Manyanyaso na chuki kazini zimepelekea kuugua ugonjwa wa figo

POle sana
 
Siyo kweli, in fact ukiwa na thamani ndio utachukiwa zaidi. Ofisi niliyopo nimeshuhudia hayo, kuna jamaa ana perform kuliko sisi wote ila kila siku anawekewa vikao afukuzwe kazi!! Ndio unashangaa inakuaje wakati ndio anaipaisha taasisi.
 
Wewe ndio mwenye tatizo, binadamu yeyote ukishakua mtu wa lawama lazima watu wakutenge,
Mwanaume unalalamika badala uchukue hatua
 
Wewe ndio mwenye tatizo, binadamu yeyote ukishakua mtu wa lawama lazima watu wakutenge,
Mwanaume unalalamika badala

Wewe ndio mwenye tatizo, binadamu yeyote ukishakua mtu wa lawama lazima watu wakutenge,
Mwanaume unalalamika badala uchukue hatua
Wewe hujui ni namna gani mtu anafikia hatua za kuwa
Wewe ndio mwenye tatizo, binadamu yeyote ukishakua mtu wa lawama lazima watu wakutenge,
Mwanaume unalalamika badala uchukue hatua
Naomba unifunze kuwa na roho mbaya na ya ukatili na kutojali.
 
Nini solution ya hayo yote Mkuu??..Maana umeongea vitu vya msingi sana..Mtumishi alikuoa ushauri gani tena ??
 
Kwanini usiombe uhamisho huoni km utakufa kwa hiyo ofisi.
shida kubwa sana ni kwamba chuki si za eneo la kazi bali ni jamii fulani au kabila fulani ambao wanaamini kwamba taasisi ni haki yao na wako wengi hivyo kokote uendako utawakuta.
 
Hapo huwezi kuwalaum kwa asilimia 💯 hao wafanya kazi wenzako.
Kitu cha muhimu kwa sasa angalia afya yako na zingatia ushauri wa madaktari. Jisamehe na usamehe hao jamaa zako.
Moja ya majuto ya nafsi yangu juu ya mkasa wangu ni kuwa tusiwafundishe watoto utu na ukalimu bali tuwajaze kutojali na roho ya ukatili na ushirikina juu, nafahamu kwa kuwa yote yamenitokea.

Ukiwa na roho ya ubinadamu utapendwa na watu unaowapa huduma lakini si wale unaofanyanao kazi.
 
Kawaida sana
Ni kweli ni kawaida ila kwangu nimekuja kujua makazini roho nzuri haina nafasi, ni bora kumfunza mwanao roho mbaya ili akapambane na walimwengu kuliko kumfunza utu , ukarimu na upendo kwa imani kuwa utakupeleka peponi.
 
Ni kweli ni kawaida ila kwangu nimekuja kujua makazini roho nzuri haina nafasi, ni bora kumfunza mwanao roho mbaya ili akapambane na walimwengu kuliko kumfunza utu , ukarimu na upendo kwa imani kuwa utakupeleka peponi.
Balaa tupu yaan,kaza mkuu
 
Pole ndugu.
Jitahidi kuitafuta furaha ili upunguze msongo wa mawazo. Pili,km umeajiriwa,ukitaka uwe na amani na uhuru wa kazi EPUKA zile kazi za ya kwamba TUMA MAOMBI YA KUANDIKISHA WAPIGA KURA,KUWA MSIMAMIZI WA UCHAGUZI,KUHESABU WATU (SENSA) badala yake wakikuhitaji wakuite wao,utaheshimiwa na kuogopwa sana.
 
Moja ya makosa ninayoyajutia ni hayo lakini changamoto kubwa ya kazi yangu ni ukionekana unajambo unafanya litakalokutoa kwenye utegemezi utaamishwa ili kukuvuruga usiweze kusimamia mambo yako.
 
Kwani kasema ni police?
Km ni kweli basi pole yangu kwake nitaenda kuifuta.
Ninao ndugu ambao ni police lkn nikifuatilia visa vyao na matukio ya kiovu wanayo fanya basi huwa ninatamani wote wateketeeee.
 
Moja ya makosa ninayoyajutia ni hayo lakini changamoto kubwa ya kazi yangu ni ukionekana unajambo unafanya litakalokutoa kwenye utegemezi utaamishwa ili kukuvuruga usiweze kusimamia mambo yako.
Kwani ukihamishwa haulipwi sitahiki zako?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…