Huo msamaha wa Kodi Kama mtumishi wa umma sijawah kuusikia.Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi
Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mkononi
Mkuu so jumla hadi anaiweka mkono n shingapiNimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Nlisikia huwaga Kuna msamaha wa kodi kwa watumishi wa Umma ndo nlitaka kujua je kama bado upo ? Na akiuomba hyo gari hadi anaiweka barabarani n shingapi aandae
Kuna mtumishi wa umma afu kuna shirika/Taasisi ya umma anachanganya mamboNlisikia huwaga Kuna msamaha wa kodi kwa watumishi wa Umma ndo nlitaka kujua je kama bado upo ? Na akiuomba hyo gari hadi anaiweka barabarani n shingapi aandae
Inafika 23.8 milioniMkuu so jumla hadi anaiweka mkono n shingapi
Tupende kulipa Kodi kwa maendelea ya Taifa letu.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Atakuja kushtuka ili aupate msamaha atatoa chochote kitu na kucheleweshwa juu.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Na pia ajue kwamba msamaha upo kwa magari yasiyo na uchakavu wa zaidi ya miaka 8 nafikiri Ina maana atatakiwa aagize gari iliyozalishwa si chini ya mwaka 2017Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Shida ya wafanyabiashara wa umma wanapenda burebure, kilakitu serikali iwafanyieAtakuja kushtuka ili aupate msamaha atatoa chochote kitu na kucheleweshwa juu.
Gari ya 2017 sio mchezo bei yake ni ngumu Sana Kwa Sisi tunaungaunga maishaNa pia ajue kwamba msamaha upo kwa magari yasiyo na uchakavu wa zaidi ya miaka 8 nafikiri Ina maana atatakiwa aagize gari iliyozalishwa si chini ya mwaka 2017
Wanyakazi wa TPA ndiyo walikuwa wana offa hiyo! Sijui kwa sasa!Nlisikia huwaga Kuna msamaha wa kodi kwa watumishi wa Umma ndo nlitaka kujua je kama bado upo ? Na akiuomba hyo gari hadi anaiweka barabarani n shingapi aandae
Hakika,inatakuwa ujipange haswaa na hata huo msamaha unakuwa hauna maana kwani gharama zitazidi kushoot badala ya kushukaGari ya 2017 sio mchezo bei yake ni ngumu Sana Kwa Sisi tunaungaunga maisha
Hivi hii exemption iliwahi kufanyika kwa watumishi wa umma hapo kabla?Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
ItakuwaHivi hii exemption iliwahi kufanyika kwa watumishi wa umma hapo kabla?
Hii saizi sidhani kama ipo walianza mwaka jana. Ilikuwa unapewa mkopo wa kununua gari,kusafirisha na bima (CIF) mpaka gari inapofika Tanzania. Ushuru wewe hausiki ni part ya mkopo kuwezesha upate usafiri hata uagize gari ya 2023. Watu walivuta gari za kisasa sana.Wanyakazi wa TPA ndiyo walikuwa wana offa hiyo! Sijui kwa sasa!
Kama sikosei Mwajiri ndiye anawalipia ushuru.
Na ili apate msamaha wa ushuru anakopeshwa Mkopo wa gari na TPA!
Kama mfanyakazi ataamua kujinunulia gari kwa hela yake hapo lazima alipe ushuru.