Manula out Kariakoo derby ya kesho

Manula out Kariakoo derby ya kesho

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO

Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa.

Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno Kakolanya ameshamalizana na Singida Big Stars na tetesi zikisema atajiunga nao msimu ujao.

Maoni yangu
Japo Manula angekuwepo tungepigwa ila sio nyingi but kuto kuwepo Manula kichapo heavyweight kinakuja

WANASIMBA Mnasemaje hapa?

@jr_farhanjr

JamiiForums1345903959.jpg
 
Nakumbuka mechi ya kwanza dhidi ya Simba Benno aliibuka nyota wa mchezo, kwenye marudiano ililazimika kumtumia Kabwili kudaka. Licha ya kudaka Kabwili haikuwa mechi rahisi Kwa Simba hivyo hata Yanga wasitarajie mechi rahisi kisa Manula hayupo.
 
Habari ya kushtua ni kwamba kipa namba moja wa Simba, Aishi Manula anaweza asisimame langoni kesho saa 11:00 jioni dhidi ya Yanga katika pambano la Kariakoo Derby.

Kipa huyo namba moja wa timu ya taifa, bado hajaanza mazoezi hadi jana jioni
 
MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO

Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa.

Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno Kakolanya ameshamalizana na Singida Big Stars na tetesi zikisema atajiunga nao msimu ujao.

Maoni yangu
Japo Manula angekuwepo tungepigwa ila sio nyingi but kuto kuwepo Manula kichapo heavyweight kinakuja

WANASIMBA Mnasemaje hapa?

@jr_farhanjr

View attachment 2588424
aliy ni kipa mzuri sana simba wamkubali tu
 
MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO

Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa.

Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno Kakolanya ameshamalizana na Singida Big Stars na tetesi zikisema atajiunga nao msimu ujao.

Maoni yangu
Japo Manula angekuwepo tungepigwa ila sio nyingi but kuto kuwepo Manula kichapo heavyweight kinakuja

WANASIMBA Mnasemaje hapa?

@jr_farhanjr

View attachment 2588424
Yeyote atakae simama kwenye milingoti mitatu kipigo kipo palepale, wasianze kutafuta sababu
 
MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO

Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa.

Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno Kakolanya ameshamalizana na Singida Big Stars na tetesi zikisema atajiunga nao msimu ujao.

Maoni yangu
Japo Manula angekuwepo tungepigwa ila sio nyingi but kuto kuwepo Manula kichapo heavyweight kinakuja

WANASIMBA Mnasemaje hapa?

@jr_farhanjr

View attachment 2588424
Mwana utopolo unaipenda Simba kuliko utopolo
 
MANULA OUT KARIAKOO DERBY YA KESHO

Kuna uwezekano mkubwa Aishi Manula akakosekana kwenye derby kesho kutokana na changamoto ya majeraha ambapo huenda akafanyiwa upasuaji wiki mbili baada ya hivi sasa.

Uwezekano mkubwa ni Ally Salum akasimama langoni kesho kutokana na ukweli kwamba Beno Kakolanya ameshamalizana na Singida Big Stars na tetesi zikisema atajiunga nao msimu ujao.

Maoni yangu
Japo Manula angekuwepo tungepigwa ila sio nyingi but kuto kuwepo Manula kichapo heavyweight kinakuja

WANASIMBA Mnasemaje hapa?

@jr_farhanjr

View attachment 2588424
Ata angekuwepo bado kichapo angekipata tu, amekuwepo mechi ngapi nabado akapasuka vile vile
 
Back
Top Bottom