Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Maombi ya kujivua uanachama CHAPUTA

Inabidi Makao makuu Chattle mtoe sheria ngumu kidogo Nyeto haipewI heshima inayostahili ndio maana watu wanaingia na kutoka wanavyojisikia. Hivyo ombi langu tuwe na sheria kama za ndoa ukijitoa unagawana mali nusu kwa nusu na makao makuu. Huu ni upumbavu unaopaswa kukemewa.

Nyeto Iheshimiwe
 
Inabidi Makao makuu Chattle mtoe sheria ngumu kidogo Nyeto haipewI heshima inayostahili ndio maana watu wanaingia na kutoka wanavyojisikia. Hivyo ombi langu tuwe na sheria kama za ndoa ukijitoa unagawana mali nusu kwa nusu na makao makuu. Huu ni upumbavu unaopaswa kukemewa.

Nyeto Iheshimiwe

[emoji23][emoji23]
 
Tunapendana tunafurahi, tukikutana tunajidai

Tuna vicheko, nikiwa na wanangu gheto tunafanya mpaka......
😉😉😉😉😉😉😉😉😉😉
 
Inabidi Makao makuu Chattle mtoe sheria ngumu kidogo Nyeto haipewI heshima inayostahili ndio maana watu wanaingia na kutoka wanavyojisikia. Hivyo ombi langu tuwe na sheria kama za ndoa ukijitoa unagawana mali nusu kwa nusu na makao makuu. Huu ni upumbavu unaopaswa kukemewa.

Nyeto Iheshimiwe
Mwenyekiti wetu wa CHAPUTA Ezekiel Mbaga
Njoo umjibu mjumbe
 
Ni huzuni Sana kwa chama kupoteza mwanachama mtiifu na mweledi kama wewe Mr Shadow7 lkn katika hili haliwez kuzui chama kuendelea kuwa imara


Mm kama mshauri wa chama cha CHAPUTA mr morg . Nakushauri Mr shadow umetoka chama lkn usikikejeli chma wala kukivunjia heshima yake umekuwa mtiifu kwa miaka mitano tumekulinda .Sisi kama wana chama watiifu tunaimani utarudi chama ww umetanga kujiuzulu kwa mda usio fahamika na kadi yako hujarudisha kila la kheri lkn mambo yakikushinda karibu chamani
 
Ni huzuni Sana kwa chama kupoteza mwanachama mtiifu na mweledi kama wewe Mr Shadow7 lkn katika hili haliwez kuzui chama kuendelea kuwa imara


Mm kama mshauri wa chama cha CHAPUTA mr morg . Nakushauri Mr shadow umetoka chama lkn usikikejeli chma wala kukivunjia heshima yake umekuwa mtiifu kwa miaka mitano tumekulinda .Sisi kama wana chama watiifu tunaimani utarudi chama ww umetanga kujiuzulu kwa mda usio fahamika na kadi yako hujarudisha kila la kheri lkn mambo yakikushinda karibu chamani
😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷 🙏
 
Yan kwamba makao makuu ya hiyo sijui CHAPUTA ni mkoani geita,chato.kha sasa ni kodi kiasi gani mnaingizia serikali ya maskini.
 
Ndugu mwenyekiti wa chama cha punyeto Tanzania [CHAPUTA], Makamu mwenyekiti CHAPUTA, Katibu mkuu CHAPUTA, Viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CHAPUTA, Mimi Shadow7 nikiwa na akili zangu timamu leo nimenuia kujivua uanachama wa CHAPUTA.

Dhumuni la kujivua uanachama ni kwamba nimepata mwenzi atayenikidhi kwenye haja zangu, Nashukuru kwa kua nanyi
miaka mitano mfululizo. Nilikua mwanachama mwema kabisa ila nimeona niwaachie vijana waendeleze chama chetu.

Natumai maombi yamefika.

Wenu katika chama,
Shadow7 [Mwanachama]
Je uo mwenzio uliempata. Kweli utaweza kumridhisha? Ukiwa nwanachama hai wa CHAPUTA wengi wenyu wabakabiliwa na matatizo ya kuwahi mapema. Hata hivyo usihofu Dawa ninazo....
 
Kadi Yako Imepokelewa Na Tumeitunza Kwa Records Zingine.

Ulikuwa Mwanachama Bora Na Kama Ilivyokuwa Desturi Ya Chama Chetu.

Utafika Makao Makuu Kupokea Mafao Yako Ya Miaka Mitano.

Tunakutakia Kila Kheri.

Mwenyekiti Wa Mapato CHAPUTA Taifa.
 
Back
Top Bottom