Kijukuu cha ngoyayi
JF-Expert Member
- Oct 27, 2018
- 1,384
- 2,880
Mwanamke mwenye upendo wa kweli ni mama tu hawa wengine hutakiwi kuji invest sana ni utopolo mtupu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hapo automatically wamebaki na mama.Ila wanaume bhana,apo angekua mwanamke amekimbiwa,angekomaa hao na hao watoto hadi wanakua....anyway pole kwa watoto,ulimwengu unawapokea kikauzu.
Yaan unapewa Uhuru wa kuwa na nyumba ndogo unajiwaisha,
Aisee wengine hatuna bahati ya kukimbiwa.
Ni bahati sana unapata muda wa kutosha kukandwa mgogo,Hivi ni bahati enhee..!!
Yule sijui kwa nini ndugu zake hawampeleki kwa madaktari. Yule ni chizi kabisa.Miaka 50 wa sasa hivi wanakuwa kama akina Deo Kisandu
Ya peponi
Wanaojiua wanajiua wanaenda wapi?Mtu amejiuwa aingie peponi!!! Usiwaongopee watu dada
Wanaojiua wanajiua wanaenda wapi?
HayaJehanam
Pema peponi hawezi kulazwa, mtu kajiondoa uhai na amri mojawapo inasema USIUE yeye kajiua ni motoni moja kwa mojaAlazwe pema peponi kamanda....
Mungu ndio anajuaPema peponi hawezi kulazwa, mtu kajiondoa uhai na amri mojawapo inasema USIUE yeye kajiua ni motoni moja kwa moja
Ina maana anaweza kusamehewa kwa kujiua, kuidhulumu pumzi aliyopewa na Mungu?Mungu ndio anajua
Pema peponi hawezi kulazwa, mtu kajiondoa uhai na amri mojawapo inasema USIUE yeye kajiua ni motoni moja kwa moja
Mapenzi matamMkazi wa Kijii cha Ng’wandakw, Kata ya Haydom Wilayani Mbulu Mkoani Manyara, Philemon Tandu (50) amefariki dunia kwa kujinyonga baada ya kuachwa na mke wake akiwa na watoto watano.
Kamanda wa polisi wa mkoa wa Manyara, kamishna msaidizi (ACP) Marrison Mwakyoma akizungumza jana alisema tukio hilo lilitokea juzi kwenye kijiji
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yaan unapewa Uhuru wa kuwa na nyumba ndogo unajiwaisha,
Aisee wengine hatuna bahati ya kukimbiwa.
Hata kama wewe ungekuwa na pepo yako, ungemtia peponi mpumbavu kama huyu..Alazwe pema peponi kamanda....
Kwanza hilo jina halitaki tena . Sasa hivi ana bendi yake na keshatoa album nzuri tu na maisha yanaendelea.Miaka 50 wa sasa hivi wanakuwa kama akina Deo Kisandu