Manyanyaso na chuki kazini zimepelekea kuugua ugonjwa wa figo

Pole sana ila jitahidi uweze kuwa unaandika vizuri kwa kutofautisha L na R katika uandishi wako mkuu.
Maishani jiepushe kuwa na matarajio ya kitu ambacho umekiona wazi kuwa hakiwezekani. Ishi katika uhalisia.
 
Mkuu Kwa Asili ya Kazi ya police huwa inakuwa na changamoto , Mimi nimeishi na hawa jamaa miaka mingi Sana ukiwa mtu ambaye haupendi makando kando basi utapata shida.

Rafiki mmoja Mlokole aliamua kuchukua vyumba vyake viwili na kuvifanya kanisa vyumba vya kota

Mara ya mwisho nilimuacha anaumwa na alienda Bugando kutibiwa. FIGO


Kuhusu swala lako , jaribu kuipa Afya yako nafasi maana health is wealth .

Pole Sana .










Love is natural, hatred is taught.
 
Hakuna sehemu yenye unafuu.Kaza moyo mkuu.Mimi nauza mkaa na bado nasimangwa na watu hata hawanihusu.Uvumilivu na kupotezea mambo ya wajinga ndiyo silaha yako.
 
Ukabila Tanzania haupo Kwa kiasi kikubwa hicho la sivyo useme ni kabila gani limekubagua sometimes unaweza nyimwa dili ukajua ni ukabila kumbe wenzako wamemfuata alishika mpini na kuongea naye private

Chapili hayo maradhi umejitakia mwenyewe kama wao waliamua kufunga milango mmoja wewe ilitakiwa ufungue mingine
 
Mimi huwa napenda kupuuza na kupiga kazi zangu tu,hayo ya kukosa michongo ya kazini ningechukulia kama sio bahat yangu na kupotezea
 
Pole sana bro, linda afya yako na pia uache maamuzi ya kukurupuka kama hilo la kunywa dawa hizo bila kula..

Na vipi familia yako mkuu, haikupi faraja??
 
pole sana.. sakitika kukwambia kuwa umekaa kinyonge sana na hujiamini kwa mda wote huo... hali yako ya afya kwa sasa ikoje? umepona?
 
Unapoambiwa abiria chunga mzigo wako haimaanishi kuchungana na mafurushi uliyopanda nayo gari, bali kuna maana kubwa ikiwemo kujisimamia mwenyewe na kutengeneza hatma yako pasipo kukaa sehemu moja na kulemaa.
Usikubali watu wakuamulie maisha yako utaangamia vibaya!
 
Chuki makazini haina sababu, watu watakuchukia tu, hata wanaokuzidi kwa kila Hari, wanaweza kukuchukia, Mtu wa, Mungu, mmoja, alinifafanulia hili, akasema, ni, swala LA kiroho, wewe unakuta una roho/spirit nzuri, sasa waliokuzunguka wana evil spirit, mapepo,roho zinaonana! Sasa hayo mapepo yao, yakiiona roho yako nzuri, lazima yazue tafrani! Zitakazojidhilisha kwa matendo ya wazi! Pole sana
 
 
Pole sana Afande
 
Uzi uishie hapa.
 
U
Usipojaliwa ndugu acha kujipendekeza. Pia hiyo taasisi ipo mwanza pekee hadi usot3 miaka yote hyoo. Kama ina. Offisi mikoa mingne omba uhamisho...kazini ni sehemu tu ya kufanya kazi. Maisha halisi yapo mtaani. Ukiweza fungua hta biashara ndogo ambayo watu wa ofisini wasiijue upate pa kupotezea mawazo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…