Kevin85ify
JF-Expert Member
- Apr 6, 2019
- 2,684
- 3,429
Kutoka mwaka 2015 Kenya imepiga hatua kadhaa kimaendeleo amabayo kamati ya roho mbaya, wachawi na waganga kutoka kusini hawajafurahia. Ni maombi si uchawi.
i) Kenya imemaliza kupeleka stima kwa asilimia 80% ya wananchi, waganga na waongo bado wanakimbilia mishumaa.
ii) Kenya imejenga km 700 ya SGR, wachawi bado wanapigana na mamba kumaliza km 200 za kwanza kwa miaka mitatu sasa.
iii) Kenya imeweka Nairobi Commuter Rail na kujenga stesheni 15 mpya na kukarabati 20 za kitambo, wapiga ramli bado wanalala.
iv) Kenya imepanua mombasa port na kumaliza berth za kwanza tatu za lamu port, Waganga walishindwa na bagamoyo sasa wamebaki kujenga vibanda vya samaki.
v) Kenya imeongeza zaidi ya km 20,000 ya barabara ya lami, waganga bado wanakimbizana na zeruzeru mitaani.
vi) Kenya imejenga International Airport 2 (Isiolo, Malindi), wapiga ramli bado wanang'ang'ana na zizi la ng'ombe ya mwanza kutoka mwaka 2014.
vii) Kenya imepunguza gharama ya kufanya biashara kwa asilimia 40, wachawi bado wana ongeza vikwazo kwa biashara na kulalamika jinsi wawekezaji wa kimataifa wanapenda Kenya.
viii) Kenya imefanikiwa kuwa ya pili kwa kuuza bidhaa ndani ya COMESA, ikifata Egypt. Wachawi bado wamelala na kuota kuhusu mihogo na maharage.
Ikifika 2029 wachawi wataendelea kuimba wimbo yao,"Tutaipiku Kenya, tuko kwenye take off mode", hapo Kenya itakuwa imeongeza mapato kuzidi mara tatu ya hawa waganga.
i) Kenya imemaliza kupeleka stima kwa asilimia 80% ya wananchi, waganga na waongo bado wanakimbilia mishumaa.
ii) Kenya imejenga km 700 ya SGR, wachawi bado wanapigana na mamba kumaliza km 200 za kwanza kwa miaka mitatu sasa.
iii) Kenya imeweka Nairobi Commuter Rail na kujenga stesheni 15 mpya na kukarabati 20 za kitambo, wapiga ramli bado wanalala.
iv) Kenya imepanua mombasa port na kumaliza berth za kwanza tatu za lamu port, Waganga walishindwa na bagamoyo sasa wamebaki kujenga vibanda vya samaki.
v) Kenya imeongeza zaidi ya km 20,000 ya barabara ya lami, waganga bado wanakimbizana na zeruzeru mitaani.
vi) Kenya imejenga International Airport 2 (Isiolo, Malindi), wapiga ramli bado wanang'ang'ana na zizi la ng'ombe ya mwanza kutoka mwaka 2014.
vii) Kenya imepunguza gharama ya kufanya biashara kwa asilimia 40, wachawi bado wana ongeza vikwazo kwa biashara na kulalamika jinsi wawekezaji wa kimataifa wanapenda Kenya.
viii) Kenya imefanikiwa kuwa ya pili kwa kuuza bidhaa ndani ya COMESA, ikifata Egypt. Wachawi bado wamelala na kuota kuhusu mihogo na maharage.
Ikifika 2029 wachawi wataendelea kuimba wimbo yao,"Tutaipiku Kenya, tuko kwenye take off mode", hapo Kenya itakuwa imeongeza mapato kuzidi mara tatu ya hawa waganga.