambiwa 1 million mils 50 ni 35000, hivi ziko sawa kweli na original maana wengine wanakwambia ni laki 300,000 zina utofauti gani !? Na perfume original nitapata wap
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwamimi naona haziko sawa.Kama moja nilionunua mlimani mwanzo ukijipulizia ni very hash baada ya muda unapata harufu nzuri iliyopoa ya full bubble gum.Kwa kweli nilipendezwa nayo.Tatizo ni longitivity...
Sent using Jamii Forums mobile app
Mlimani ndo zinapatikana kwa wingi au sehem nikapata perfume original
Sent using Jamii Forums mobile app
Hiyoo hapo kwa PichaClub nuit bei yake ipoje
Sent using iPhone
BeiPolo Explorer au 212 ile ya kopo jeupe la mstatili sio mchezo