Manzoki aiaga rasmi klabu ya Vippers, anaelekea Nchini China kujiunga na klabu ya Dallian FC. Juhidi za simba kuinasa saini yake zagonga ukuta

Ni kweli kabisa MAKOLOKOLO mwezangu
 
Mkataba na hiyo timu yake anayoenda China ni wa miezi minne, December unaisha, sioni shida iko wapi hapo, wacha akale pesa za hiyo miezi minne, then after anatua Msimbazi.

Mpunguze makasiriko.
We hupendi pesa? Manzoki hawez Rudi Simba kwenye njaa ,hapo kapewa mkataba wa miezi minne km chambo tu ,huyo sio fala et aache kuongeza mkataba hapo China penye mapesa mengi aje Simba penye njaa kali kias hiki so elewa jamaa haji Zaid ataongeza mkataba huko chini
 
Naona umejigeuza msemaji wa Manzoki.
 
Sawa dada
 
Hyo ndo maana halisi ya mchezaji mzuri lazima agombaniwe ukiona unasajili mchezaji hagombaniwi na mtu ujue kuna tatizo mahali
 
Nitakupinga kuhusu mpaka mwakani. Timu za Tanzania na uchumi wake tunaujua. Kusema Mo hafanyi kitu Simba ni kumuonea. Jamani kuendesha timu ni shughuli pevu, tena pevu iliyopevuka. Mchezaji kama Okrah usajili wake ni utajiri wa Mtu na akaheshimika Dar. Lakini bado Simba inafanya mengi kwa kutumia jina la Mo.
 
Mkataba na hiyo timu yake anayoenda China ni wa miezi minne, December unaisha, sioni shida iko wapi hapo, wacha akale pesa za hiyo miezi minne, then after anatua Msimbazi.

Mpunguze makasiriko.
Kwa miezi 4 mchezaji kama Manzoki mil.970 nakataa mpaka naumwa. Nilishasema humu tuache kum-overate Manzoki.
 
Ulitaka moo atoe tu ela zake kirahisi rahisi.Ata hivyo sio lazima awe manzoki wakucheza simba.ata kibu denis ni mchezaji.tusitake makubwa sana wakati uwezo wetu mdogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…