Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 53,857
- 121,995
Pascally ndugu yangu huoni kama haya maneno yako ungeyasema kipindi mzee huyo JR anakamatwa hadi anapelekwa huko rupango yangekuwa na sauti?
Huyu jamaa ni rafiki yake na Mnyeti balaa ndiyo matapeli wakubwa
KabisaIkithibitika amekula rushwa aende ndani ,siku ya kuingia na siku ya kutoka achapwe viboko 12 akamuonyeshe mkewe - JK Nyerere 1995.
Mmmmmmh unajuaje kama hajabadilika?.Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Hahahahahaaa, jamaa siyo yeye ameandikiwa na mtu!.Hivi we jamaa unajielewa kweli? Yaani kabisa unasema mwanaume mwenzako hawez kula rushwa unamtetea kabisa! Are you serious dude? Smoking something perhaps as you wrote this?! Huh!
Mkuu, kwahiyo tukuamini wewe na kuipuuza taasisi?Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Yule ni mla rushwa balaaAu labda anaewindwa ni Mnyeti?
Brother Pascal usikariri watu, Binaadamu hubadilika kutokana na Mazingira aliyopo! Ndiyo maana kuna wetu wengine walikua Mafirauni,lakini leo hii ndiyo wacha Mungu wakubwa!!Declaration of interest, jamaa nimesoma nae LL.B darasa moja, jamaa ni muadilifu wa ukweli kabisa na uadilifu wake ni uadilifu usiotia shaka, hivyo Takukuru ndio waongo!.
P
Mawakili wa Serekali wanazinguwa sana,bora nao Wazinguliwe tu! Takukuru mfatileni pia yule Wakili wa Serekali Mkoa wa Tanga,nae ni mzinguwaji!! Asanteni sana! na Kazi iendelee!!Unamfahamu mkiwa darasa la LLB na si akiwa kwenye mamlaka yake ya uwakili wa serikali.
Uko sahihi sanaWatu hubadilika, hasa ukiwa huku field vishawishi ni vingi, kwhy kusoma kwenu darasa moja miaka mingi iliyopita usikariri jamaa bado tupo vile. Afu hiyo kuiita chombo cha dola ni waongo bila kuthibitisha huo uongo wao siyo vizuri.
Of course ni kweli , kwa sababu kunakuwa hakuna opportunity hiyoHakuna mwanafunzi ambaye ni financially corrupt. Lakini wakiingiaga kazini wanakuwaga hatari. Watch out boss !
Tuhuma nyingi kivipi!!??Huyu jamaa anatuhuma nyingi balaa
Umesoma vizuri kilichoandikwa au umekurupuka!!?Hii Taarifa ya TAKUKURU haiko na flow nzr, as if mwenye kuiandika alikuwa na haraka haraka hivi, unaleta ukakasi kwenye ukweli wa jambo lenyewe.
Kama aliomba na kupokea rushwa, kwa nn hawakumkamata immediately wakati akipokea?
Uharaka wa kutoa taarifa kuwa amepokea rushwa pasipo uthibitisho umetoka wapi?
Inanifikirisha kuwa huenda kuna njama ya kumchafua huyu Bwana Mtalemwa kwa sababu binafsi.
Kwani we mwenyewe unasemaje?Umesoma vizuri kilichoandikwa au umekurupuka!!?
Takukuru kwenye ripoti yao wamesema amekamatwa akiwa amepokea 5m pesa ya rushwa......kwa lugha rahisi amekamatwa red handed......of which mimi binafsi na doubtKwani we mwenyewe unasemaje?
Yeye mwenyewe akioneshwa hela haachiBrother Pascal usikariri watu, Binaadamu hubadilika kutokana na Mazingira aliyopo! Ndiyo maana kuna wetu wengine walikua Mafirauni,lakini leo hii ndiyo wacha Mungu wakubwa!!