Mkuu nifafanulie hii imekaaje anataka kuagiza ya kutembelea hyo Subaru forester je itamgarimu bei gani akishapata huo msamahaMsamaha wa kodi kwa mtumishi wa umma upo na ni mara moja tu unaruhusiwa kuingiza gari ya kutembelea na siyo ya biashara.
Kabla ya kuagiza au ukiagiza inabidi uandike barua ya kuomba msamaha wa kodi,usiombe watu wa masijala wakaisahau gari ikifika gharama za storage utazilipa mwenyewe.
Atalipa Gharama ya kununua gari Japan,bima ya kusafirisha na usafirishaji melini.Mkuu nifafanulie hii imekaaje anataka kuagiza ya kutembelea hyo Subaru forester je itamgarimu bei gani akishapata huo msamaha
As I know ipo hivi...Msamaha wa Kodi unatolewa kwa gari yoyote unayoitaka kwa Mtumishi wa gari, gari hiyo sifa zake kubwa isizidi cc 3000. Gari hilo litakusaidia ww kukuwahisha kazini na mizunguko yako binafsi.So process za kuupata msamaha anaanza kabla hajaagiza ?
Mkuu shukrani sana kwa haya maelezoAs I know ipo hivi...Msamaha wa Kodi unatolewa kwa gari yoyote unayoitaka kwa Mtumishi wa gari, gari hiyo sifa zake kubwa isizidi cc 3000. Gari hilo litakusaidia ww kukuwahisha kazini na mizunguko yako binafsi.
Msamaha wa Kodi unatolwa kwa mara moja kila baad ya miaka 4. Changamoto ni kuwa hilo gari ukiliuza lazima hiyo Kodi uliyosamehewa ilipwe😀😀
Yaani yule uliyemuuzia akienda TRA kubadilisha kadi ya gari/Jina la umiliki lazima akutane na rungu la TRA, sasa kazi kwako maana kumpa mtu zigo nobody wants, otherwise gari inashikiliwa.
Kingine kwenye msamaha wa Kodi unaweza kuapply mapema kabla hata gari haijafika, cha muhimu n kuwa ukishatumiwa zile documents orijino za Gari lazima uziwalishe TRA kwa uhakiki na approvals.
Mifumo ya utoaji wa msamaha wa Kodi kwa sasa ipo online kwa goods and services...Sasa kwa Mtumishi wa umma nafikiri lazima uwe registered huko na check number yako na credentials na ufanye application online, sidhani kama wanapokea tena makabrasha ya fomu.
La mwisho, usiwe mvivu sana, nenda Ofisi yoyote ya TRA iliyo karibu yako watakupa mwongozo sahihi wa namna ya kupata Msamaha wa Kodi kwa gari utakaloagiza.
Kikubwa aweze kuiagiza mara mbili na awe na ziada ya million 2Habari Wana JF Kuna mtu n mtumishi wa umma anataka kuagiza Subaru forester ya 2012 angependa ajue gharama hadi anaiweka mkononi
Pia angependa kujua akipitia process za kuomba msamaaa wa kodi kama mtumishi wa Umma n shingapi atatumia hadi chuma kinamfikia mkononi
Hii ziada ya milioni 2 ni ya nini? Msilishane matango pori, toa clarification ya hii fedha... Otherwise clearance zote unazifanya kupitia control number unazopewa we ni kusubiri gari yako tu ifike unaondoka nayo... Hata fedha ya clearance utapewa Account number uingize ambayo haizidi laki 3Kikubwa aweze kuiagiza mara mbili na awe na ziada ya million 2
Milioni 75 TshMkuu so jumla hadi anaiweka mkono n shingapi
Hio ni fedha ya emergency, utafanya clearance na itabakia hakuna mtu atakayekula fedha yako. In case ya ucheleweshaji ukitokea ita cover storage fees.Hii ziada ya milioni 2 ni ya nini? Msilishane matango pori, toa clarification ya hii fedha... Otherwise clearance zote unazifanya kupitia control number unazopewa we ni kusubiri gari yako tu ifike unaondoka nayo... Hata fedha ya clearance utapewa Account number uingize ambayo haizidi laki 3
Kama kwa emergency nakuelewa, maana lazima uwe na ela ya mafuta pia na service ya palepaleHio ni fedha ya emergency, utafanya clearance na itabakia hakuna mtu atakayekula fedha yako. In case ya ucheleweshaji ukitokea ita cover storage fees.
Msamaha wa kodi upo japo una mlolongo wale ila sharti la kwanza Gari inatakiwa kuwa na umri usiozidi miaka 10
Eeee, 23Inafika 23.8 milioni
Toka mwezi wa 5 kuna ofa kubwa Sana ya magari Kwa kampuni ya SBT Japan shida ni ushuru Tu wa TRA
Msamaha upo ila ni import tax peke yake zingine zote haina msamaha.Nimetoka kulipa ushuru juzi tar 24/07/2024 wa Subaru forester XT Kwa kiwango cha Tsh 9,963,499/=
Bado ushuru wa bandarini Tsh 1,200,000/= hii naenda kulipia jumaatatu au jumanne ili nikabidhiwe gari hapa bado BIMA ...
Mwambie huyo jamaa anayeta msamaha wa Kodi eti kwakuwa ni mfanyakazi wa umma ajipange na million 12 baada ya CIF
HII NDIYO TANZANIA
Upooo , gari iwe chin ya cc 2000 na isiwe commercial
Kuhusu msamaha wa kodi , aandik barua kwa muajiri wakeMsamaha wa kodi kwa mtumishi wa umma upo na ni mara moja tu unaruhusiwa kuingiza gari ya kutembelea na siyo ya biashara.
Kabla ya kuagiza au ukiagiza inabidi uandike barua ya kuomba msamaha wa kodi,usiombe watu wa masijala wakaisahau gari ikifika gharama za storage utazilipa mwenyewe.
Mzee hio gari ikiwa kuagiza ni 10 million basi jua unatakiwa uwe na 12m ya ziadaHujaeleweka mkuu