jiwe angavu
JF-Expert Member
- Aug 28, 2015
- 20,419
- 39,217
Hao Israel fake siyo wa kwenye biblia kwa sababu wanatukuza ushoga na uuwaji watu wasio na hatia. Mungu hawezi kuwa upande wa mashoga labda shetani/ibilisi.
Ila walokole wanashida sana wako tiaria kumpa heshima mtu anayejinyea barabara kwa kuwa tu ni muisraeliYale machuma ndie Mungu wa Israel ?[emoji1782]
Waafrika na ujinga ni pete na kidole
Na walipata adhabu kila walipo kengeuka utaratibu wa Mungu. Sasa hawa hawapati adhabu ya Mungu ni fake hao.Mbona wa kwenye biblia walifanya maovu mengi au wewe biblia yako inasomekaje
Ampige kwanza ndio tuone huo uwezo.Lakini kuna Irani mkuu mwenye uwezo wa kumpiga Marekani
Au umesahau mkuu
Mungu wa hao Israel ni tofauti na Mungu wa wakristo. Kwa wakristo YESU ndiye Mungu ilihali Israel na wayahudi wote duniani wanadai kuwa YESU SI Mungu! Meaning wana Mungu tofauti na wakristo.Mungu wa Israel ana nguvu kuzidi hao wengine
Kingine wanaoomba ni wakristo waliopo South Africa na sio South Africans wote. Kumbuka msimamo wa South Africa kama nchi ni side ya Palestine na hawajawahi support Israelites.Hundreds of South African Christians are expected to gather in significant towns nationwide next Sunday to offer prayers for both South Africa and Israel.
Mimi napinga mkuu, uteule according to the bible ni kwa wale waliomfuata Yesu kristo. Sasa mtu kamkataa Yesu anakuaje mteule?Kupinga kwamba Israel syio taifa pekee teule la Mungu, kwahitaji uwe jasiri na mwenye shingo ngumu hata kama mambo yaliyowahi na yanayotokea na yatakayoendelea kutokea ujifanye huyaoni na huyajui
Ni Marekani ndio inawalinda kama unabisha jiulize Hitler alipowachinja mbona walikufa kama kuku? Ottoman Empire mbona aliwanyoosha, hata 1st and 2nd crusade walikufa kama kuku. So issue sio Mungu, Mungu ni wa wote sio exclusively tu kwa Israel. Kwamba wanaokufa wote hawa Afrika hawana Mungu? Wakristo wanaopigwa mabomu makanisani hawana Mungu? Acheni kufuru za ajabu.Kumbe, ni kule tu kujitia moyo kwamba, wanaweza, huku wakijua kabisa, nguvu na utisho wa jina Israel na Wayahudi, nguvu hiyo haitokani na wenyewe, bali ni yulee..! Mungu wao wa kweli, mwenye kutimiza maagano, ambaye jina lake aitwa! JEHOVAH!
Mungu wa Israel ana nguvu kuzidi hao wengine, sio mara ya kwanza amedhihirisha ukuu wake, kila ambaye hujaribu kuwafuta hufutwa yeye, hili tumelishuhudia juzi, magaidi walioingiwa mzuka wa maelekezo ya 'mungu' wao wa kuifuta Israel wamethubutu, kilichowakuta imebidi wakimbilie kulilia ICJ.
=======================
Hundreds of South African Christians are expected to gather in significant towns nationwide next Sunday to offer prayers for both South Africa and Israel. They intend to show solidarity with the Jewish state and to disassociate themselves from what they perceive as South Africa's unfounded accusation of genocide against Israel.
"Many of the Christian community are deeply unhappy about the allegations being leveled by our government on Israel," explained Philip Rosenthal, director of ChristianView Network, who will participate in the afternoon of prayer. "We believe in Genesis 12 that this will bring a curse on South Africa unless we distance ourselves from it. So, we will do that, and we have been doing that very strongly."
The February 25 afternoon of prayer is organized by Time2Rise South Africa and will begin at 4 p.m. at various locations throughout the country. Each session will include a prayer for Israel, a declaration against the International Court of Justice case against Israel, and a prayer for Divine intervention in South Africa.
South African Christians to hold nationwide prayer for Israel
"Many of the Christian community are deeply unhappy about the allegations being leveled by our government on Israel," explained Philip Rosenthal, director of ChristianView Network.www.jpost.com