Sol de Mayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2016
- 6,515
- 6,230
Kanda ya kaskazini vituko kama kawa, ukiona kifo bac chanzo ni mapenzi n.k
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanazani pepo ni kama unaingia nyumbani kwako 🤣Hata kama wewe ungekuwa na pepo yako, ungemtia peponi mpumbavu kama huyu..
Haya kajinyonga, ndio kaondoka na mbususu ya mwezie au!? (kusema kamkoa hatom..Bwi tena)
Sana sana kawaachia majonzi watoto na watu wengine waliomuwa wanamtegemea.
Dah,nimejikuta tu nimecheka!Alazwe pema peponi kamanda....
Kwahiyo unashauri nini?Sijawai kuona mwanaume kajiua zanzibar ama pemba kisa mwanamke... kule wanaume hawaoi mke mmoja
Bangi bhana!!Alazwe pema peponi kamanda....
Maisha ya ndoa
1. Sio pesa tuu
2. Hakikisha una muda na mwenza wako
3. Hakikisha una muda na watoto
4. Uwe na muda wako wa kujitafakari endapo lolote litatokea
Marehemu ameteswa sana na mapenzi, apumzike peponi tu....Hata kama wewe ungekuwa na pepo yako, ungemtia peponi mpumbavu kama huyu..
Haya kajinyonga, ndio kaondoka na mbususu ya mwezie au!? (kusema kamkomoa hatom..Bwi tena)
Sana sana kawaachia majonzi watoto na watu wengine waliokuwa wanamtegemea.
Kateseka sana na mapenzi acha apumzike tu.... peponi moja kwa moja na siti yake itakua na chaja na free WiFiIna maana anaweza kusamehewa kwa kujiua, kuidhulumu pumzi aliyopewa na Mungu?
Bangi iheshimiwe na watu woteBangi bhana!!
Dah,nimejikuta tu nimecheka!
Apumzike kwa amani marehemu
Mbinguni kwa babaAmani ya kutoka wapi mzehe
Mbinguni kwa baba
hahahahahahaha umetishaHivyo vyote ni utumwa mimi natafuta muda wa kukaa mwenyew na kutafuta pesa tuu siko tayari kushikiza furaha yangu kwa mtu never
Hata wewe huijui,au ushawahi kwenda na kurudiNdivo munavyojidanganya mzehe, unaijua pepo wewe!
Hata wewe huijui,au ushawahi kwenda na kurudi
Peponi hatutoingia kwa kuonewa huruma kuwa tulikosewa, tutaingia peponi baada ya kufaulu mitihani.. Mmoja wapo ni huu.Marehemu ameteswa sana na mapenzi, apumzike peponi tu....
Hata wewe huijui,au ushawahi kwenda na kurudi