Maofisa wa Polisi wilayani Bahi-Dodoma, wanawanyang'anya raia pesa zao

Maofisa wa Polisi wilayani Bahi-Dodoma, wanawanyang'anya raia pesa zao

hawa mapolisi majinga sana, yakiumia tufanye sherehe.


wanakula rushwa rushwa sana.


mkoani x, Luna asikari walimuita raia kuwa kuna dili LA MTU kufumwa na mwanafunzi.

chapu jamaa akatia timu na raum yake na pingu. akaingia ndani ili amkamate mhalifu. walchenjia jamaa wakampiga sana. alilazwa mwezi mzima hajitambui.
 
Nadhani hamza anatakiwa kutoa funzo zaidi kwa hawa matahaira wanaoitwa polisi
 
Habari za leo wakuu, tusiende mbali ningeomba mamlaka kama humu JF zinapata pita basi zipitie hili, maana hata pakulalamikia hatuna nilishaenda TAKUKURU zaidi ya mara moja ila ninaambiwa niende polisi hukohuko Wilayani BAHI sasa swali langu ni je tangu lini mtuhumiwa akapewa nafasi ya kujitolea hukumu? kama hizi taasisi kama TAKUKURU wanashindwa kutekeleza majukumu yao waturuhusu sisi wenyewe tutadeal nao najua wao wanasiraha za moto ila siraha ya moto si chochote mbele ya chuma cha chogo kwa mwenye hasira aliyekupania pasipokujijua,

Hawa polisi wanawanyanyasa sana wafanya biashara wadogo wanaotegemea minada ili kuendesha shughuli zao,
Wanachokifanya huwa siku za minada wanachukua Gari lao wanaenda wanatafta eneo la njia panda ambayo inaelekea mnadani wanapaki gari lao vichakani na wao kujibana pembeni ya barabara, kinachofanyika huwa ni kila anaepita na chochote, awe na kuku anapeleka mnadani wanamkamata, awe na mbuzi au awe na bodaboda na belo lake la mitumba wanamkamata kisha wanakaa nao.

Kama mnavyojua wafanya biashara wanaopenda kuwahi wanawatoza pesa kiasi cha elfu 30 hadi 20 na kisha kuwaachia, cha kushangaza ni kwamba wanamkamata bodaboda na kama mnavyofahamu bodaboda za ndugu zetu wa vijijini huwa ni chombo za kazi wakimkamata mtu wanampigia kila kosa elfu 30 hebu imagine wanakagua kuanzia sitemirror, indicators, tyre, helmet, lessen, breaklite, drivingboot, unakuta bodaboda mmoja anapigiwa galama ya laki3 au nne kisha wanakuomba ulipe 20 au 30 wanakuachia na usipolipa wanashinda na bodaboda yako siku nzima hadi watakapoondoka ndio wanazioacha au mda mwingine wanaweza kuondoka nazo, na kama mnavyojua watu sio kwamba hawajui haki haki wanazijua ila wanawatengenezea mlolongo ambao unaona ni bora tu uwape hela ili wakuachie uendelee na mambo yako, nimekutana nao katika minada karibia yote wilayani BAHI Ikiwemo MNADA WA NONDWA, MNADA WA MDEMU, MNADA WA LAMAITI, MNADA WA KIGWE, MNADA WA BAHI, na taarifa zilishawafikia TAKUKURU lakini mlolongo unarudi kuwa ulele, kiufupi nilitegemea kwamba TAKUKULU wangekuwa upande wangu kuwa siku nikiwakuta niwapgie waje washuhudie kinachofanyika ila mambo niliyoambiwa TAKUKURU ni yaleyale kuwa nikiwaona nipige simu Kituo cha polisi kilichopo karbia na mimi sasa hapa nikajiuliza unashtakije polisi mbele ya polisi mwenzie?


MWISHO NATOA ANGALIZO KAMA HILI HALITASHUGULIKIWA MAPEMA KUNA SIKU MTATANGAZIWA HAPA ASKARI KALA CHUMA CHA CHOGO NA GAIDI KAFA, NA GAIDI ALIEMSHAMBULIA KAUWAWA ALAFU HAMTAONA TENA POST ZA TERMINOTOR.
Jamaa umewataarifu, wakikaidi usifanye ya ugaidi, nenda kwa Mheshimiwa Mtaka
 
Tuendelee kuwaua.
1630045965_1630045965-picsay.jpg
 
Hivi Polisi huwa wanaona raha kunyanyasa Raia?
 
Wiraya ndiyo nini au ulimaanisha wilaya au ulaya? Jifunze lugha ya taifa kuondoa aibu vinginevyo tutakuona wewe si mtanzania.
Ila kweli ndo naamini kuwa when others sees big picture others see details.
Others are lateral thinkers others are linear thinkers.
Ila uko sawa pia I doubt wewe ni mwalimu wa lugha ama una fall on former category
 
Ila kweli ndo naamini kuwa when others sees big picture others see details.
Others are lateral thinkers others are linear thinkers.
Ila uko sawa pia I doubt wewe ni mwalimu wa lugha ama una fall on former category
my matter was just to derive messege not presenting language grammar huyu kuku ananijoboa kama kwamba swala la error spelling halitokeagi au nae ni askari
 
Habari za leo wakuu, tusiende mbali ningeomba mamlaka kama humu JF zinapata pita basi zipitie hili, maana hata pakulalamikia hatuna nilishaenda TAKUKURU zaidi ya mara moja ila ninaambiwa niende polisi hukohuko Wilayani BAHI sasa swali langu ni je tangu lini mtuhumiwa akapewa nafasi ya kujitolea hukumu?

Kama hizi taasisi kama TAKUKURU wanashindwa kutekeleza majukumu yao waturuhusu sisi wenyewe tutadeal nao najua wao wanasiraha za moto ila siraha ya moto si chochote mbele ya chuma cha chogo kwa mwenye hasira aliyekupania pasipokujijua,

Hawa polisi wanawanyanyasa sana wafanya biashara wadogo wanaotegemea minada ili kuendesha shughuli zao.
Wanachokifanya huwa siku za minada wanachukua Gari lao wanaenda wanatafta eneo la njia panda ambayo inaelekea mnadani wanapaki gari lao vichakani na wao kujibana pembeni ya barabara, kinachofanyika huwa ni kila anaepita na chochote, awe na kuku anapeleka mnadani wanamkamata, awe na mbuzi au awe na bodaboda na belo lake la mitumba wanamkamata kisha wanakaa nao.

Kama mnavyojua wafanya biashara wanaopenda kuwahi wanawatoza pesa kiasi cha elfu 30 hadi 20 na kisha kuwaachia, cha kushangaza ni kwamba wanamkamata bodaboda na kama mnavyofahamu bodaboda za ndugu zetu wa vijijini huwa ni chombo za kazi wakimkamata mtu wanampigia kila kosa elfu 30.

Hebu imagine wanakagua kuanzia sitemirror, indicators, tyre, helmet, lessen, breaklite, drivingboot, unakuta bodaboda mmoja anapigiwa galama ya laki3 au nne kisha wanakuomba ulipe 20 au 30 wanakuachia na usipolipa wanashinda na bodaboda yako siku nzima hadi watakapoondoka ndio wanazioacha au mda mwingine wanaweza kuondoka nazo, na kama mnavyojua watu sio kwamba hawajui haki haki wanazijua ila wanawatengenezea mlolongo ambao unaona ni bora tu uwape hela ili wakuachie uendelee na mambo yako,

Nimekutana nao katika minada karibia yote wilayani BAHI Ikiwemo MNADA WA NONDWA, MNADA WA MDEMU, MNADA WA LAMAITI, MNADA WA KIGWE, MNADA WA BAHI, na taarifa zilishawafikia TAKUKURU lakini mlolongo unarudi kuwa ulele, kiufupi nilitegemea kwamba TAKUKULU wangekuwa upande wangu kuwa siku nikiwakuta niwapgie waje washuhudie kinachofanyika ila mambo niliyoambiwa TAKUKURU ni yaleyale kuwa nikiwaona nipige simu Kituo cha polisi kilichopo karbia na mimi sasa hapa nikajiuliza unashtakije polisi mbele ya polisi mwenzie?

Kuna lugha huwa wanaisikia hizi zingine ni kama kelele za mlango tu.

Pumzika kwa amani Hassan Hamza.
 
Wiraya ndiyo nini au ulimaanisha wilaya au ulaya? Jifunze lugha ya taifa kuondoa aibu vinginevyo tutakuona wewe si mtanzania.
am not just for a languange grammar but my aim was just to presenting what I aimed to present. fu**ck off your thinking beyond evil mataqo wewe ninashule ambayo hata ukujumulisha mama yako na baba yako na wadogo zako wote bado hamnifikii suala la spelling error ni suala la kawaida katika maandishi usilete ujuaji ngesem wewe maku
 
my matter was just to derive messege not presenting language grammar huyu kuku ananijoboa kama kwamba swala la error spelling halitokeagi au nae ni askari

Ndiyo polisi wenyewe hao mkuu wala wasikupe taabu.

Umegusa maslahi yao.

Lengo utoke kwenye reli muanze matusi.
 
Habari za leo wakuu, tusiende mbali ningeomba mamlaka kama humu JF zinapata pita basi zipitie hili, maana hata pakulalamikia hatuna nilishaenda TAKUKURU zaidi ya mara moja ila ninaambiwa niende polisi hukohuko Wilayani BAHI sasa swali langu ni je tangu lini mtuhumiwa akapewa nafasi ya kujitolea hukumu?

Kama hizi taasisi kama TAKUKURU wanashindwa kutekeleza majukumu yao waturuhusu sisi wenyewe tutadeal nao najua wao wanasiraha za moto ila siraha ya moto si chochote mbele ya chuma cha chogo kwa mwenye hasira aliyekupania pasipokujijua,

Hawa polisi wanawanyanyasa sana wafanya biashara wadogo wanaotegemea minada ili kuendesha shughuli zao.
Wanachokifanya huwa siku za minada wanachukua Gari lao wanaenda wanatafta eneo la njia panda ambayo inaelekea mnadani wanapaki gari lao vichakani na wao kujibana pembeni ya barabara, kinachofanyika huwa ni kila anaepita na chochote, awe na kuku anapeleka mnadani wanamkamata, awe na mbuzi au awe na bodaboda na belo lake la mitumba wanamkamata kisha wanakaa nao.

Kama mnavyojua wafanya biashara wanaopenda kuwahi wanawatoza pesa kiasi cha elfu 30 hadi 20 na kisha kuwaachia, cha kushangaza ni kwamba wanamkamata bodaboda na kama mnavyofahamu bodaboda za ndugu zetu wa vijijini huwa ni chombo za kazi wakimkamata mtu wanampigia kila kosa elfu 30.

Hebu imagine wanakagua kuanzia sitemirror, indicators, tyre, helmet, lessen, breaklite, drivingboot, unakuta bodaboda mmoja anapigiwa galama ya laki3 au nne kisha wanakuomba ulipe 20 au 30 wanakuachia na usipolipa wanashinda na bodaboda yako siku nzima hadi watakapoondoka ndio wanazioacha au mda mwingine wanaweza kuondoka nazo, na kama mnavyojua watu sio kwamba hawajui haki haki wanazijua ila wanawatengenezea mlolongo ambao unaona ni bora tu uwape hela ili wakuachie uendelee na mambo yako,

Nimekutana nao katika minada karibia yote wilayani BAHI Ikiwemo MNADA WA NONDWA, MNADA WA MDEMU, MNADA WA LAMAITI, MNADA WA KIGWE, MNADA WA BAHI, na taarifa zilishawafikia TAKUKURU lakini mlolongo unarudi kuwa ulele, kiufupi nilitegemea kwamba TAKUKULU wangekuwa upande wangu kuwa siku nikiwakuta niwapgie waje washuhudie kinachofanyika ila mambo niliyoambiwa TAKUKURU ni yaleyale kuwa nikiwaona nipige simu Kituo cha polisi kilichopo karbia na mimi sasa hapa nikajiuliza unashtakije polisi mbele ya polisi mwenzie?
[/QU
Wajirebishe huko Bahi,kwani wanawachafua na wengine na pia kuzidi kulalamikiwa kwa uonevu na rushwa ,badala ya kutoa elimu na faini ikibidi.
 
Ndio maana Hamza anawaua. Jeshi la police limekuwa halifai kabisa.
 
hivi hawa viongozi inamaana hawaoni hizi kero za hawa polisi. kila kona polisi wamekuwa kero.

mama tatizo kazubaa sana watamtoboa adi na vidole kwenye macho. ukicheza na kima utavuna mabua na atavuna mabua huyuu mama.
Watulie kama wananyolewa Mama anawaandalia dawa Mujarabu
 
Ndiyo polisi wenyewe hao mkuu wala wasikupe taabu.

Umegusa maslahi yao.

Lengo utoke kwenye reli muanze matusi.
sasa kama ni polisi bora anyamaze kabisa maana amelionea hilo la wiraya instead of wilaya otherwise nitakuwa naandika kizungu tu aishie kusoma herufi
 
Back
Top Bottom