Manyara: DC mstaafu amshushia kipigo mkewe, nyumba ndogo yatajwa kuwa chanzo

Ukiendekeza ngono na kuona hilo tu ndio jambo muhimu sana kuliko mengine lazima yakukute makubwa siku moja.mkojo shida yake utoke tu,kama shimo lipo ndani huko nje tunatafutaga nini wanaume wenzangu.??
Huyo Mama kisirani sana hata km shimo la choo ni self bora nikakojoe nje tena porini kuna hewa safi na kaubaridi.
sijaona hapo kosa hiyo Mama aombe talaka apewe chake km huyo Bw na kimada wake watamfuata
 
Tukio kama hili lilitokea kwa wanandoa hawa na kuripotiwa tarehe 17 April 2020 hapa hapa Jamii Forums. Au ndio ilikuwa first anniversary?
 
Shida ya vita kama hizi unapambana kusolve huku scola nae anazidisha manjonjo kitandani.basi inakuwa tafrani tupu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…