Maombi yenu jamani, nafasi za ualimu ni janga.

Maombi yenu jamani, nafasi za ualimu ni janga.

Madibira 1

JF-Expert Member
Joined
Jan 6, 2023
Posts
358
Reaction score
831
Mwezi huu tangazo la nafasi za kazi lilitolewa na dirisha kufungiliwa. Nilichangamkia. Lakini Leo wakati tukielekea mwishoni mwa zoezi nimetembelea account yangu. Shule yenye ushindani mkubwa tupo 1500+ na nafasi inayotakiwa ni Moja!. Shule yenye ushindani mdogo tupo 200+ nafasi inayotakiwa ni Moja.
Kwa Hali hii niombe tushirikiane kuomba na kutafutiana connection tu maana Kwa uwezo wangu sitoboi.
 

Attachments

  • Screenshot_20230424-185647_1.jpg
    Screenshot_20230424-185647_1.jpg
    17 KB · Views: 15
Ni kweli mkuu Kuna shule mwaka Jana iliwekwa kuwa inatakiwa mwalimu mmoja lakini mwaka huu pia lipo vile vile
Ili ujue uhuni upo na unafanyika Kwa viwango vya juu hakuna atakayechukuliwa kwenye nafasi hiyo 1. Nimekaa pale.
 
Kweli maisha yanakwenda kasi Tanzania, ajira za ualimu middle class wanalalama nazo, wakati kuna nchi hapa kusini bado zinasaka waalimu, nini tumekikosea kama nchi?,kipindi nchi bado ina heshima na adabu, unasomea ualimu unalipwa kichele cha ths 120 kwa mwezi, nauli unalipiwa, na ukimaliza diploma yako na kituo cha kazi umeshapangiwa!,mbona nchi za wenzetu bado wanayo haya ,sisi tulipotea wapi?,Mwalimu wa English literature kuna nafasi kibao kule Far East kufundisha kiingereza why uhangaike na viajira hivi?
 
Kweli maisha yanakwenda kasi Tanzania, ajira za ualimu middle class wanalalama nazo, wakati kuna nchi hapa kusini bado zinasaka waalimu, nini tumekikosea kama nchi?,kipindi nchi bado ina heshima na adabu, unasomea ualimu unalipwa kichele cha ths 120 kwa mwezi, nauli unalipiwa, na ukimaliza diploma yako na kituo cha kazi umeshapangiwa!,mbona nchi za wenzetu bado wanayo haya ,sisi tulipotea wapi?,Mwalimu wa English literature kuna nafasi kibao kule Far East kufundisha kiingereza why uhangaike na viajira hivi?
Jiwe Aliharibu sana awamu yake enzi za kikwete wote waliajiriwa pia vyuo vikuu wanafunzi wanaosomea ualimu Huwa ni wengi. Na kiuhalisia nchi yetu bado Ina uhaba wa waalimu na madaktari sema ndio hivo akili ziko limited na hela za kuajiri
 
Mazi
Kweli maisha yanakwenda kasi Tanzania, ajira za ualimu middle class wanalalama nazo, wakati kuna nchi hapa kusini bado zinasaka waalimu, nini tumekikosea kama nchi?,kipindi nchi bado ina heshima na adabu, unasomea ualimu unalipwa kichele cha ths 120 kwa mwezi, nauli unalipiwa, na ukimaliza diploma yako na kituo cha kazi umeshapangiwa!,mbona nchi

Kuna anayeruhusu mfumo ufanye maovu
Kama nchi Kuna mahala tumepita ambapo sio salama katika suala Zima la ajira. Tuzidi kuombeana katika hili kwanza
 
Jiwe Aliharibu sana awamu yake enzi za kikwete wote waliajiriwa pia vyuo vikuu wanafunzi wanaosomea ualimu Huwa ni wengi. Na kiuhalisia nchi yetu bado Ina uhaba wa waalimu na madaktari sema ndio hivo akili ziko limited na hela za kuajiri
Exactly why waalimu wasipate ajira wakati hata ripoti ya mkaguzi mkuu wa serikali ameliongelea hili?,na why serikali ya CCM ikaamua to dilute elimu ya vyuo vya ualimu kwa kuingiza siasa?,kipindi cha heshima na adabu vyuo vya ualimu vilipewa majukumu maalumu, Mkwawa CNE kutuletea high quality wa waalimu wa science kwa secondary&primary school, Marangu CNE waalimu wa kiingereza ,sasa what's went wrong mpaka to ka https://jamii.app/JFUserGuide up mfumo huu kabla ya kuuendeleza?,UCT ni chuo bora Africa kwa sababu kuna continuation ya standard, why kwetu ni mess tu?,na tunaishia kulalama tu eti ratio ya ajira 1:1500!!,mwalimu hasa wa English literature, chukua passport na spread your wings, nenda Thailand, Vietnam, China huko nafasi zenu zipo nyingi tu, kama sio risk takers your going to die trying
 
Back
Top Bottom