Manzi wangu nimemfukuza ghetto ila tatizo kagoma kuondoka je nifanyeje?

Manzi wangu nimemfukuza ghetto ila tatizo kagoma kuondoka je nifanyeje?

Chai birika, vitumbua sinia zima...
 
Tulikwambia fukuza hiyo paka mapema ukashupaza shingo,eti unalazimisha tunda ona sasa,alafu mi najiuliza hapo kwako anafanya nini kama hata mapenzi hakupi au anataka roho yako.
Nasikia hadi akiba ukampa?shenzi kabisa,jinga wewe
 
Mkuu sio chai huyu jamaa tulishamshauri kuhusu mtu wake maana ameanza kumsumbua tangu mwaka jana sema ni mbishi
Jamaa jinga sana,sasa amefaidika nini mda wote,mi najiuliza mwanamke unawezaje kulala na mwanaume alafu usimpe
 
Tulikwambia fukuza hiyo paka mapema ukashupaza shingo,eti unalazimisha tunda ona sasa,alafu mi najiuliza hapo kwako anafanya nini kama hata mapenzi hakupi au anataka roho yako.
Nasikia hadi akiba ukampa?shenzi kabisa,jinga wewe
Mkuu nimemfukuza ila kashindwa kwenda kwa madai atakuta mlango umefungwa huko kwao kwa sababu dada yake ambae amekuwa akiishi nae hayupo kaenda msibani na nauli iliyotumika ndio hio pesa yangu pasipo kunishilikisha...nimemwambia afikie hata kwa majirani zake kagoma...kwa sabb kasema kesho jumatatu ndio dada yake atakuwa kafika,nimeona sio kesi kesho jumatatu iwe is iwe ni lazima atoke hata kama dada yake hajafika
 
Mkuu nimemfukuza ila kashindwa kwenda kwa madai atakuta mlango umefungwa huko kwao kwa sababu dada yake ambae amekuwa akiishi nae hayupo kaenda msibani na nauli iliyotumika ndio hio pesa yangu pasipo kunishilikisha...nimemwambia afikie hata kwa majirani zake kagoma...kwa sabb kasema kesho jumatatu ndio dada yake atakuwa kafika,nimeona sio kesi kesho jumatatu iwe is iwe ni lazima atoke hata kama dada yake hajafika
Siku nyingine uache mambo ya hovyo utakuja kunyonywa damu bure.
Itakuwa kuna tatizo mahari,haiwezekani mwanamke akudharau kiasi hicho,jiangalie
 
Back
Top Bottom