Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 76,107
- 160,001
Kaolewa mdogo sana, kabla ya kumuhukumu kweli wangechunguza kwa makini maisha aliyokua anaishi na mumewe.
Halafu ana mtoto wa miaka Saba. Inamaana mimba aliipata akiwa 15/16Miaka 24 mdogo sana
Eeh, hapo kesi nyingine mume anayo ya kuoa mtoto mdogoHalafu ana mtoto wa miaka Saba. Inamaana mimba aliipata akiwa 15/16
Lazima apate haki yake hiyo sio sababuKaolewa mdogo sana, kabla ya kumuhukumu kweli wangechunguza kwa makini maisha aliyokua anaishi na mumewe.
Ukute alikua anapitia mateso na manyanyaso hadi ikapelekea uamuzi huo
Mungu atusaidie sana akina mamaImagine! Hayuko matured enough huyo binti, ndo maana changamoto za ndoa zimemchanganya akaona hiyo ndio solution.
Yeah ila baada ya hayo yote mwisho ya siku sheria itafata mkondo wake.Lazima apate haki yake hiyo sio sababu
Amen... atusaidie kwakweli, sio rahisi hata kidogo kwa nguvu zetuMungu atusaidie sana akina mama
Yaani tunahitaji msaada wa Mungu kwa kweli maana haingii akilini hasira juu ya Mme ndo zimfanye awaue watoto wake! Ila hawa wanaume nyakati zingine wana maudhi lakini si ya kunifanya niue watoto. Wapumzike kwa amani Malaika wa Mungu wasio na dhambi, inauma mnoMungu atusaidie sana akina mama
Itakuwa kumkomoa sio kumuokoaAliyeelewa hii statement tafadhali.
Sijui mvinyo umenielemea kichwani,sina uhakika...
Hakuna hasira ya kumfanya mwanamke kudhuru watoto, siamini kama inawezekana jamani, unajua sisi wanawake tukishakua na watoto all our heart, mind, soul and everything inahamia kwa watoto na hata muda wa kuspend na mume unapungua kwa sababu mtoto anachukua nafasi kubwa sana kwetu, nashangaa ujasiri wa kuua anapata wapiYaani tunahitaji msaada wa Mungu kwa kweli maana haingii akilini hasira juu ya Mme ndo zimfanye awaue watoto wake! Ila hawa wanaume nyakati zingine wana maudhi lakini si ya kunifanya niue watoto. Wapumzike kwa amani Malaika wa Mungu wasio na dhambi, inauma mno
Hibi chakorii ndo picha gani hiyo sasa jamaniMaumivu ninayoyapata sasa hivi ni mazito mnooo..siwezi kuyaelezeaπ₯Ίπ₯Ίπ₯Ίππππππππππππππππππππππππππππππ.wamekosa nini malaika wa Mungu jamani..ni simanzi
kausha basi mamaππnataka kuchanganya totozi humuπππHibi chakorii ndo picha gani hiyo sasa jamani
Ha ha ha! eti kaushakausha basi mama