HekimaniBusara
Member
- Mar 16, 2017
- 37
- 19
Sio lazaima. unaweza ukatumia namba ya simu na mzigo ukifika posta watakupigia simu.
Nimeshatumia njia ya simu sana.
Hapana. mimi huwa nanunua sana ebay.Samahani naomba niulize, hivi aliexpress ushawahi order na wao ukapata mzigo? nilitaka niwatumie lakini nikawa na wasiwasi. TIA
Samahani naomba niulize, hivi aliexpress ushawahi order na wao ukapata mzigo? nilitaka niwatumie lakini nikawa na wasiwasi. TIA
Mimi naorder sana vitu nimepokea vyote kama order 20 tofauti kasoro kimoja kimepotelea njiani (kipindi cha December kuna vurugu sana kwa sababu ya holiday shopping), unaweza ukaweka dispute kama haujapata na hatimaye utarudishiwa hela. Sina uhakika kama unaweza kutumiwa kitu bila SLP.
Nimeagiza kuanzia laptop ya $200 mpaka HDMI cable za $2.
Kuibiwa aliexpress sio rahisi maana hela inashikiliwa na aliexpress wenyewe na hiendi kwa mwuzaji mpaka wote mkubali kuwa kitu kimefika, pia angalia rating ya mwuzaji na review za wanunuzi wengine.
Ndo zp hzo mkuuKwanini Posta ? Wakati Kuna DHL, FedEx, n.k
Kivp kutumia simuSio lazaima. unaweza ukatumia namba ya simu na mzigo ukifika posta watakupigia simu.
Nimeshatumia njia ya simu sana.
NIMEMAANISHA BADALA YA P.O BOX UNAWEKA NAMBARI YA SIMU. THEN MZIGO UKIFIKA POSTA WANAKUPIGIA.Kivp kutumia simu
Poa kakaNIMEMAANISHA BADALA YA P.O BOX UNAWEKA NAMBARI YA SIMU. THEN MZIGO UKIFIKA POSTA WANAKUPIGIA.
Ngoja nika link card yangu nianze manunuzNIMEMAANISHA BADALA YA P.O BOX UNAWEKA NAMBARI YA SIMU. THEN MZIGO UKIFIKA POSTA WANAKUPIGIA.
Mkuu hivi kwa mfano mimi sina sanduku la posta. Kwa mfano naishi Iringa so nitajuaje SLP ya mkoa wangu, au naandika jina la mkoa tu mfn IRINGA, TANZANIA then No. Ya simu... Ni hivyo au ?NIMEMAANISHA BADALA YA P.O BOX UNAWEKA NAMBARI YA SIMU. THEN MZIGO UKIFIKA POSTA WANAKUPIGIA.
Exactly. unaMkuu hivi kwa mfano mimi sina sanduku la posta. Kwa mfano naishi Iringa so nitajuaje SLP ya mkoa wangu, au naandika jina la mkoa tu mfn IRINGA, TANZANIA then No. Ya simu... Ni hivyo au ?
andika tu P.O box .....Iringa. automatically inakuja Iringa.Mkuu hivi kwa mfano mimi sina sanduku la posta. Kwa mfano naishi Iringa so nitajuaje SLP ya mkoa wangu, au naandika jina la mkoa tu mfn IRINGA, TANZANIA then No. Ya simu... Ni hivyo au ?
All the bNgoja nika link card yangu nianze manunuz
All the best mkuu,Ngoja nika link card yangu nianze manunuz
ThanksExactly. una
andika tu P.O box .....Iringa. automatically inakuja Iringa.
Mkuu no yako ya simMimi naorder sana vitu nimepokea vyote kama order 20 tofauti kasoro kimoja kimepotelea njiani (kipindi cha December kuna vurugu sana kwa sababu ya holiday shopping), unaweza ukaweka dispute kama haujapata na hatimaye utarudishiwa hela. Sina uhakika kama unaweza kutumiwa kitu bila SLP.
Nimeagiza kuanzia laptop ya $200 mpaka HDMI cable za $2.
Kuibiwa aliexpress sio rahisi maana hela inashikiliwa na aliexpress wenyewe na hiendi kwa mwuzaji mpaka wote mkubali kuwa kitu kimefika, pia angalia rating ya mwuzaji na review za wanunuzi wengine.
we duka lako.lipo.wap.iringa mkuu haya mambo.yakuagiza mzigo.unayafahamu vizur?Nimekwama hapa. Mwenye kuweza kutoa mfano apo nijaze vipi. Hayo ma zip code n.k
Hapana sifahamu vizuri bado ndo natafuta wazoefu wanielekeze kidogowe duka lako.lipo.wap.iringa mkuu haya mambo.yakuagiza mzigo.unayafahamu vizur?