Manunuzi makubwa aliyofanya Floyd Mayweather

Tigo , Airtel, Halotel wana kulipa mshahara wa laki 4 na nusu kwa mwezi hahahahahha! Hii hela kwa Floyd ata inunulia nini? Au Tissue paper yaku futa kioo cha gari? Sometimes huyu Floyd ana tia hasira basi tu!
[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Tigo , Airtel, Halotel wana kulipa mshahara wa laki 4 na nusu kwa mwezi hahahahahha! Hii hela kwa Floyd ata inunulia nini? Au Tissue paper yaku futa kioo cha gari? Sometimes huyu Floyd ana tia hasira basi tu!
Jamaa anatia hasira,yaani dola 150 Floyd si ya kununulia jojo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…