HUMAN ERROR
JF-Expert Member
- Sep 8, 2024
- 318
- 627
Tulia solve issue yako kistaarabuNikusumbue vipi kwani jinsi Yako hainusi harufu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia solve issue yako kistaarabuNikusumbue vipi kwani jinsi Yako hainusi harufu
Mkuu fanya hivi kutatua humohumo pandisha majini yani vurugika haswa pasikalike huku ukimfata huyo muhudumu kwa kelele za kijini na vitisho haswa yani jini jini kweli jina nginjanginja!.. halafu wakikuhoji waambie hujapendezwa na harufu ni kali mno mpk jini kutoka oman limeamua kupanda halafu kwa swaga unapiga maneno mawili ya kiharabu al habib mujarab alkasusu bin shabab Al-Qaida!..Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.
Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
Sasa wewe unajipulizia KURUTHUMU za bukubuku utulie...hadi manukato mnapangiwa watu aseeee Asee....Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.
Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
Pia Tunakukata mambata ukikaa dirishani na haununui bidhaa zetu waganga njaa....shida yang mim voda mtandao unasumbua sana.
kaa dirishan fungua kidogo
Hana jinsi amevaa sarawili ya kitenge...Nikusumbue vipi kwani jinsi Yako hainusi harufu
Mkuu fanya hivi kutatua humohumo pandisha majini yani vurugika haswa pasikalike huku ukimfata huyo muhudumu kwa kelele za kijini na vitisho haswa yani jini jini kweli jina nginjanginja!.. halafu wakikuhoji waambie hujapendezwa na harufu ni kali mno mpk jini kutoka oman limeamua kupanda halafu kwa swaga unapiga maneno mawili ya kiharabu al habib mujarab alkasusu bin shabab Al-Qaida!..
hiyo show wanaweza kukusamehe na nauli.
Sina Imani potofu hizo. Naamini katika Sayansi tuMkuu fanya hivi kutatua humohumo pandisha majini yani vurugika haswa pasikalike huku ukimfata huyo muhudumu kwa kelele za kijini na vitisho haswa yani jini jini kweli jina nginjanginja!.. halafu wakikuhoji waambie hujapendezwa na harufu ni kali mno mpk jini kutoka oman limeamua kupanda halafu kwa swaga unapiga maneno mawili ya kiharabu al habib mujarab alkasusu bin shabab Al-Qaida!..
hiyo show wanaweza kukusamehe na nauli..🤣
hata mimi naamini kama wewe lkn kuna muda ikifika mbinu zakivita zinahitaji niwe jini nakuwa tu kama naweza!..😂Sina imani
Sina Imani potofu hizo. Naamini katika Sayansi tu
Amejipulizia kwenue bus au nyumbani kwakeBasi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.
Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
Bora anukie vizuri kuliko kunuka makwapa na mdomo kama ilivyo kwa wahudumu wengine.Basi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.
Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
Yes sio vyema kupuliza manukato makali kwenye shughuli inayokutanisha raia kwa ukaribu kama hiyoBasi la VIP Dar kwenda Arusha inakuwaje muhudumu wenu ajipulizie Manukato wakati ndani ya gari kuna air conditioning na madirisha yamefungwa.
Ni usumbufu Kwa abiria na wengine Wana matatizo ya harufu na vifua. Waelemisheni wahudumu wenu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We na hiyo harufu yako ya jasho humsumbui shemeji yako mme wa dada yako hapo home kwake
Shida huwa mbapenda kuminimize essential issues. Hizo fake perfumes na zile advertisement wanazifanya ni shida, last time nusu nizimie. Sipandi tena woooi.NIpo nae hapa nitamwambia abiria hampendi manukato yake.