sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Muhimu: Mchina kamwaga milioni 930 kuinasa saini na mshahara mnono, wanaoaminishwa na tetesi kwamba Manzoki atacheza China miezi minne na kisha kurudi simba wajaitafakari upya, Ni sawa na rubani wa ndege apate kazi shirika la ndege halafu mtegemee baada ya miezi minne aanze kuendesha mabasi ya mikoani,
Imeshakuwa kawaida sasa kwa Simba kuporwa tonge mdomoni kwenye usajili wa wachezaji wa kigeni, badala ya kuweka kitita wao wanatumia muda mwingi kuomba kupunguziwa bei, kusubiri wachezaji mikataba yao iishe ile wawanunue kwa bei rahisi, n.k. matokeo yake ndio haya sasa, Mchina kasikia kuna mchezaji anatajwa tajwa sana kaweka kitita, case closed!,simba wanabaki kuangaliana tu.
Mo Dewji kabla hajapewa umiliki wa simba milele alikuwa ananunua wachezaji fasta bila kujali gharama zao, ila sasa baada ya kupewa timu ameridhika maana anajua tayari simba ni yake, ni kama vile unapomtongoza binti inabidi ujiongeze lakini baada ya lengo lako kutimia unakuwa huna presha ya kumfanyia vitu special kama mwanzoni,saizi kaigeuza simba kama biashara yake na anaiendesha kikanjibahi kibahili bahili sana kwa lengo la faida kubwa, Faida kwanza mambo mengine baadae
Imeshakuwa kawaida sasa kwa Simba kuporwa tonge mdomoni kwenye usajili wa wachezaji wa kigeni, badala ya kuweka kitita wao wanatumia muda mwingi kuomba kupunguziwa bei, kusubiri wachezaji mikataba yao iishe ile wawanunue kwa bei rahisi, n.k. matokeo yake ndio haya sasa, Mchina kasikia kuna mchezaji anatajwa tajwa sana kaweka kitita, case closed!,simba wanabaki kuangaliana tu.
Mo Dewji kabla hajapewa umiliki wa simba milele alikuwa ananunua wachezaji fasta bila kujali gharama zao, ila sasa baada ya kupewa timu ameridhika maana anajua tayari simba ni yake, ni kama vile unapomtongoza binti inabidi ujiongeze lakini baada ya lengo lako kutimia unakuwa huna presha ya kumfanyia vitu special kama mwanzoni,saizi kaigeuza simba kama biashara yake na anaiendesha kikanjibahi kibahili bahili sana kwa lengo la faida kubwa, Faida kwanza mambo mengine baadae