Itakuwa jamaa alikuwa ana magonjwa ya akili sio kawaida
Bora uoe au uolewe na malaya, atacheat ila jion atarudi, watoto watakula, watasoma, watalala.
Ila ukiolewa na mgonjwa wa akili yani mentally unstable atafanya jambo la hatari mda wowote ndio hao wakupiga risasi wake zao
Na ukioa mgonjwa wa akili anaweza wafanya watoto wako kama mawe, unakuta mwanamke anampiga mwanae kama anampiga mnyama au mti kumbe kamzaa mwenyew
Kwenye uchumba tu ukiona tu dalili zozote za uchizi chizi, hasira za kijinga, sheria za kipumbavu, mipaka isiyo namantiki, bora umwepuke mapema.
Sheria ifuate mkondo wake.