Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Ni kama Moira hata ukistaafu unakuwa veterani,kupiga danadana siku moja moja sio mbaya.
 
Tumepokea barua yako
Nikiwa msemaji wa chama nikutakie safari njema huko uendako

Rai kwa wanachaputa
Mi nipende kuwahusia tuepushe kuwa na tabia za kimalaya kwenye siasa kama unabaki unabaki kweli kwenye chama sio unaondoka halafu unarudi tena ni hayo tu

Asanteni


Chaputa makao makuu

Chattle ,Geita Tz
Asante sana msemaji makao makuu chattle MLEVi Mmoja
nikiwa kama katibu mwenezi wa Chama Nampa muda wa wiki moja ndugu mwanachana @shadow7alosto ya puchu haita muacha salama na atarudi tu hapa kufuta barua yake

Wako katika kazi
Ninja assasin
Katibu mwenezi makao makuu
CHATTLE
 
Tumepokea barua yako
Nikiwa msemaji wa chama nikutakie safari njema huko uendako

Rai kwa wanachaputa
Mi nipende kuwahusia tuepushe kuwa na tabia za kimalaya kwenye siasa kama unabaki unabaki kweli kwenye chama sio unaondoka halafu unarudi tena ni hayo tu

Asanteni


Chaputa makao makuu

Chattle ,Geita Tz
Unataka kusema Jiwe anakitupa na mkono?![emoji23]
 
Asante sana msemaji makao makuu chattle nikiwa kama katibu mwenezi wa Chama Nampa muda wa wiki moja ndugu mwanachana alosto ya puchu haita muacha salama na atarudi tu hapa kufuta barua yake

Wako katika kazi
Ninja assasin
Katibu mwenezi makao makuu
CHATTLE
Umeongea sahihi kabisa

Bado chama kina nguvu na kamwe hakitayumba na watarudi tu

Chaputa kwa maendeleo


Katibu mwenezi Ninja assasin
 
Imefika mkuu na ipo ofisi yake ambayo mwenyekiti wetu yupo kwa sasa akiendelea na shughuli za kukijenga chama licha ya makao makuu kuwa dalisalama


Msemaji mkuu Chaputa kitaifa

Chattle,Geita tz
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Kutokufuta majina ndiko kunawafanya warudi.
Hili lichama kutoka huko lazima upite kwa walokole wakuombee kwanza
Kuna mwanachama mmoja aliwahi kwenda kuombewa lakini katikati ya ibada uzalendo ukamshinda akakimbia kwenye washroom za kanisa na kupiga kimoja fasta kisha akarudi kuendelea na ibada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna mwanachama mmoja aliwahi kwenda kuombewa lakini katikati ya ibada uzalendo ukamshinda akakimbia kwenye washroom za kanisa na kupiga kimoja fasta kisha akarudi kuendelea na ibada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣 🤣
 
Mwenyekiti naona hii tabia inazidi kushamiri... kwanini mwanachama akiingia katka chama anaingia KimyaKimyaa Lakin wakati wakutoka sasa makelele kibao..
Tumesikia kero yako naahidi tutaifanyia kazi.


Makao makuu CHAPUTA,
GEITA-CHATTLE
 
Kuna mwanachama mmoja aliwahi kwenda kuombewa lakini katikati ya ibada uzalendo ukamshinda akakimbia kwenye washroom za kanisa na kupiga kimoja fasta kisha akarudi kuendelea na ibada[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Huyo pepo lake la punyeto labda litolewe na Yesu mwenyewe na sio mchungaji tena 😆😆😆
 
tumepokea taarifa zako,kwa mujibu wa katiba Mimi Kama mhasibu mkuu wa chama tunaomba huko uendako umwagie ndani,ukimwagia nje tutakudai faini

MAKAO MAKUU
HOSPITAL YA DUNIA
CHATTO
sahihi:¥€¢¥%
 
Back
Top Bottom