HekimaniBusara
Member
- Mar 16, 2017
- 37
- 19
Sio lazaima. unaweza ukatumia namba ya simu na mzigo ukifika posta watakupigia simu.
Nimeshatumia njia ya simu sana.
Samahani naomba niulize, hivi aliexpress ushawahi order na wao ukapata mzigo? nilitaka niwatumie lakini nikawa na wasiwasi. TIA