Manyara Tayari Kupokea Wanafunzi Kutoka Pande Zote za Nchi

Stephano Mgendanyi

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2020
Posts
2,833
Reaction score
1,301

MANYARA TAYARI KUPOKEA WANAFUNZI KUTOKA PANDE ZOTE ZA NCHI

Nimewaelekeza viongozi husika kuzingatia utoaji wa huduma katika sekta hii ya elimu kwa kuzingatia ubora, maadili, taratibu, miongozo na sheria hasa katika shule hii mpya ya wasichana ya Mkoa Manyara.

"wazazi wote ambao watoto wenu wamepangiwa shule ya mkoa wa manyara, manyara tupo tayari na tunawakaribisha"

Serikali ya Awamu ya Sita chini ya uongozi makini wa Mhe.Dkt.Samia Suluhu Hassan, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ipo kazini na kazi zinaonekana kwa macho.
Manyara tunakushukuru Mh Rais👏🏼

Uwajibikaji rafiki wa maendeleo 🇹🇿
 

Attachments

  • GRPQwhZXsAAoouE.jpg
    60.5 KB · Views: 2
  • GRPQwhYWwAAB1EQ.jpg
    98.7 KB · Views: 3
  • GRPQwhUXMAApV9S.jpg
    97.6 KB · Views: 2
  • GRPQwhWWQAAaZy_.jpg
    112.9 KB · Views: 2
Wasomi wetu na uchawa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…