Manyara: Wakili wa Serikali, Mutalemwa Kishenyi mbaroni kwa Rushwa, TAKUKURU wamshikisha za moto

Pascally ndugu yangu huoni kama haya maneno yako ungeyasema kipindi mzee huyo JR anakamatwa hadi anapelekwa huko rupango yangekuwa na sauti?
P
 
Tatizo ni mshahara mdogo au ni tamaa?!!
vyovyote vile itakavyo kuwa bado RUSHWA ni adui wa haki.

Pongezi kwa TAKUKURU Mkoa wa Manyara kwa Kazi nzuri, Mikoa mingine igeni Mfano wa kazi nzuri ya TAKUKURU Manyara.

Wala rushwa wapo wengi sana......ni Muhimu kwa TAKUKURU yetu ikatumia mbinu za kisasa ili kuwakamata wala rushwa wote...angalu itasaidia kukomesha kabisa.

kupambana na rushwa ni pamoja na kukamata na kuchukua hatua kama hii waliyo fanya Mkoa wa Manyara, sio kuwalea wala rushwa, wakamateni ili rushwa iishe.
 
Hivi we jamaa unajielewa kweli? Yaani kabisa unasema mwanaume mwenzako hawez kula rushwa unamtetea kabisa! Are you serious dude? Smoking something perhaps as you wrote this?! Huh!
Hahahahahaaa, jamaa siyo yeye ameandikiwa na mtu!.
 
Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Brother Pascal usikariri watu, Binaadamu hubadilika kutokana na Mazingira aliyopo! Ndiyo maana kuna wetu wengine walikua Mafirauni,lakini leo hii ndiyo wacha Mungu wakubwa!!
 
Watu hubadilika, hasa ukiwa huku field vishawishi ni vingi, kwhy kusoma kwenu darasa moja miaka mingi iliyopita usikariri jamaa bado tupo vile. Afu hiyo kuiita chombo cha dola ni waongo bila kuthibitisha huo uongo wao siyo vizuri.
Uko sahihi sana
 
Umesoma vizuri kilichoandikwa au umekurupuka!!?
 
Mawakili wanapenda pesa balaaa
Wachache sana wana nidhamu ya kazi yao
Ila mawakili hawa wa sasa pesaaa tu

Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…