Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Inabidi Makao makuu Chattle mtoe sheria ngumu kidogo Nyeto haipewI heshima inayostahili ndio maana watu wanaingia na kutoka wanavyojisikia. Hivyo ombi langu tuwe na sheria kama za ndoa ukijitoa unagawana mali nusu kwa nusu na makao makuu. Huu ni upumbavu unaopaswa kukemewa.
Nyeto Iheshimiwe
Mtoa mada anazinguaNingeshangaa kama ningepita huu uzi nikukose mwenyekiti taifa... 🤣
Mwenyekiti wetu wa CHAPUTA Ezekiel MbagaInabidi Makao makuu Chattle mtoe sheria ngumu kidogo Nyeto haipewI heshima inayostahili ndio maana watu wanaingia na kutoka wanavyojisikia. Hivyo ombi langu tuwe na sheria kama za ndoa ukijitoa unagawana mali nusu kwa nusu na makao makuu. Huu ni upumbavu unaopaswa kukemewa.
Nyeto Iheshimiwe
😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷 😷 🙏Ni huzuni Sana kwa chama kupoteza mwanachama mtiifu na mweledi kama wewe Mr Shadow7 lkn katika hili haliwez kuzui chama kuendelea kuwa imara
Mm kama mshauri wa chama cha CHAPUTA mr morg . Nakushauri Mr shadow umetoka chama lkn usikikejeli chma wala kukivunjia heshima yake umekuwa mtiifu kwa miaka mitano tumekulinda .Sisi kama wana chama watiifu tunaimani utarudi chama ww umetanga kujiuzulu kwa mda usio fahamika na kadi yako hujarudisha kila la kheri lkn mambo yakikushinda karibu chamani
Vaseline petrolium jelly haina mpinzani..Pitia hapo dirishani kwa mhasibu kuna zawadi yako tumekuandalia kwa kutambua mchango wako uliotukuka katika chama tumekuzawadia boxi mbili za sabuni ya jamaa, Vaseline catoni moja na loshen ya Nivea chupa sita. Utakua unapasha kiporo siku mojamoja. Kila la heri.
Je uo mwenzio uliempata. Kweli utaweza kumridhisha? Ukiwa nwanachama hai wa CHAPUTA wengi wenyu wabakabiliwa na matatizo ya kuwahi mapema. Hata hivyo usihofu Dawa ninazo....Ndugu mwenyekiti wa chama cha punyeto Tanzania [CHAPUTA], Makamu mwenyekiti CHAPUTA, Katibu mkuu CHAPUTA, Viongozi mbalimbali pamoja na wanachama wa CHAPUTA, Mimi Shadow7 nikiwa na akili zangu timamu leo nimenuia kujivua uanachama wa CHAPUTA.
Dhumuni la kujivua uanachama ni kwamba nimepata mwenzi atayenikidhi kwenye haja zangu, Nashukuru kwa kua nanyi
miaka mitano mfululizo. Nilikua mwanachama mwema kabisa ila nimeona niwaachie vijana waendeleze chama chetu.
Natumai maombi yamefika.
Wenu katika chama,
Shadow7 [Mwanachama]
We nuna tu ila ndo hivyo nakupa siku utarudi tu HOME [emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄 🙄
Hivi hivi hutoki Haki[emoji16][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kutokufuta majina ndiko kunawafanya warudi.
Hili lichama kutoka huko lazima upite kwa walokole wakuombee kwanza