Manyaso ya mwanaume ni magumu kuliko mwanamke

Manyaso ya mwanaume ni magumu kuliko mwanamke

Mwachiluwi

JF-Expert Member
Joined
Mar 10, 2022
Posts
25,258
Reaction score
48,589
Morning,

Ambao tumeishi kwa ndugu nikiongea hivyo mnanielewa bora akunyanyase mama mwenye nyumba kuliko baba mwenye nyumba.

Nimeshaona kitu kama hiki kimewahi nitokeaga mpaka leo sitamani mwanangu aende kwa ndugu yoyote yule, sio kwenda likizo wala kumsalimia.

Nilikaaga kwa aunt yangu kulala ilikuwa store marufuku kwenda sitting room akikukuta unaandika maelezo, marufuku kwenda jikoni kunywa maji.

Alikuwa anasema ninyi wengine kunyweni maji ya bombani sitaki niwaone huku nikikumbuka na mengine mengi sitamani mwanangu aende kokote.
 
Morning,

Ambao tumeishi kwa ndugu nikiongea hivyo mnanielewa bora akunyanyase mama mwenye nyumba kuliko baba mwenye nyumba.

Nimeshaona kitu kama hiki kimewahi nitokeaga mpaka leo sitamani mwanangu aende kwa ndugu yoyote yule, sio kwenda likizo wala kumsalimia.

Nilikaaga kwa aunt yangu kulala ilikuwa store marufuku kwenda sitting room akikukuta unaandika maelezo, marufuku kwenda jikoni kunywa maji.

Alikuwa anasema ninyi wengine kunyweni maji ya bombani sitaki niwaone huku nikikumbuka na mengine mengi sitamani mwanangu aende kokote.
Shukuru Mungu mapito yale yalikufanya kuwa mwanaume wa shoka wa kutegemeka!!

Ungependwa na kudekezwa ungekua jinga sana kama ninavyowaona baadhi ya Ndugu ZANGU Hapa!!

Rasimu ya Warioba irudi mezani SASA iwe KATIBA MPYA"!
 
Na mwanaume mpaka aje kukunyanyasa ujue kuna genuine reason.

Mfano, hebu tuambie hapo ulienda kwa ajili ya nini?
 
nilikuwa nasoma dar mama yangu alikuwa mkoan af hiyo shule ilikuwa inamtaka mzaz au mlezi anae hish karibu awe mzamini kwaio hakukuwa na njia nyingne waka mwandhka yeye siku niliumwa gafla akapigiwa cm haje anichukue akatuma dereva wakaja kunibeba nafika kwake nikapigwa tukio moja hilo naumwa hapo akanituma kanunue chips nikajua zangu nikaenda kuludi akasema unajua kupika nikamwambia kias chake akasema sawa akamuita dad wa kazi msonge ugali af huchukue godoro kule store huyu atakuwa ana lala sebuleni nyumb ina vyumb vitat af watot wakike wap wawil hao wote wanalala kila mtu chumb chake walishindwa kulala pamoja af kuna sik watot wake wananipigia cm et mdogo wangu mama ananinyanyasa nitumie 10k nataka niondoke nikampea
Na mwanaume mpaka aje kukunynyasa ujue kuna genuine reason.

Mfano, hebu tuambie hapo ulienda kwa ajili ya nini?
 
Morning,

Ambao tumeishi kwa ndugu nikiongea hivyo mnanielewa bora akunyanyase mama mwenye nyumba kuliko baba mwenye nyumba.

Nimeshaona kitu kama hiki kimewahi nitokeaga mpaka leo sitamani mwanangu aende kwa ndugu yoyote yule, sio kwenda likizo wala kumsalimia.

Nilikaaga kwa aunt yangu kulala ilikuwa store marufuku kwenda sitting room akikukuta unaandika maelezo, marufuku kwenda jikoni kunywa maji.

Alikuwa anasema ninyi wengine kunyweni maji ya bombani sitaki niwaone huku nikikumbuka na mengine mengi sitamani mwanangu aende kokote.
Ulikutana na mchawi na limbukeni wa maisha.Ungekutana na malaika usingewaza hayo
 
Cha ajabu mnaonyanyaswa nanyi mkipata nanyi mnakuwa wanyanyasaji
Sio kweli mkuu hilo mimi nakataa

Ingawa ndio inawajengea picha ya unyanyasaji ila hawawezi kugeuka kua wanyanyasaji wengine wanakua wamesimama kuupinga unyanyasaji km ule walioupitia
 
Back
Top Bottom