Maombi yatawala nyumbani kwa Lulu

Hivi hakuna kaujanja cha kulikisha hukumu, ili ujiandae hata kisaikolojia
 
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?
Usimhukumu san mkuu tumwache Mungu atatenda haki
 
Hiki kikombe hakimuepuki lazima akinywe kulipa dharau aliyoonyesha kwa mama kanumba,hamna hamna miaka mitatu jela.
 
Tukumbuke Mungu hajibu baada ya sisi kum_preempty afanye tunavhotaka. Yesu aliomba had jasho la damu lakini bado alisulubiwa, Ayubu alijivika magunia na majivu lakini bado aliteseka. Mawazo ya Mungu si sawa na ya wanadamu
 
Kwa kifupi ni kwamba anatakiwa akae kwenye maombi ya toba!
Toba ya kilichotokea,kilichofingua mlango wa yy kuhusika na hilo tukio ! Toba tu ndo itamtoa!

Ss sijui km ana huu ufahamu,hapo kukemea ,kukataa,kubatilisha wala hakutamtoa zaidi ya toba!
 
Kama kweli hakuhusika kwy kilichomtokea Kanumba she will be safe,hila kama ndy chanzo cha kifo....hata mahakama ikisema yupo huru hana hatia KARMA haita muacha salama....ile DAMU ya Kanumba itamfuata kwy maisha yake na kizazi chake,ndy anaweza kuja kukuta mumewe au mtoto wake nae anakufa kwy mazingira kama hayo ya Kanumba nk nk!
 
Kwa kifupi ni kwamba anatakiwa akae kwenye maombi ya toba!
Toba ya kilichotokea,kilichofingua mlango wa yy kuhusika na hilo tukio ! Toba tu ndo itamtoa!

Ss sijui km ana huu ufahamu,hapo kukemea ,kukataa,kubatilisha wala hakutamtoa zaidi ya toba!
Kwa muongozo anapaswa asome kitabu cha Zaburi 51
 
Amechelewa hawezi kubadilisha hikumu wakati ushahidi ulishatolewa,ushahidi ndiyo hukumu yenyewe angeomna zaidi mwanzo siyo mwishoni
 
Chechela aka Segedansi aka nondo aka gereza aka inside aka ndete aka lupango ,amebakiza siku mbili tu uraiani tarehe 13 ataanza kula maharage ya jela.
 
Mungu hachezewi,ukiwa huna shida humjui unamjua ukiwa na shida?Maombi yapi na ukahaba ule anaofanyaga?Kwanza si alitangaza kuokoka kipindi ametoka mahabusu?Mbona hakuonyesha kuendelea?
Sikuja kuwaita watu wema, bali wenye dhambi ili wapate kutubu.

Tukiwapenda wanaopendeka twafanya ziada gani, wapendeni waombeni wanaowaudhi...
Baba yenu wa mbinguni atawapa thawabu...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…