Maombi na kazi imeshinda utabiri ya waganga, wachawi, washirikina na wapiga ramli

Maombi na kazi imeshinda utabiri ya waganga, wachawi, washirikina na wapiga ramli

Kama hizi ndiyo akili za Wakenya, basi Wakikuyu watatawala Wakenya miaka mia 4 mbele.

Poor Kenyans! Hivi msipojilinganisha na Tanzania kwani hamuwezi kufanya kazi?

By the way ni wivu tu unawasumbueni
 
nauliza tuu
kq safari5 perday siku1
so jana na leo=10 flight +kurudi=20
je ni kiasi gani kenya mmepoteza?
au mmetengeneza hasara kiasi gani?
 
Huijui Tanzania ya sasa,unaandika kwa kujifurahisha,juzi tu tumeona Nairobi hakuna maji Wala umeme
Tatizo waropokaji wengi hamuijiui Tanzania,mnalishwa matango pori
Muulizeni MK254 analeta mirungi huku anaijua Tanzania ya 2020 si ya 2015 na inakimbia sana
Bomba mbili bado kuunganishwa kwenye Grid tangu mbeberu kutoka Tz.
 
SGR sio ya wakenya ni ya Chinese .mutakufa na njaa nyie.mlipe Deni kwanza ambayo Hadi kitukuu wako wa 5 atalipa. Mkakufe mbali na corona
 
Huijui Tanzania ya sasa,unaandika kwa kujifurahisha,juzi tu tumeona Nairobi hakuna maji Wala umeme
Tatizo waropokaji wengi hamuijiui Tanzania,mnalishwa matango pori
Muulizeni MK254 analeta mirungi huku anaijua Tanzania ya 2020 si ya 2015 na inakimbia sana
Unaona mnavyo penda uongo. Tanzania ya sahi afadhali hata ya mkapa alikuwa na maono, hii ni ovyo kabisa.
i) sgr imekwama phase 1(km 200), sababu zimekuwa mvua, mamba na sasa mturuki amefilisika. Kenya ilimaliza km 500 kwa miaka hiyo tatu imewachukua kueka km 100.
ii) Mulishindwa kumlipa mchina mwenye alikuwa atengeneze terminal ya mwanza airport, bado anawadai kutoka 2014. Mwanza airport imebaki tu ile zizi la ngombe. Hivi sasa kwa miaka 6 imekwama kwenye msingi.
iii) Dar port upanuzi yake imechukuwa mdaa sana na hata hiyo tanga. Kwa sasa hata mushikanishe port zote za Tanzania mombasa port bado ni kubwa kuziliko zote. Dar ambayo ndiyo kubwa Tanzania inaweza handle 600,00 teus pekee.
iv) Tanzania stima ni asilimia 40 ndio wako nayo, wengine kazi ni mishumaa na kuni.
v) Nchi yenyu iko na watu wengi kushinda Kenya lakini stima mnazalisha ni kama Uganda.
vi) Kile tanzania inashindia Kenya ni kuzaana tu. elimu, biashara etc hamjui, hata nchi ndogo kama Rwanda wanaskika kimataifa kuliko Tanzania


Nenda katafute mwingine wa kudanganya sio mimi. Naijua Tanzania vizuri. Hata dar yenyewe hapo TPA towers ni uchafu tu, vibanda vimejaa mpaka kati kati ya mji.
Habari hii hapa chini. Kenya ndiyo inaongoza eac kwa kuexport na ni ya pili katika comesa. Hujui comesa kwa sababu Tanzania haiko ndani ya comesa.

Kenya second-largest exporter of goods within Comesa bloc after
 
Unaona mnavyo penda uongo. Tanzania ya sahi afadhali hata ya mkapa alikuwa na maono, hii ni ovyo kabisa.
i) sgr imekwama phase 1(km 200), sababu zimekuwa mvua, mamba na sasa mturuki amefilisika. Kenya ilimaliza km 500 kwa miaka hiyo tatu imewachukua kueka km 100.
ii) Mulishindwa kumlipa mchina mwenye alikuwa atengeneze terminal ya mwanza airport, bado anawadai kutoka 2014. Mwanza airport imebaki tu ile zizi la ngombe. Hivi sasa kwa miaka 6 imekwama kwenye msingi.
iii) Dar port upanuzi yake imechukuwa mdaa sana na hata hiyo tanga. Kwa sasa hata mushikanishe port zote za Tanzania mombasa port bado ni kubwa kuziliko zote. Dar ambayo ndiyo kubwa Tanzania inaweza handle 600,00 teus pekee.
iv) Tanzania stima ni asilimia 40 ndio wako nayo, wengine kazi ni mishumaa na kuni.
v) Nchi yenyu iko na watu wengi kushinda Kenya lakini stima mnazalisha ni kama Uganda.
vi) Kile tanzania inashindia Kenya ni kuzaana tu. elimu, biashara etc hamjui, hata nchi ndogo kama Rwanda wanaskika kimataifa kuliko Tanzania


Nenda katafute mwingine wa kudanganya sio mimi. Naijua Tanzania vizuri. Hata dar yenyewe hapo TPA towers ni uchafu tu, vibanda vimejaa mpaka kati kati ya mji.
Habari hii hapa chini. Kenya ndiyo inaongoza eac kwa kuexport na ni ya pili katika comesa. Hujui comesa kwa sababu Tanzania haiko ndani ya comesa.

Kenya second-largest exporter of goods within Comesa bloc after
Hivi unawezaje kuzungumzia ukubwa wa Tanzania na ule ukubwa wa mkoa wa Arusha(Kenya?)

Na mnajisikiaje msipoitaja Tz kila mara kwenye midomo yenu? Tulieni tuelewane kidogo

Nyie pambaneni na vyoo kule mathare


Embu kaa kwa kutulia sindano iingie
 
Back
Top Bottom