Maombi maalum kwa ajili ya Sativa na Watanzania wote waliofia au kuteswa mikononi mwa polisi

Maombi maalum kwa ajili ya Sativa na Watanzania wote waliofia au kuteswa mikononi mwa polisi

Pantosha

JF-Expert Member
Joined
Sep 22, 2022
Posts
640
Reaction score
958
Mtanzania mwenzetu Sativa yuko hoi kitandani akipambania uhai wake. Mungu ni Mkuu amempa nguvu ya kutoka msituni mahali alipotupwa na kufika barabarani. Huo ni muujiza na hapo kuna kitu Mungu alitaka kuwafunulia Watanzania na Ulimwengu kwa ujumla.

Mawasiliano ya simu ya Sativa yataeleza kila kitu ikiwa wakuu watataka kufuatilia na kuhakikisha watesi wa Sativa wanatiwa nguvuni. Ila kuanzia tarehe ya kupotea kwake hadi leo hii watu wapo kimya.

Kwa kuwa hatuwajui watesi wake, basi tumuombe Mungu wake ampambanie uhai wake na pia awashughulikie watesi wake.

Utu

PIA SOMA
- SATIVA: Nilitekwa nikapelekwa Karakana ya Polisi Oysterbay kabla ya kusafirishwa sehemu nyingine na nimepigwa risasi ya kichwa
 
Wanaharakati wa CHADEMA hawa washapata mtaji.

Waombewe waache kuidhalilisha Nchi na Taifa letu.


Chagua kwa Umakini 2024-2025

Ikitokea CHADEMA wakachaguliwa, nchii hii haitakuwa na amani kwa mazingira wanayotengeneza.

Kuna ule usemi unaosema "Kutesa kwa zamu"

Waendelee kuitesa Serikali-kumbuka-Serikali ni watu.
 
Kuna chama kinaenda na trending, jambo lililopita hawana habari nalo wao wanaangalia mambo ya sasa
Trend ya mibange si Choo cha kike hicho Wewe Wazazi wamekuzaa wamekupa Jina Zuri kabisa Edger eti unaenda mtandaoni unajiita mibange Sativa Cannabis what's this? Sawa basi mibange ya kwako sisi haituhusu basi tulia eeh unaanza kumwaga mitusi mfululizo duuuh
 
Trend ya mibange si Choo cha kike hicho Wewe Wazazi wamekuzaa wamekupa Jina Zuri kabisa Edger eti unaenda mtandaoni unajiita mibange Sativa Cannabis what's this? Sawa basi mibange ya kwako sisi haituhusu basi tulia eeh unaanza kumwaga mitusi mfululizo duuuh
Kwahy Mibangi imepata moto imewaka 😂
 
Kwahy Mibangi imepata moto imewaka 😂
Mibange aliyoivuta na stimu za kulanduka ndio imemfikisha alipofika, Wewe google Neno 'Sativa' alafu nenda upande wa Picha ndio utanielewa namaanisha nini ni mibange
 
Mbaga wewe ni ndugu yangu ila unaniudhi sana unapoitetea ccm na madudu yake.
Sasa mkuu 😂 wap nimeitetea ccm? Mm Nmesema tuu inasikitisha ila ww ukaja sema Mm n mnafiki sasa cjui kosa langu hapo
 
Sativa alifanya nini mpaka kukutwa na haya yote? 🤔
 
Back
Top Bottom