Manyara: Ajinyonga baada ya kuachwa na mkewe

Ushauri baada ya kuachwa.
--1.. Ulimkuta mwanamke akiwa bikira zote 2?.
--2.. kabla ya kuwa na yeye ulikuwa unaishije?
--3..kwani mapenzi au kupendwa ni lazima?

Ukishapata majibu ya haya fanya maamuzi...

Mtajiua bure kwa upumbavu na ulimbukeni wa mapenzi.
 
Mapenzi matam
 
Alazwe pema peponi kamanda....
Hata kama wewe ungekuwa na pepo yako, ungemtia peponi mpumbavu kama huyu..

Haya kajinyonga, ndio kaondoka na mbususu ya mwezie au!? (kusema kamkomoa hatom..Bwi tena)

Sana sana kawaachia majonzi watoto na watu wengine waliokuwa wanamtegemea.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…