Manyara: Basi la Mohammed Classic lapata ajali na kusababisha vifo vya watu wanne na majeruhi 26

Manyara: Basi la Mohammed Classic lapata ajali na kusababisha vifo vya watu wanne na majeruhi 26

Roho za marehemu zipumzike salama.

Ukitoka kwako na kurudi salama ni jambo kumshukuru mungu
Acha tu mkuu!

Leo Dar pale makutano ya mitaa ya Msimbazi na Swahili kwenye taa zile amepigwa bodaboda na mwendokasi on the spot akakata moto,yaani kama masihara mtu jina limegeuka.

Hii dunia tuishi tukiijua dk moja mbele siyo yetu.
 
Hii ajali nimeikuta leo, hiyo fuso ilikua imebeba mchele yani umesambaa barabarani kama mchanga na fuso yenyewe haitizamiki kwa jinsi ilivyopondeka

Sent from my TECNO-C8 using JamiiForums mobile app
 
Ni muujiza ambao hata wewe mwenyewe huhitaji kumshukuru Mungu kwa sababu shukrani zako haziwezi kulingana hata na chembe ya kile ambacho Mungu amekufanyia. Badala ya kumshukuru Mungu, unatakiwa umuombe Roho Mtakatifu akusaidie kutoa shukrani zilizo sahihi kwa Mungu. Usimshukuru Mungu wewe, mwambie Roho Mtakatifu akusaidie kutoa hizo shukrani
Roho mtakatifu ndio nani chief? 🤔
 
Acha tu mkuu!

Leo Dar pale makutano ya mitaa ya Msimbazi na Swahili kwenye taa zile amepigwa bodaboda na mwendokasi on the spot akakata moto,yaani kama masihara mtu jina limegeuka.

Hii dunia tuishi tukiijua dk moja mbele siyo yetu.

Wenye boda na magari wanavunja sheria, wanatakia nini kupita njia za mwendo kasi!!
 
Wenye boda na magari wanavunja sheria, wanatakia nini kupita njia za mwendo kasi!!
Yaani unajua mkuu zipo situations kama dereva unaweza kuepusha kifo cha mvunja sheria kwa kuwajibika kwa kosa lake madhali halikuletei matatizo ila hawa mwendokasi wanafanya makusudi kabisa.

Imagine kumuongezea mtu aliyekosea speed huku ukijua kabisa kwa vyovyote huyu kwa tons hizi hatopumua tena,kama ajali ya leo boda alikuwa anavuka taa kutoka upande wa kushoto wa bus amepigwa na gari upande wa kulia it means alikuwa a-survive kama driver angeminya kidogo brake ila akaongeza mwendo kwenda kumuuwa,wakati mwengine ni baba wa familia anauwawa kizembe eti kwa sababu kaingia mwendokasi huyo aliyemuuwa atajisikiaje afike nyumbani kwake wanae wampokee kwa bashasha huku wapo wa mwenzake aliyemuua kuanzia leo wataishi chini ya milo mitatu!

Inasikitisha sana!
 
Yaani unajua mkuu zipo situations kama dereva unaweza kuepusha kifo cha mvunja sheria kwa kuwajibika kwa kosa lake madhali halikuletei matatizo ila hawa mwendokasi wanafanya makusudi kabisa.

Imagine kumuongezea mtu aliyekosea speed huku ukijua kwa vyovyote huyu kwa tons hizi hatopumua tena,kama ajali ya leo boda alikuwa anavuka taa kutoka upande wa kushoto wa bus amepigwa na gari upande wa kulia it means alikuwa a-survive kama driver angeminya kidogo brake ila akaongeza mwendo kwenda kumuuwa.

Kuna madereva wengine wanafanya makusudi mkuu,, chukulia mfano mtu anaovateki kumbe kuna gari linakuja na kuingia saiti yake hawezi, anaeovatekiwa nae hapunguzi mwendo ili mwenzie aovateki mpaka anabamizwa.
 
Ningekua rais hiyo mifuso ingekua na barabara zake,naona asilimia 70 ya ajali inahusisha hiyo mifuso!
 
Yaani unajua mkuu zipo situations kama dereva unaweza kuepusha kifo cha mvunja sheria kwa kuwajibika kwa kosa lake madhali halikuletei matatizo ila hawa mwendokasi wanafanya makusudi kabisa.

Imagine kumuongezea mtu aliyekosea speed huku ukijua kabisa kwa vyovyote huyu kwa tons hizi hatopumua tena,kama ajali ya leo boda alikuwa anavuka taa kutoka upande wa kushoto wa bus amepigwa na gari upande wa kulia it means alikuwa a-survive kama driver angeminya kidogo brake ila akaongeza mwendo kwenda kumuuwa,wakati mwengine ni baba wa familia anauwawa kizembe eti kwa sababu kaingia mwendokasi huyo aliyemuuwa atajisikiaje afike nyumbani kwake wanae wampokee kwa bashasha huku wapo wa mwenzake aliyemuua kuanzia leo wataishi chini ya milo mitatu!

Inasikitisha sana!
Mkuu ulikuwa ndani ya bus ukishuhudia dereva wa bus akiongeza mwendo ili kumuua bodaboda?
 
Blame game hii...usitegemee mtu akuokoe kwa uzembe wako.

So, kwanini anaeovatekiwa asimuachie mwenzie apite? Yani unawaona kabisa wanakutana face to face unategemea nani atapona hapo!! Kuna mijitu ina roho ya kikatili sijapata kuona.
 
So, kwanini anaeovatekiwa asimuachie mwenzie apite? Yani unawaona kabisa wanakutana face to face unategemea nani atapona hapo!! Kuna mijitu ina roho ya kikatili sijapata kuona.
Hujui na yeye ana situation gani. Sasa aingie porini kisa uzembe wako wa kuovateki bila kuangalia? Nishapisha nyumbu kibao kwenye hio situation hasa wanaoendesha IST sababu kubwa gari hazina nguvu ya kutosha kuovateki malori umbali mfupi.
 
Ndio nani?
Ni Roho Mtakatifu. Nafsi ya tatu ya Mungu; Mungu ana nafsi tatu, binadamu ana nafsi moja; it's natural, you cannot question

Very partially untapped; will manifest into yourself as "machale". Fully tapped however, He will make you realise that He is just an Unseen Super Human Being, always beside you for whatever miraculous assistance you might need; wherever you are.

Ni ngumu ku-grasp hii kitu kwa mtu kama wewe, unless you get the mechamisms of experiencing it. However, very few have the capacity to tape this sort of assistance from this Super Human Being; Walokole;s. .... and I'm one of them anyway
 
Dereva Omar tumetoka kumzika sahivi 10:00 Babati maisha ni mafupi jana asubuhi katoka Arusha leo sahiv tumemzika dah Polen majeruhi wote
 
Dereva Omar tumetoka kumzika sahivi 10:00 Babati maisha ni mafupi jana asubuhi katoka Arusha leo sahiv tumemzika dah Polen majeruhi wote
Innalillah wainaillaih rajiun
mwenyezimungu amuweke Mahalia pema peponi
 
Back
Top Bottom