swahiba Senior
JF-Expert Member
- Nov 12, 2016
- 2,478
- 3,628
Pete tu Kwa mchumba 22b wakati wengine vi tecno tu vya elf20 ni taabu tupu unamganda mtoto wa MTU ni balaa na mkizinguana tu faster unamnyang'anya lol
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
HahahaPete tu Kwa mchumba 22b wakati wengine vi tecno tu vya elf20 ni taabu tupu unamganda mtoto wa MTU ni balaa na mkizinguana tu faster unamnyang'anya lol
Kwa urefu wa kamba yako nduguPete tu Kwa mchumba 22b wakati wengine vi tecno tu vya elf20 ni taabu tupu unamganda mtoto wa MTU ni balaa na mkizinguana tu faster unamnyang'anya lol
[emoji3] [emoji3] [emoji3]Hadithi hii inatufundisha nini?
Kufanya kazi kwa bidii kwa kujituma, na kuwa wabunifu na maarifa ili kufikia malengo, mwisho wa siku tutaishi maisha ambayo tulipanga kuishi kupitia mafanikio tuliyoyapata.Hadithi hii inatufundisha nini?
Kufanya kazi kwa bidii kwa kujituma, na kuwa wabunifu na maarifa ili kufikia malengo, mwisho wa siku tutaishi maisha ambayo tulipanga kuishi kupitia mafanikio tuliyoyapata.
[emoji3] [emoji1] [emoji119] [emoji119]
Lipumba akili zake kama zako tu no wonder you kiss other mens buttholes!Prof Lipumba unaweza kuniambia elimu inamsaidiaje?
Mtu anasoma ili aje ajikwamue katika maisha, Flyde shule akafanye nn???
jamaa ana bilion mia 9 katumia bilioni mia moja . 2 tu, hahhaa... Leo mvua imenyesha nenda kapande mahindi usije ukalala njaa... Wacha wenye hela zao wafanye yao..... Kama hujui matumizi ya hela wee kaa pembeni
Hajui kusoma, tafuta habari google tu utapata evidence zote.mkuu umejuaje hajui kusoma??
Umaskini ni mbaya sana, sijui kwanini maskini roho huwa inamuuma akiona tajiri akifanya yakeLipumba akili zake kama zako tu no wonder you kiss other mens buttholes!
He is b**tch like you.
Unatamani ningekuwa mlima mahindi eeenh !? Ja! Haya kamwambie umemtetea umpe na proof kama ataweza kusoma akupe hela ya Mafuta ya taa
Lmao!! Lmao! Lmao!Umaskini ni mbaya sana, sijui kwanini maskini roho huwa inamuuma akiona tajiri akifanya yake
Life is Fair coz is Unfair to everyone....Life is not fair accept it
Huwezi jua life aliyoishi nyuma ilikuwaje,Huyu mwehu tu. Utajiri Bil 900 ndio nini sasa, wakina Bill Gates wana trilion 80, na wanasaidia binadamu wengine wenye shida, yeye kasema hawezi saidia mtu kwa kuwa hakuna aliyemsaidia. Huyu ana mental sickness
Kwann usiombe Mungu akupe na wewe angalau kuliko kutoa povu kama hivyo!!? hahaha ila maskini sisi tuna shida sana unaanzaje kumpangia mtu jinsi ya kuspend jasho lake!!??Difference is JayZ hafanyi show offs za kijinga kama Mayweather. Floyd kawa star ghafla na dharau nyingi zinampanda kichwani. Jamaa dharau selfish plus abusive sana. Yet dumb as hell.
Akajifunze hata kusoma basi.
Wabongo ndivyo tulivyo. Yaani jamaa anahenyeka ulingoni, anapigwa ndonga za maana hadi oblangata inatikisika. Sasa akizipata pesa zake ghafla tu yani(wazungu wanaita from nowhere) anatokea mwana flani amaizing toka Tandale Kwa Tumbo anamwambia we bwana wewe hiyo pesa tukanunue kiwanja tujenge halafu chenji tukalime matikiti nasikia yanalipa sana. Tuweni serious asee.Kwann usiombe Mungu akupe na wewe angalau kuliko kutoa povu kama hivyo!!? hahaha ila maskini sisi tuna shida sana unaanzaje kumpangia mtu jinsi ya kuspend jasho lake!!??
Jayz na Mayweather hawawezi kua sawa kwa sababu ni watu wawili tofauti.
hahahahahahaha..........mzee kidevu anaweza kutangaza kukopeshwa kwakweliNdo mana diamond sasa hatambi kusema anamiliki pesa kiasi gani manake mzee hachelewi kusema amkopeshe amalizie SGR
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kusahau anaanza kumkumbushia akaweke umeme kijijini kwao mara ooh usisahau na shule uliyosomea blah blah blah kibaooo ndio maana Mungu hatupi tunaishia kua watazamaji.Wabongo ndivyo tulivyo. Yaani jamaa anahenyeka ulingoni, anapigwa ndonga za maana zinatisa hadi oblangata inatikisika. Sasa akizipita pesa zake ghafla tu yani(wazungu wanaita from nowhere) anatokea mwana flani amaizing toka Tandale Kwa Tumbo anamwambia we bwana wewe hiyo pesa tukanunue kiwanja tujenge halafu chenji tukalime matikiti nasikia yanalipa sana. Tuweni serious asee.
Hahahah ni sahihi kabisa.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] bila kusahau anaanza kumkumbushia akaweke umeme kijijini kwao mara ooh usisahau na shule uliyosomea blah blah blah kibaooo ndio maana Mungu hatupi tunaishia kua watazamaji.