secret file
JF-Expert Member
- Sep 10, 2019
- 5,843
- 8,637
Aione Pasco Mayalla classmate wake huyoo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naisi labda atakuwa nduguyo kaka,Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Watu hubadilika, hasa ukiwa huku field vishawishi ni vingi, kwhy kusoma kwenu darasa moja miaka mingi iliyopita usikariri jamaa bado tupo vile. Afu hiyo kuiita chombo cha dola ni waongo bila kuthibitisha huo uongo wao siyo vizuri.Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Yes now we know it's a "personal interest". Your judgement is clouded kwakuwa ulisoma nae? Aibu hii, unawezaje kusema TAKUKURU ndio waongo? Au umeshafanya uchunguzi? Au na wewe unahusika kwenye mgawo huo wa 5M?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Ni tapeli balaa huyu jamaaMalipo ni hapa hapa,na enzi za Jiwe asingeguswa huyu.
Sent from my TECNO CF7 using JamiiForums mobile app
Hatari snWataishia kukamata vidagaa tu, millioni 50,100,nk but the big fish wale wanaofanya vikao vya bodi 23 Visivyo na maana yoyote harafu wanapiga millioni 600! Hawa wanaachwa tu waendelee na maisha.
Na wale walioingia mkataba wa kuweka Rangi kwenye mafuta wakawa wanakula billioni 5,(yes 5000,000,000,) kwa mwezi hawa mkataba unasitishwa walizotuibia wanaenda nazo.
Mwandishi nguli, good character ni sababu ya kutofanya hatia?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Unamfahamu mkiwa darasa la LLB na si akiwa kwenye mamlaka yake ya uwakili wa serikali.Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Mzee wa kungata na kupulizaDeclaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Unekosea sheheIkithibitika amekula rushwa aende ndani siku ya kuingia na siku ya kutoka akamuonyeshe mkewe - JK Nyerere 1995.
Kukariri ni kubaya. Huelewi kwamba watu hubadilika kitabia na kiumbo?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Ngoma Ikilia Sana Haichelewi KupasukaHuyu jamaa ni rafiki yake na Mnyeti balaa ndiyo matapeli wakubwa
Huyo jamaa hakuwa hivyo sijui nini kimembadilisha kama ni kweli!!?Mayalla atakuwa anamjua vizuri
Mayalla mzee wa ukigeuka anakuzomea
Ova
Huyu jamaa anatuhuma nyingi balaaNgoma Ikilia Sana Haichelewi Kupasuka
Naona Imeshapasuka Tayari
Madame Rais
Amesema Kazi Iendelee
Fimbo kumi Na mbili wakati ywa kuingia na nyingine kumi na mbili wakati wa kutokaIkithibitika amekula rushwa aende ndani siku ya kuingia na siku ya kutoka akamuonyeshe mkewe - JK Nyerere 1995.
Fimbo kumi Na mbili wakati ywa kuingia na nyingine kumi na mbili wakati wa kutoka
Usijali, tupo pamojaThanks kumbe nilisahau kuweka achapwe fimbo 12 siku ya kuingia na siku ya kutoka akamuonyeshe mkewe.... 😀 😀 😀 😀 😀.