Manyanyaso na chuki kazini zimepelekea kuugua ugonjwa wa figo

Manyanyaso na chuki kazini zimepelekea kuugua ugonjwa wa figo

Mwanzo nilijua wewe ni ke. Kwa kifupi tu mkuu huna maamzi ya kiume kama umeajiliwa 2007 hadi sasa na upo kwenye dimbwi la mateso namna hiyo basi una matatizo kwenye kichwa chako.

Samahani sana kwa lugha ngumu.Lakini amini ya kuwa uliajiliwa kwa sbabu una afya njema bila kuwa na afya njema usingeajiliwa sasa kwanini ung'ang'anie hiyo ajira?

Uwezekano wa kuhama au kuacha kazi hiyo haupo au utanyongwa? Sisi tunafanya kazi ambazo wala hatujazisomea na pia huo ubaguzi upo popote tu japo kuna baadhi ya makabila umekithiri.

Hapa nilipo kuanzia super,formen na supervisor ni kabila moja tena super na formen ni mtu na mdogo wake tumbo moja baba mmoja!!

Ukija huku chini sasa wamejazana watoto wa dada zao nk yaani wakina mwamposa wapo kibaoo


Ushauri ni mmoja afya yako ni bora sana kuliko hako ka mshahara kako.
Afya yako ndio mtaji wako fanya maamzi
Naomba unipatie kozi fupi ya kuwa na roho mbaya na ya ukatili, nisiyejali wala kujua ya wengine kwa ufupi nifunze kuwa kama wao kwa kuwa naamini mimi sijajiumba ila naitaji kubadilika niwe zaidi yao.
 
Pole mno Ila nachojua upendo ni illusion yaani ni nadharia and doesn't exist, anayebisha abishe tuone, hakuna cha upendo wa mzazi ama mtt kwa mzazi yaani what's being done is just exchanging of values aka trading if no values then you become nothing,hata inzi wenyewe Kama huna kidonda ama jalala kwako wanasepa Sasa unadhani binadamu yeye ni nani
- Kuna cha kujifunza hapa, Sawa na kale kamsemo "Kosa fedha ujue tabia ya mkeo"
 
''Toshekeni na mishahara yenu''
Ukiangalia kwa kiasi kikubwa hayo matatizo umejitafutua wewe mwenyewe kiongozi. Hautakiwi kutaka watu wakupokee positive kila mahali, watu wasipokupenda wewe waelewe huo ndio uamuzi wao then wewe endelea na maisha yako.

Fanya kazi zako kwa umakini, epuka majungu na vikundi vinavyosema watu kazini, toa salamu kwa wote ila usijipendekeze. Kuwa muwazi kwenye maamuzi na mtazamo wako usitake kuwaridhisha wengine. Wenyewe tu watakaa kwenye mfumo wako.

Hawatakuchukia, hawatakupenda ila watakuheshimu na kutamani kuwa kama wewe, hivyo ndivyo walivyo wanadamu.

No offense ila nilipoanza kusoma nilihisi ni mdada analalamika, hadi nilipofika hapo ulienda kwa mwanamke ndio nkajua kumbe ni mwamba. Sasa acha malalamiko Mkuu kaza kiume.
 
Mwanzo nilijua wewe ni ke. Kwa kifupi tu mkuu huna maamzi ya kiume kama umeajiliwa 2007 hadi sasa na upo kwenye dimbwi la mateso namna hiyo basi una matatizo kwenye kichwa chako.

Samahani sana kwa lugha ngumu.Lakini amini ya kuwa uliajiliwa kwa sbabu una afya njema bila kuwa na afya njema usingeajiliwa sasa kwanini ung'ang'anie hiyo ajira?

Uwezekano wa kuhama au kuacha kazi hiyo haupo au utanyongwa? Sisi tunafanya kazi ambazo wala hatujazisomea na pia huo ubaguzi upo popote tu japo kuna baadhi ya makabila umekithiri.

Hapa nilipo kuanzia super,formen na supervisor ni kabila moja tena super na formen ni mtu na mdogo wake tumbo moja baba mmoja!!

Ukija huku chini sasa wamejazana watoto wa dada zao nk yaani wakina mwamposa wapo kibaoo


Ushauri ni mmoja afya yako ni bora sana kuliko hako ka mshahara kako.
Afya yako ndio mtaji wako fanya maamzi
Hata mimi Mkuu nilijua ni mdada, jamaa analalamika sana. Huwa nikisikia tu mwanaume anasema 'nanyanyaswa/nanyanyasika' huwa sijui namuonaje.
 
Useme tu ni Bukoba ndio kuna ukabila sana hasa wageni wananyanyasika sana.
 
''Toshekeni na mishahara yenu''
Ukiangalia kwa kiasi kikubwa hayo matatizo umejitafutua wewe mwenyewe kiongozi. Hautakiwi kutaka watu wakupokee positive kila mahali, watu wasipokupenda wewe waelewe huo ndio uamuzi wao then wewe endelea na maisha yako.

Fanya kazi zako kwa umakini, epuka majungu na vikundi vinavyosema watu kazini, toa salamu kwa wote ila usijipendekeze. Kuwa muwazi kwenye maamuzi na mtazamo wako usitake kuwaridhisha wengine. Wenyewe tu watakaa kwenye mfumo wako.

Hawatakuchukia, hawatakupenda ila watakuheshimu na kutamani kuwa kama wewe, hivyo ndivyo walivyo wanadamu.

No offense ila nilipoanza kusoma nilihisi ni mdada analalamika, hadi nilipofika hapo ulienda kwa mwanamke ndio nkajua kumbe ni mwamba. Sasa acha malalamiko Mkuu kaza kiume.
Ni kweli ila tambua binadamu tunatofautiana, mimi natamani niwe na roho mbaya, nisiyejali wala kuthamini wengine ila nimeshindwa.

Naomba kama kuna mahala unaweza kubadilisha nafsi ya hofu ya mungu na kuwa na roho mbaya nipeleke au nipe notes nipitie niweze kubadilisha nafsi hii.
 
Habari zenu watanzania wenzangu popote mlipo, mimi nikiwa member hai wa forum napenda kutoa ushuhuda wa manyanyaso kazini yalivyopelekea kuangukia kwenye ugonjwa sugu wa figo.

Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani serikalini, nimeajiliwa 2007, katika kupata kwangu ajila sikuwahi kufikilia kwamba makazini kuna chuki na manyanyaso yanayotokana na ukabila na muonekano wa mtu,ushirikina na maslai binafsi ya mtu.

Katika maisha yangu ya kuajiliwa sikuwahi kupata furaha ya kazi hii ninayoifanya tofauti na siku ninayopokea mshahara, kazi hii niifanyayo ni kazi ambayo kama mwanao ataajiliwa huku na hukumjengea misingi halali ya upatikanaji wa pesa ni vyema umuambie ajiendeleze kielimu angalau anaweza kupata nafuu.

Mimi baada ya kuajiliwa nikapangiwa huko mikoa ya kanda ya ziwa nikaanza kazi kwa kukaribishwa na manyanyaso ya kikabila, hapa ndipo nikaanza kupata joto la kazi yangu, ebu fikilia kuna kazi ya malipo mazuri ya pesa mezani alafu wewe upo hapo na umeiomba au unaitaji lakini mtu kwa mamlaka yake na kwa kutumia ukabila anampa mtu mwingine ambaye ni kabila lake ambaye anatafutwa akiwa hajui hili wala lile.

Sasa mambo kama haya yamenitokea zaidi ya mara Mia moja na katika nyakati hizo zote moyo wangu ulikuwa unaumia nikiwaza kwa maumivu makali ya moyo kwamba kwanini mimi nanyanyasika hivi, sababu ni muonekano wangu au kabila langu au elimu yangu au nimelogwa, lakini mwisho majibu yakaja kuwa ni ukabila na ushirikina .

Kwa kuwa sikuwa mtu wa kujiongeza niliishi maisha ya dizaini hii kwa miaka mingi huku nikiamini kuwa ni mambo yatakayoisha tu baada ya muda flani,lakini imekuwa ni endelevu mpaka hatma ya mwisho ya mates ya moyo yalipojitokeza.

Nikiwa sifahamu kwa undani elimu ya maradhi ya moyo ambayo kiuhalisia wakati naumia kwa manyanyaso niliyokuwa nayapata nikweli wakati nawaza moyo ulikuwa unaumia sana kwa kusikia kabisa yale maumivu.

Hatma ya yote .mwaka 2024 mwezi wa 4 nikiwa kazini kwangu nikapata habari njema kutoka kwa rafiki yangu kwamba kuna kazi ya pesa ipo nisiondoke, mimi nikakubaliana naye na nikawa naisubilia mpaka jua lilipozama, kitu kilichonitokea usiku ule ni funzo kwa wanangu na wale wote wanaotegemea kupata kwa visivyo halali.

Mimi nilisubiri sana lakini kilichonishangaza ni kuona watu ambao wahusika wa mchongo wakitawanyika mmoja mmoja, mimi nikaona kwamba huu ndio muendelezo wa yaleyale ambayo nayakataa na baada ya kuona hali ile mimi nikaamua kuondoka kurudi nyumbani.


Nikiwa nyumbani nikapigiwa simu na yule aliyenipa ule mchongo kwamba rudi halaka, nikapanda gari nikarudi niliporudi katika kuakikisha kazi ninayotaka kuifanya nikawa najaribu kuwauliza baadhi ya wahusika lakini sikupewa ushirikiano wowote, kilichoniuma zaidi ni baada ya kusikia mtu wangu wa karibu ambaye alinidokeza ishu iyo kwamba wenzake wamechukizwa na kitendo cha kunishirikisha mimi ivyo hata yeye hawezi kuhusishwa tena.

Mimi baada ya kusikia kauli iyo nikaondoka nikiwa na hasira na maumivu makali ya moyo, kwa kuwa usiku mnene ulishaingia sikwenda tena nyumbani, badala yake nikaenda kwa mwanamke fulani ambaye mimi nilikuwa na mahusiano naye lakini nilikuwa nashiriki naye kwa tahadhari na kwa kutumia condom.

Usiku ule nilikwenda kulala kwake na nilishiriki naye bila condom kitu ambacho sio kawaida yangu, nilifanya kama sehemu ya faraja yangu lakini niliishia kwenye stress kubwa ya nadharia ya kuambukizwa ukimwi, baada ya siku iyo ikaja kwamba kabla ya masaa 72 niwe nimempima na nimepima HIV.

Siku iliyofuata nikafanya vipimo mwenyewe na yeye majibu ni NEG, shida ikaja kwamba asubuhi yake nikaenda kuvicheki kama vimebaki kama vilivyo nikakuta kwake inaonyesha mistari mitatu mimi ni uleule mmoja, hapa nilikuwa sina uelewa wa vipimo.

Nilikuwa najitaidi kabla ya masaa 72 niwe nimejua kila kitu, baada ya majibu kuwa vile nikamshirikisha nesi fulani kwa kumtumia picha za vipimo vingine ambavyo tulipima naye usiku wa siku ile ya pili, nesi akasema mbona kama naona mstali kwa mbali hebu njoo na mwenzio, nikamjulisha ila alikuwa mbali ivyo nikaenda mwenyewe tu na kunishauri kwa kuwa muda unaisha ni bora nianzishe tu dawa ile ya ndani ya masaa 72, nikachukua na kukinywa bila kula licha ya kushauriwa lazima niwe nimekula.

Nikiwa na stress ya juu na mapigo ya moyo ya juu nikiwa nimekunywa kidonge ,yule dada akaja nanikamuelekeza aende hospitality akapimwe na alivyokwenda na kupimwa akakutwa hana maambukizi.

Siku mbili baadaye tumbo likaanza kuniuma bila kuharisha ila choo nilikuwa napata kwa shida,sometimes nilikuwa nikienda aja kubwa natoa uteute kama kamasi nyeupe na mkojo nilikuwa nakojoa mara kwa mara, nikanywa dawa mbalimbali nikidhani ni amiba,nikaenda kupima magonjwa yote lakini hakuna kilicholeta unafuu.

Baada ya mwezi nikaanza kukosa usingizi nikama napata mawenge,kukooa wakati nimelala, na maumivu ya kichwa baadaye nikaona miguu inavimba hapo nikaona naitaji kwenda hospitality kubwa,nikaenda na kupimwa na kuelezwa figo zangu hazifanyi kazi kwa ufanisi kwa kuwa damu inaonyesha sumu zipo 130 kwa viwango vyao wenyewe wanajua nikashauriwa nifuate mtindo bora wa kura itanisaidia kupunguza uwezekano wa muendelezo wa ugonjwa.

Sasa katika hali hii niliyonayo ninaamini kwamba kama ningelikuwa na kazi nyingine mfano:UALIMU.nisingepata ugonjwa huu kutokana na nature ya kazi hiyo inatoa nafasi kubwa ya muajiliwa kuwa huru na kufanya shughuli zako nyingine.

Lakini pia napenda kuhitimisha kuwa makazini tupendane hata kinafiki kuna wengi wanapata maradhi kutokana na tabia za viongozi au wafanyakazi wenzako mimi ni mfano wa wahanga waliadhiriwa na ukabila,ukanda,chuki na mambo mengine kazini hasa ukiwa mpole na husiye na makuu na husiye na muonekano wa kuwafuraisha wengine.

Asanteni.
Anazungumzia nini kwa aliyeelewa.
 
Habari zenu watanzania wenzangu popote mlipo, mimi nikiwa member hai wa forum napenda kutoa ushuhuda wa manyanyaso kazini yalivyopelekea kuangukia kwenye ugonjwa sugu wa figo.

Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani serikalini, nimeajiliwa 2007, katika kupata kwangu ajila sikuwahi kufikilia kwamba makazini kuna chuki na manyanyaso yanayotokana na ukabila na muonekano wa mtu,ushirikina na maslai binafsi ya mtu.

Katika maisha yangu ya kuajiliwa sikuwahi kupata furaha ya kazi hii ninayoifanya tofauti na siku ninayopokea mshahara, kazi hii niifanyayo ni kazi ambayo kama mwanao ataajiliwa huku na hukumjengea misingi halali ya upatikanaji wa pesa ni vyema umuambie ajiendeleze kielimu angalau anaweza kupata nafuu.

Mimi baada ya kuajiliwa nikapangiwa huko mikoa ya kanda ya ziwa nikaanza kazi kwa kukaribishwa na manyanyaso ya kikabila, hapa ndipo nikaanza kupata joto la kazi yangu, ebu fikilia kuna kazi ya malipo mazuri ya pesa mezani alafu wewe upo hapo na umeiomba au unaitaji lakini mtu kwa mamlaka yake na kwa kutumia ukabila anampa mtu mwingine ambaye ni kabila lake ambaye anatafutwa akiwa hajui hili wala lile.

Sasa mambo kama haya yamenitokea zaidi ya mara Mia moja na katika nyakati hizo zote moyo wangu ulikuwa unaumia nikiwaza kwa maumivu makali ya moyo kwamba kwanini mimi nanyanyasika hivi, sababu ni muonekano wangu au kabila langu au elimu yangu au nimelogwa, lakini mwisho majibu yakaja kuwa ni ukabila na ushirikina .

Kwa kuwa sikuwa mtu wa kujiongeza niliishi maisha ya dizaini hii kwa miaka mingi huku nikiamini kuwa ni mambo yatakayoisha tu baada ya muda flani,lakini imekuwa ni endelevu mpaka hatma ya mwisho ya mates ya moyo yalipojitokeza.

Nikiwa sifahamu kwa undani elimu ya maradhi ya moyo ambayo kiuhalisia wakati naumia kwa manyanyaso niliyokuwa nayapata nikweli wakati nawaza moyo ulikuwa unaumia sana kwa kusikia kabisa yale maumivu.

Hatma ya yote .mwaka 2024 mwezi wa 4 nikiwa kazini kwangu nikapata habari njema kutoka kwa rafiki yangu kwamba kuna kazi ya pesa ipo nisiondoke, mimi nikakubaliana naye na nikawa naisubilia mpaka jua lilipozama, kitu kilichonitokea usiku ule ni funzo kwa wanangu na wale wote wanaotegemea kupata kwa visivyo halali.

Mimi nilisubiri sana lakini kilichonishangaza ni kuona watu ambao wahusika wa mchongo wakitawanyika mmoja mmoja, mimi nikaona kwamba huu ndio muendelezo wa yaleyale ambayo nayakataa na baada ya kuona hali ile mimi nikaamua kuondoka kurudi nyumbani.


Nikiwa nyumbani nikapigiwa simu na yule aliyenipa ule mchongo kwamba rudi halaka, nikapanda gari nikarudi niliporudi katika kuakikisha kazi ninayotaka kuifanya nikawa najaribu kuwauliza baadhi ya wahusika lakini sikupewa ushirikiano wowote, kilichoniuma zaidi ni baada ya kusikia mtu wangu wa karibu ambaye alinidokeza ishu iyo kwamba wenzake wamechukizwa na kitendo cha kunishirikisha mimi ivyo hata yeye hawezi kuhusishwa tena.

Mimi baada ya kusikia kauli iyo nikaondoka nikiwa na hasira na maumivu makali ya moyo, kwa kuwa usiku mnene ulishaingia sikwenda tena nyumbani, badala yake nikaenda kwa mwanamke fulani ambaye mimi nilikuwa na mahusiano naye lakini nilikuwa nashiriki naye kwa tahadhari na kwa kutumia condom.

Usiku ule nilikwenda kulala kwake na nilishiriki naye bila condom kitu ambacho sio kawaida yangu, nilifanya kama sehemu ya faraja yangu lakini niliishia kwenye stress kubwa ya nadharia ya kuambukizwa ukimwi, baada ya siku iyo ikaja kwamba kabla ya masaa 72 niwe nimempima na nimepima HIV.

Siku iliyofuata nikafanya vipimo mwenyewe na yeye majibu ni NEG, shida ikaja kwamba asubuhi yake nikaenda kuvicheki kama vimebaki kama vilivyo nikakuta kwake inaonyesha mistari mitatu mimi ni uleule mmoja, hapa nilikuwa sina uelewa wa vipimo.

Nilikuwa najitaidi kabla ya masaa 72 niwe nimejua kila kitu, baada ya majibu kuwa vile nikamshirikisha nesi fulani kwa kumtumia picha za vipimo vingine ambavyo tulipima naye usiku wa siku ile ya pili, nesi akasema mbona kama naona mstali kwa mbali hebu njoo na mwenzio, nikamjulisha ila alikuwa mbali ivyo nikaenda mwenyewe tu na kunishauri kwa kuwa muda unaisha ni bora nianzishe tu dawa ile ya ndani ya masaa 72, nikachukua na kukinywa bila kula licha ya kushauriwa lazima niwe nimekula.

Nikiwa na stress ya juu na mapigo ya moyo ya juu nikiwa nimekunywa kidonge ,yule dada akaja nanikamuelekeza aende hospitality akapimwe na alivyokwenda na kupimwa akakutwa hana maambukizi.

Siku mbili baadaye tumbo likaanza kuniuma bila kuharisha ila choo nilikuwa napata kwa shida,sometimes nilikuwa nikienda aja kubwa natoa uteute kama kamasi nyeupe na mkojo nilikuwa nakojoa mara kwa mara, nikanywa dawa mbalimbali nikidhani ni amiba,nikaenda kupima magonjwa yote lakini hakuna kilicholeta unafuu.

Baada ya mwezi nikaanza kukosa usingizi nikama napata mawenge,kukooa wakati nimelala, na maumivu ya kichwa baadaye nikaona miguu inavimba hapo nikaona naitaji kwenda hospitality kubwa,nikaenda na kupimwa na kuelezwa figo zangu hazifanyi kazi kwa ufanisi kwa kuwa damu inaonyesha sumu zipo 130 kwa viwango vyao wenyewe wanajua nikashauriwa nifuate mtindo bora wa kura itanisaidia kupunguza uwezekano wa muendelezo wa ugonjwa.

Sasa katika hali hii niliyonayo ninaamini kwamba kama ningelikuwa na kazi nyingine mfano:UALIMU.nisingepata ugonjwa huu kutokana na nature ya kazi hiyo inatoa nafasi kubwa ya muajiliwa kuwa huru na kufanya shughuli zako nyingine.

Lakini pia napenda kuhitimisha kuwa makazini tupendane hata kinafiki kuna wengi wanapata maradhi kutokana na tabia za viongozi au wafanyakazi wenzako mimi ni mfano wa wahanga waliadhiriwa na ukabila,ukanda,chuki na mambo mengine kazini hasa ukiwa mpole na husiye na makuu na husiye na muonekano wa kuwafuraisha wengine.

Asanteni.
Nakupa mbinu mbili mkuu!!

1.Andika majina ya mkuu was kazi Yako,na member wote kwenye karatasi nyeupe ya rim ile!ambatanisha na neno kama mathayo 7:7 halafu andika maombi yako unataka waweje kwako ,Ile karatasi ikunje weka kwenye maji yenye chumvi ya mawe iliyoyeyuka kwenye hayo mahi!maji hayo unaweza yaweka kwenye chupa ya soda ya plastic ikiwa na hiyo karatasi ,fungal chupa iweke ndani kwako hasta kwenye kabati au sehem ambayo mtu yeyote hawezi ifikia!

2.kwenye mshahara wako toa fungu la kumi kwenye madhabahu ya kiroho unayoiamin halafu unapomuomba mungu Anza Kwa maneno haya"Kwa mamlaka ya zaka niliyotoa kwenye madhabahu Yako ewe mungu naomba ...... Unasema unachokitaka kuanzia afya hadi michongo ya pesa!!

Hiyo nimejaribu nimeona matokeo!na wewe jaribu!!
 
Habari zenu watanzania wenzangu popote mlipo, mimi nikiwa member hai wa forum napenda kutoa ushuhuda wa manyanyaso kazini yalivyopelekea kuangukia kwenye ugonjwa sugu wa figo.

Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani serikalini, nimeajiliwa 2007, katika kupata kwangu ajila sikuwahi kufikilia kwamba makazini kuna chuki na manyanyaso yanayotokana na ukabila na muonekano wa mtu,ushirikina na maslai binafsi ya mtu.

Katika maisha yangu ya kuajiliwa sikuwahi kupata furaha ya kazi hii ninayoifanya tofauti na siku ninayopokea mshahara, kazi hii niifanyayo ni kazi ambayo kama mwanao ataajiliwa huku na hukumjengea misingi halali ya upatikanaji wa pesa ni vyema umuambie ajiendeleze kielimu angalau anaweza kupata nafuu.

Mimi baada ya kuajiliwa nikapangiwa huko mikoa ya kanda ya ziwa nikaanza kazi kwa kukaribishwa na manyanyaso ya kikabila, hapa ndipo nikaanza kupata joto la kazi yangu, ebu fikilia kuna kazi ya malipo mazuri ya pesa mezani alafu wewe upo hapo na umeiomba au unaitaji lakini mtu kwa mamlaka yake na kwa kutumia ukabila anampa mtu mwingine ambaye ni kabila lake ambaye anatafutwa akiwa hajui hili wala lile.

Sasa mambo kama haya yamenitokea zaidi ya mara Mia moja na katika nyakati hizo zote moyo wangu ulikuwa unaumia nikiwaza kwa maumivu makali ya moyo kwamba kwanini mimi nanyanyasika hivi, sababu ni muonekano wangu au kabila langu au elimu yangu au nimelogwa, lakini mwisho majibu yakaja kuwa ni ukabila na ushirikina .

Kwa kuwa sikuwa mtu wa kujiongeza niliishi maisha ya dizaini hii kwa miaka mingi huku nikiamini kuwa ni mambo yatakayoisha tu baada ya muda flani,lakini imekuwa ni endelevu mpaka hatma ya mwisho ya mates ya moyo yalipojitokeza.

Nikiwa sifahamu kwa undani elimu ya maradhi ya moyo ambayo kiuhalisia wakati naumia kwa manyanyaso niliyokuwa nayapata nikweli wakati nawaza moyo ulikuwa unaumia sana kwa kusikia kabisa yale maumivu.

Hatma ya yote .mwaka 2024 mwezi wa 4 nikiwa kazini kwangu nikapata habari njema kutoka kwa rafiki yangu kwamba kuna kazi ya pesa ipo nisiondoke, mimi nikakubaliana naye na nikawa naisubilia mpaka jua lilipozama, kitu kilichonitokea usiku ule ni funzo kwa wanangu na wale wote wanaotegemea kupata kwa visivyo halali.

Mimi nilisubiri sana lakini kilichonishangaza ni kuona watu ambao wahusika wa mchongo wakitawanyika mmoja mmoja, mimi nikaona kwamba huu ndio muendelezo wa yaleyale ambayo nayakataa na baada ya kuona hali ile mimi nikaamua kuondoka kurudi nyumbani.


Nikiwa nyumbani nikapigiwa simu na yule aliyenipa ule mchongo kwamba rudi halaka, nikapanda gari nikarudi niliporudi katika kuakikisha kazi ninayotaka kuifanya nikawa najaribu kuwauliza baadhi ya wahusika lakini sikupewa ushirikiano wowote, kilichoniuma zaidi ni baada ya kusikia mtu wangu wa karibu ambaye alinidokeza ishu iyo kwamba wenzake wamechukizwa na kitendo cha kunishirikisha mimi ivyo hata yeye hawezi kuhusishwa tena.

Mimi baada ya kusikia kauli iyo nikaondoka nikiwa na hasira na maumivu makali ya moyo, kwa kuwa usiku mnene ulishaingia sikwenda tena nyumbani, badala yake nikaenda kwa mwanamke fulani ambaye mimi nilikuwa na mahusiano naye lakini nilikuwa nashiriki naye kwa tahadhari na kwa kutumia condom.

Usiku ule nilikwenda kulala kwake na nilishiriki naye bila condom kitu ambacho sio kawaida yangu, nilifanya kama sehemu ya faraja yangu lakini niliishia kwenye stress kubwa ya nadharia ya kuambukizwa ukimwi, baada ya siku iyo ikaja kwamba kabla ya masaa 72 niwe nimempima na nimepima HIV.

Siku iliyofuata nikafanya vipimo mwenyewe na yeye majibu ni NEG, shida ikaja kwamba asubuhi yake nikaenda kuvicheki kama vimebaki kama vilivyo nikakuta kwake inaonyesha mistari mitatu mimi ni uleule mmoja, hapa nilikuwa sina uelewa wa vipimo.

Nilikuwa najitaidi kabla ya masaa 72 niwe nimejua kila kitu, baada ya majibu kuwa vile nikamshirikisha nesi fulani kwa kumtumia picha za vipimo vingine ambavyo tulipima naye usiku wa siku ile ya pili, nesi akasema mbona kama naona mstali kwa mbali hebu njoo na mwenzio, nikamjulisha ila alikuwa mbali ivyo nikaenda mwenyewe tu na kunishauri kwa kuwa muda unaisha ni bora nianzishe tu dawa ile ya ndani ya masaa 72, nikachukua na kukinywa bila kula licha ya kushauriwa lazima niwe nimekula.

Nikiwa na stress ya juu na mapigo ya moyo ya juu nikiwa nimekunywa kidonge ,yule dada akaja nanikamuelekeza aende hospitality akapimwe na alivyokwenda na kupimwa akakutwa hana maambukizi.

Siku mbili baadaye tumbo likaanza kuniuma bila kuharisha ila choo nilikuwa napata kwa shida,sometimes nilikuwa nikienda aja kubwa natoa uteute kama kamasi nyeupe na mkojo nilikuwa nakojoa mara kwa mara, nikanywa dawa mbalimbali nikidhani ni amiba,nikaenda kupima magonjwa yote lakini hakuna kilicholeta unafuu.

Baada ya mwezi nikaanza kukosa usingizi nikama napata mawenge,kukooa wakati nimelala, na maumivu ya kichwa baadaye nikaona miguu inavimba hapo nikaona naitaji kwenda hospitality kubwa,nikaenda na kupimwa na kuelezwa figo zangu hazifanyi kazi kwa ufanisi kwa kuwa damu inaonyesha sumu zipo 130 kwa viwango vyao wenyewe wanajua nikashauriwa nifuate mtindo bora wa kura itanisaidia kupunguza uwezekano wa muendelezo wa ugonjwa.

Sasa katika hali hii niliyonayo ninaamini kwamba kama ningelikuwa na kazi nyingine mfano:UALIMU.nisingepata ugonjwa huu kutokana na nature ya kazi hiyo inatoa nafasi kubwa ya muajiliwa kuwa huru na kufanya shughuli zako nyingine.

Lakini pia napenda kuhitimisha kuwa makazini tupendane hata kinafiki kuna wengi wanapata maradhi kutokana na tabia za viongozi au wafanyakazi wenzako mimi ni mfano wa wahanga waliadhiriwa na ukabila,ukanda,chuki na mambo mengine kazini hasa ukiwa mpole na husiye na makuu na husiye na muonekano wa kuwafuraisha wengine.

Asanteni.
Kanda ya ziwa ndiko neno POTI lilikozaliwa. Poti maana yake ni WA Nyumbani au wamuhira kwa ndugu zangu kigoma. Ukiona mtu yeyote anayependa kutumia majina hayo ni M nepotism
 
Naomba unipatie kozi fupi ya kuwa na roho mbaya na ya ukatili, nisiyejali wala kujua ya wengine kwa ufupi nifunze kuwa kama wao kwa kuwa naamini mimi sijajiumba ila naitaji kubadilika niwe zaidi yao.
Kuzaliwa mwanaume tu ni kibali tosha cha wewe kuwa na maamzi magumu pale panapo hitajika kufanya hivyo;
Haiwezekeni unyanyaswe kwa miaka zaidi ya10 hadi unapata magonjwa ya moyo na bado hujafanya maamzi.Kuna shida mahali
 
Habari zenu watanzania wenzangu popote mlipo, mimi nikiwa member hai wa forum napenda kutoa ushuhuda wa manyanyaso kazini yalivyopelekea kuangukia kwenye ugonjwa sugu wa figo.

Mimi ni mfanyakazi wa taasisi fulani serikalini, nimeajiliwa 2007, katika kupata kwangu ajila sikuwahi kufikilia kwamba makazini kuna chuki na manyanyaso yanayotokana na ukabila na muonekano wa mtu,ushirikina na maslai binafsi ya mtu.

Katika maisha yangu ya kuajiliwa sikuwahi kupata furaha ya kazi hii ninayoifanya tofauti na siku ninayopokea mshahara, kazi hii niifanyayo ni kazi ambayo kama mwanao ataajiliwa huku na hukumjengea misingi halali ya upatikanaji wa pesa ni vyema umuambie ajiendeleze kielimu angalau anaweza kupata nafuu.

Mimi baada ya kuajiliwa nikapangiwa huko mikoa ya kanda ya ziwa nikaanza kazi kwa kukaribishwa na manyanyaso ya kikabila, hapa ndipo nikaanza kupata joto la kazi yangu, ebu fikilia kuna kazi ya malipo mazuri ya pesa mezani alafu wewe upo hapo na umeiomba au unaitaji lakini mtu kwa mamlaka yake na kwa kutumia ukabila anampa mtu mwingine ambaye ni kabila lake ambaye anatafutwa akiwa hajui hili wala lile.

Sasa mambo kama haya yamenitokea zaidi ya mara Mia moja na katika nyakati hizo zote moyo wangu ulikuwa unaumia nikiwaza kwa maumivu makali ya moyo kwamba kwanini mimi nanyanyasika hivi, sababu ni muonekano wangu au kabila langu au elimu yangu au nimelogwa, lakini mwisho majibu yakaja kuwa ni ukabila na ushirikina .

Kwa kuwa sikuwa mtu wa kujiongeza niliishi maisha ya dizaini hii kwa miaka mingi huku nikiamini kuwa ni mambo yatakayoisha tu baada ya muda flani,lakini imekuwa ni endelevu mpaka hatma ya mwisho ya mates ya moyo yalipojitokeza.

Nikiwa sifahamu kwa undani elimu ya maradhi ya moyo ambayo kiuhalisia wakati naumia kwa manyanyaso niliyokuwa nayapata nikweli wakati nawaza moyo ulikuwa unaumia sana kwa kusikia kabisa yale maumivu.

Hatma ya yote .mwaka 2024 mwezi wa 4 nikiwa kazini kwangu nikapata habari njema kutoka kwa rafiki yangu kwamba kuna kazi ya pesa ipo nisiondoke, mimi nikakubaliana naye na nikawa naisubilia mpaka jua lilipozama, kitu kilichonitokea usiku ule ni funzo kwa wanangu na wale wote wanaotegemea kupata kwa visivyo halali.

Mimi nilisubiri sana lakini kilichonishangaza ni kuona watu ambao wahusika wa mchongo wakitawanyika mmoja mmoja, mimi nikaona kwamba huu ndio muendelezo wa yaleyale ambayo nayakataa na baada ya kuona hali ile mimi nikaamua kuondoka kurudi nyumbani.


Nikiwa nyumbani nikapigiwa simu na yule aliyenipa ule mchongo kwamba rudi halaka, nikapanda gari nikarudi niliporudi katika kuakikisha kazi ninayotaka kuifanya nikawa najaribu kuwauliza baadhi ya wahusika lakini sikupewa ushirikiano wowote, kilichoniuma zaidi ni baada ya kusikia mtu wangu wa karibu ambaye alinidokeza ishu iyo kwamba wenzake wamechukizwa na kitendo cha kunishirikisha mimi ivyo hata yeye hawezi kuhusishwa tena.

Mimi baada ya kusikia kauli iyo nikaondoka nikiwa na hasira na maumivu makali ya moyo, kwa kuwa usiku mnene ulishaingia sikwenda tena nyumbani, badala yake nikaenda kwa mwanamke fulani ambaye mimi nilikuwa na mahusiano naye lakini nilikuwa nashiriki naye kwa tahadhari na kwa kutumia condom.

Usiku ule nilikwenda kulala kwake na nilishiriki naye bila condom kitu ambacho sio kawaida yangu, nilifanya kama sehemu ya faraja yangu lakini niliishia kwenye stress kubwa ya nadharia ya kuambukizwa ukimwi, baada ya siku iyo ikaja kwamba kabla ya masaa 72 niwe nimempima na nimepima HIV.

Siku iliyofuata nikafanya vipimo mwenyewe na yeye majibu ni NEG, shida ikaja kwamba asubuhi yake nikaenda kuvicheki kama vimebaki kama vilivyo nikakuta kwake inaonyesha mistari mitatu mimi ni uleule mmoja, hapa nilikuwa sina uelewa wa vipimo.

Nilikuwa najitaidi kabla ya masaa 72 niwe nimejua kila kitu, baada ya majibu kuwa vile nikamshirikisha nesi fulani kwa kumtumia picha za vipimo vingine ambavyo tulipima naye usiku wa siku ile ya pili, nesi akasema mbona kama naona mstali kwa mbali hebu njoo na mwenzio, nikamjulisha ila alikuwa mbali ivyo nikaenda mwenyewe tu na kunishauri kwa kuwa muda unaisha ni bora nianzishe tu dawa ile ya ndani ya masaa 72, nikachukua na kukinywa bila kula licha ya kushauriwa lazima niwe nimekula.

Nikiwa na stress ya juu na mapigo ya moyo ya juu nikiwa nimekunywa kidonge ,yule dada akaja nanikamuelekeza aende hospitality akapimwe na alivyokwenda na kupimwa akakutwa hana maambukizi.

Siku mbili baadaye tumbo likaanza kuniuma bila kuharisha ila choo nilikuwa napata kwa shida,sometimes nilikuwa nikienda aja kubwa natoa uteute kama kamasi nyeupe na mkojo nilikuwa nakojoa mara kwa mara, nikanywa dawa mbalimbali nikidhani ni amiba,nikaenda kupima magonjwa yote lakini hakuna kilicholeta unafuu.

Baada ya mwezi nikaanza kukosa usingizi nikama napata mawenge,kukooa wakati nimelala, na maumivu ya kichwa baadaye nikaona miguu inavimba hapo nikaona naitaji kwenda hospitality kubwa,nikaenda na kupimwa na kuelezwa figo zangu hazifanyi kazi kwa ufanisi kwa kuwa damu inaonyesha sumu zipo 130 kwa viwango vyao wenyewe wanajua nikashauriwa nifuate mtindo bora wa kura itanisaidia kupunguza uwezekano wa muendelezo wa ugonjwa.

Sasa katika hali hii niliyonayo ninaamini kwamba kama ningelikuwa na kazi nyingine mfano:UALIMU.nisingepata ugonjwa huu kutokana na nature ya kazi hiyo inatoa nafasi kubwa ya muajiliwa kuwa huru na kufanya shughuli zako nyingine.

Lakini pia napenda kuhitimisha kuwa makazini tupendane hata kinafiki kuna wengi wanapata maradhi kutokana na tabia za viongozi au wafanyakazi wenzako mimi ni mfano wa wahanga waliadhiriwa na ukabila,ukanda,chuki na mambo mengine kazini hasa ukiwa mpole na husiye na makuu na husiye na muonekano wa kuwafuraisha wengine.

Asanteni.
Mkuu pole sana... cha kukushauri hebu hebu kuwa mtu wa ibada sana... pia kama changamoto.. zipo kila sehemu... cha msingi kujitaambua tu. Kwa sababu umeshawajua... wewe piga kazi tu usiwafuatilie wala usotegemee michongo ya kazini.. pokea mshahara wako wa halal.. panga mipango yako binafsi ya maendeleo kimya kimya... Acha shobo nae labda ucheke nao kinafiki.. maaana umeshajua upo na nyoka....

N.B wahi kazini mapema na ukifika
, fanya kazi.. muda wa kurudi ukifika.. fungal mafaili yako na urudi nyumbani uendelee na majukumu binafsi pia ufurahi na familia.....

Ukifanya hivyo walau utaona raha ya maisha
 
Pole mno Ila nachojua upendo ni illusion yaani ni nadharia and doesn't exist, anayebisha abishe tuone, hakuna cha upendo wa mzazi ama mtt kwa mzazi yaani what's being done is just exchanging of values aka trading if no values then you become nothing,hata inzi wenyewe Kama huna kidonda ama jalala kwako wanasepa Sasa unadhani binadamu yeye ni nani
📌📌📌COMMENT BORA KABISA KWA MWANZO WA MWEZI.
 
Back
Top Bottom