Maokoto ya wanamichezo wa nchi mbalimbali wanaoshinda medali za Olympics

Maokoto ya wanamichezo wa nchi mbalimbali wanaoshinda medali za Olympics

SAYVILLE

JF-Expert Member
Joined
Mar 25, 2010
Posts
7,895
Reaction score
12,975
Mashindano ya Olympics yana michezo mingi sana na mingine ni nadra sana kwa mwanamichezo kutengeneza kipato nje ya mashindano yale. Umewahi kujiuliza wanamichezo wanaoshiriki michezo ya Olympics wanafaidikaje ukiacha nafasi ya kushinda medali?

Ngoja nikuwekee mkeka wa mifano ya nchi kadhaa ujionee mwenyewe jinsi wenzetu walivyo serious na bendera za nchi zao (viwango katika shilingi ni kwa rate za leo za USD 1 = TSH 2,700.50)

Norway:
Gold - 0
Silver - 0
Bronze - 0

Kazakhstan:
Gold - Apartment ya vyumba 3
Silver - Apartment ya vyumba 2
Bronze - Apartment ya chumba 1

Ujerumani:
Gold - $21,900 (TSH milioni 59.1)
Silver - $16,400 (TSH milioni 44.2)
Bronze - $10,950 (TSH milioni 29.5)

Marekani:
Gold - $37,500 (TSH milioni 101.2)
Silver - $22,500 (TSH milioni 60.7)
Bronze - $15,000 (TSH milioni 40.5)

Ufaransa:
Gold - $71,200 (TSH milioni 192.2)
Silver - $27,400 (TSH milioni 73.9)
Bronze - $16,400 (TSH milioni 44.2)

Hispania:
Gold - $102,900 (TSH milioni 277.8)
Silver - $52,600 (TSH milioni 142)
Bronze - $32,900 (TSH milioni 88.8)

Italia:
Gold - $197,100 (TSH milioni 532.2)
Silver - $98,500 (TSH milioni 265.9)
Bronze - $65,700 (TSH milioni 177.4)

Taiwan:
Gold - $716,000 (TSH bilioni 1.9)
Silver - $250,000 (TSH milioni 675.1)
Bronze - $179,000 (TSH milioni 483.3)

Singapore:
Gold - $737,000 (TSH bilioni 1.9)
Silver - $368,000 (TSH milioni 993.7)
Bronze - $184,000 (TSH milioni 496.8)

Viwango vya nchi yako vikoje?

Nadhani Taiwan wameweka viwango vikubwa hivyo kwa sababu za kisiasa.

WAZO: Hivi kama nchi huru, nini kinatuzuia kupulizia kidogo kwenye kombe la NBC kavumbi ka dhahabu kutoka kule Geita na kudumbukiza ndani ya kombe kajiwe ka Tanzanite ili kulipa kombe thamani? Embu waza kombe la ligi lingekuwa na thamani ya bilioni 10. Thamani ya kombe ingekuwa ni njia nyingine ya kubrand ligi na nchi yetu.
 
Mfano spain timu ya wanaume ya mpira imechukua gold medal, hela hiyo inagawiwa au anaoewa kila mmoja?

Vipi Olympic wenyewe wanatoa kiasi gani kwa mshindi wa kwanza, wa pili na wa 3 pembenj ya medali?
 
Mfano spain timu ya wanaume ya mpira imechukua gold medal, hela hiyo inagawiwa au anaoewa kila mmoja?

Vipi Olympic wenyewe wanatoa kiasi gani kwa mshindi wa kwanza, wa pili na wa 3 pembenj ya medali?
Sifahamu mgao wa pesa kwa michezo ya kitimu ila kwa nchi kama Marekani, wanamudu hivyo viwango walivyoweka kulipa mtu mmoja mmoja.

Pia sidhani kama Olympics wanalipa pesa yoyote kwa washindi.

Kwahiyo watu wanagombea medal tu, ile medal ina gram ngapi?
Medali za Olympics zina thamani kubwa kwa nchi na washindi wenyewe.

Kevin Durant ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa basketball mwenye medali nne za dhahabu. Fikiria wamepita mastar wangapi ambao hawana hiyo rekodi? Hawa kina Lebron ndiyo wanaondoka hawawezi kumfikia. China wenyewe kuweka rekodi ya kulingana idadi ya medali za dhahabu na Marekani kwenye hii Olympics ni big deal sana katika angle ya kisiasa.
 
Sifahamu mgao wa pesa kwa michezo ya kitimu ila kwa nchi kama Marekani, wanamudu hivyo viwango walivyoweka kulipa mtu mmoja mmoja.

Pia sidhani kama Olympics wanalipa pesa yoyote kwa washindi.


Medali za Olympics zina thamani kubwa kwa nchi na washindi wenyewe.

Kevin Durant ameweka rekodi ya kuwa mchezaji wa basketball mwenye medali nne za dhahabu. Fikiria wamepita mastar wangapi ambao hawana hiyo rekodi? Hawa kina Lebron ndiyo wanaondoka hawawezi kumfikia. China wenyewe kuweka rekodi ya kulingana idadi ya medali za dhahabu na Marekani kwenye hii Olympics ni big deal sana katika angle ya kisiasa.
Mfano ile medal ya dhahabu ina uzito gani?
 
Mfano ile medal ya dhahabu ina uzito gani?
Kwa kucheki haraka haraka nimeona wanasema medali ya dhahabu ya olympics ina gramu 523 za silver na gramu 6 tu za dhahabu.

Nadhani tunakosea kuziangalia hizo medali katika angle ya uzito au pesa unayoweza kuipata kwa kuiuza. Hata hayo maokoto wanayopewa na nchi zao nayo ni angle ndogo sana ya thamani anayopata mwanamichezo kwa kushinda medali ya Olympics.
 
Idadi ya gram sifahamu, wao kikubwa medali labda na vile mnavokaa pale kipindi husika
Screenshot_20240813-205205~2.jpg

Kwa mujibu wa BBC

 
  • Thanks
Reactions: Lax
Tanzania kwa wote ingekuwa kuandaliwa chakula cha jioni ikulu na kupelekwa kupigiwa makofi bungeni na labda kupewa viwanja mji mpya wa serikali Dom
Na Norway nao wanakaujinga fulani ka kujifanya wajamaa wa mchongo 🤣😂🤣

Halafu na sisi tumeshindwa kupulizia kidogo kwenye kombe la NBC kavumbi ka dhahabu kutoka kule Geita na kudumbukiza ndani mule kajiwe ka Tanzanite?
 
Mashindano ya Olympics yana michezo mingi sana na mingine ni nadra sana kwa mwanamichezo kutengeneza kipato nje ya mashindano yale. Umewahi kujiuliza wanamichezo wanaoshiriki michezo ya Olympics wanafaidikaje ukiacha nafasi ya kushinda medali?

Ngoja nikuwekee mkeka wa mifano ya nchi kadhaa ujionee mwenyewe jinsi wenzetu walivyo serious na bendera za nchi zao (viwango katika shilingi ni kwa rate za leo za USD 1 = TSH 2,700.50)

Norway:
Gold - 0
Silver - 0
Bronze - 0

Kazakhstan:
Gold - Apartment ya vyumba 3
Silver - Apartment ya vyumba 2
Bronze - Apartment ya chumba 1

Ujerumani:
Gold - $21,900 (TSH milioni 59.1)
Silver - $16,400 (TSH milioni 44.2)
Bronze - $10,950 (TSH milioni 29.5)

Marekani:
Gold - $37,500 (TSH milioni 101.2)
Silver - $22,500 (TSH milioni 60.7)
Bronze - $15,000 (TSH milioni 40.5)

Ufaransa:
Gold - $71,200 (TSH milioni 192.2)
Silver - $27,400 (TSH milioni 73.9)
Bronze - $16,400 (TSH milioni 44.2)

Hispania:
Gold - $102,900 (TSH milioni 277.8)
Silver - $52,600 (TSH milioni 142)
Bronze - $32,900 (TSH milioni 88.8)

Italia:
Gold - $197,100 (TSH milioni 532.2)
Silver - $98,500 (TSH milioni 265.9)
Bronze - $65,700 (TSH milioni 177.4)

Taiwan:
Gold - $716,000 (TSH bilioni 1.9)
Silver - $250,000 (TSH milioni 675.1)
Bronze - $179,000 (TSH milioni 483.3)

Singapore:
Gold - $737,000 (TSH bilioni 1.9)
Silver - $368,000 (TSH milioni 993.7)
Bronze - $184,000 (TSH milioni 496.8)

Viwango vya nchi yako vikoje?

Nadhani Taiwan wameweka viwango vikubwa hivyo kwa sababu za kisiasa.
Tanzania wangepewa kadi za chama tawala
 
Next time najipeleka mwenyewe olympic NIkashiriki hata mbio za baiskeli najua ntatoboa,kule kijij8ni kuna baiskelu ya babu aina ya swala
 
Kenya vipi?
Kenya wako vizuri wameshajua kitambo thamani ya hii kitu. Wameondoka na medali 10. Watu wao kibao wametoboa kupitia Olympics na mashindano mengine ya mbio duniani maana ukipata medali ya Olympics utapata mialiko mingine mingi duniani hadi mwènyewe uchoke.

Serikali ya Kenya inalipa milioni 60, 40 na 20 wakishinda.
 
Next time najipeleka mwenyewe olympic NIkashiriki hata mbio za baiskeli najua ntatoboa,kule kijij8ni kuna baiskelu ya babu aina ya swala

Jifunze kwanza fitina ya kuipata hiyo nafasi mpwa kabla ujajifunza hiyo baiskeli mpwa

Nikisemaga nchi hii kuna mfumo wa kutupumbaza na kuwa tegemezi kwa mfumo wa ndani wa uchumi watu huwa hawanielewi. Njia zote za kutoboa kwa pesa za nje zimepigwa pini halafu wamejenga mazingira kama ni uzembe tu wa watu fulani ili mlalahoi asiweze kujumuisha moja na mbili.
 
Nikisemaga nchi hii kuna mfumo wa kutupumbaza na kuwa tegemezi kwa mfumo wa ndani wa uchumi watu huwa hawanielewi. Njia zote za kutoboa kwa pesa za nje zimepigwa pini halafu wamejenga mazingira kama ni uzembe tu wa watu fulani ili mlalahoi asiweze kujumuisha moja na mbili.
Wajinga sana viongozi wetu
 
Back
Top Bottom