Mwachiluwi
JF-Expert Member
- Mar 10, 2022
- 25,258
- 48,589
Shukuru Mungu mapito yale yalikufanya kuwa mwanaume wa shoka wa kutegemeka!!Morning,
Ambao tumeishi kwa ndugu nikiongea hivyo mnanielewa bora akunyanyase mama mwenye nyumba kuliko baba mwenye nyumba.
Nimeshaona kitu kama hiki kimewahi nitokeaga mpaka leo sitamani mwanangu aende kwa ndugu yoyote yule, sio kwenda likizo wala kumsalimia.
Nilikaaga kwa aunt yangu kulala ilikuwa store marufuku kwenda sitting room akikukuta unaandika maelezo, marufuku kwenda jikoni kunywa maji.
Alikuwa anasema ninyi wengine kunyweni maji ya bombani sitaki niwaone huku nikikumbuka na mengine mengi sitamani mwanangu aende kokote.
kwangu ilikuwa kidogo nafuu mkaka wakazi mpaka alikuwa anamwagiwa maji ya baridiNingerusha ngumi hata kama ni ugenini
Yah na akiaza kuongea anakutukana mpaka unamwa siku mbiliDaaah kwaio huyo aunt(shangazi) ni dada yake na mzee wako? Mshua alikua amefariki?
Ila kipindi mshua yupo hai ilikua fresh ama? Daah haya mambo si mchezo aiseeYah na akiaza kuongea anakutukana mpaka unamwa siku mbili
Ila kipindi mshua yupo hai ilikua fresh ama? Daah haya mambo si mchezo aise
aba yet alikua hapendi mtoto wake haende0kwa kwa ndugu kwaio tulikuwa hatuna mazoea nae yaan tulikuwa tuna msikia0tuIla kipindi mshua yupo hai ilikua fresh ama? Daah haya mambo si mchezo aisee
Na mwanaume mpaka aje kukunynyasa ujue kuna genuine reason.
Mfano, hebu tuambie hapo ulienda kwa ajili ya nini?
Ulikutana na mchawi na limbukeni wa maisha.Ungekutana na malaika usingewaza hayoMorning,
Ambao tumeishi kwa ndugu nikiongea hivyo mnanielewa bora akunyanyase mama mwenye nyumba kuliko baba mwenye nyumba.
Nimeshaona kitu kama hiki kimewahi nitokeaga mpaka leo sitamani mwanangu aende kwa ndugu yoyote yule, sio kwenda likizo wala kumsalimia.
Nilikaaga kwa aunt yangu kulala ilikuwa store marufuku kwenda sitting room akikukuta unaandika maelezo, marufuku kwenda jikoni kunywa maji.
Alikuwa anasema ninyi wengine kunyweni maji ya bombani sitaki niwaone huku nikikumbuka na mengine mengi sitamani mwanangu aende kokote.
Ubinafsi ni janga wanawake ndo uongoza kunyanyasa nduguSema ni shida tu ila kwa ndugu sio kwa kukaa
Sio kweli mkuu hilo mimi nakataaCha ajabu mnaonyanyaswa nanyi mkipata nanyi mnakuwa wanyanyasaji
Kweli mkuu wanawake wanaongoza tena usiombe kunyanyaswa na mwanamke hakuna mfanoUbinafsi ni janga wanawake ndo uongoza kunyanyasa ndugu
Sababu wengi ni kula kulala ujira wa utelezi. Wanaume wanajua kesho ipoKweli mkuu wanawake wanaongoza tena usiombe kunyanyaswa na mwanamke hakuna mfano