KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

KERO Manukato ya Mhudumu wa BM Coach yanaleta usumbufu kwa abiria

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Donkey

JF-Expert Member
Joined
Dec 17, 2010
Posts
1,499
Reaction score
1,584
Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.

Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
 
Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.

Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
Weee naye mbona una kisolokonywi sana??
 
Kwani unakaa na huyo mhudumu mwaka mzima? Siku nyingine tumia usafiri binafsi.

Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.

Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
 
nashauri mabasi yawe na site ama page kwenye mitandao na ziwe active ili kama kuna kero mtu aiseme humo ni rahisi kwao kuona.
 
Kwani unakaa na huyo mhudumu mwaka mzima? Siku nyingine tumia usafiri binafsi.
Issue siyo kukaa na muhudumu issue ni general hygiene Kwa watoa huduma kuzingatia basi linabeba watu wazima na wagonjwa, Ulishaona wapi hotel kubwa muhudumu kijipuliza Manukato au kafuga kucha kubwa
 
Back
Top Bottom