Maombi yenu jamani, nafasi za ualimu ni janga.

Unao
Unaongea mambo kirahisi sana mkuu.iyo nauli,hela ya visa na hela ya kusambaza CV nchi za watu unazitoa wap?
 
Unao

Unaongea mambo kirahisi sana mkuu.iyo nauli,hela ya visa na hela ya kusambaza CV nchi za watu unazitoa wap?
Endelea kusubiria hayo mkuu na utaletewa in a golden plate, hivi huwaoni wahabeshi wakijipakia ndani ya tankers malori kwenda SA ?,nenda kaanzie Lesotho au Swaziland 🇸🇿 kuichanga nauli
 
Unatokaje na deni la loan board?
 
Wenzenu wajanja wameomba vijijini huko, mikoa ya mbali, ili mradi kupata fursa, ungejua kabla ya kuomba ungeomba ushauri hapa kwanza, wengi wakiharibu ndio wanasema humu.
 
Wenzenu wajanja wameomba vijijini huko, mikoa ya mbali, ili mradi kupata fursa, ungejua kabla ya kuomba ungeomba ushauri hapa kwanza, wengi wakiharibu ndio wanasema humu.
Sahihi shule mpwapwa huko Hadi leo waombaji wako watu 20
 
Sahihi shule mpwapwa huko Hadi leo waombaji wako watu 20
Una hoja ningekuwa Mimi mwalimu naomba hata huko namanyele makalion mwa Tanzania au huko visiwani kikubwa kupata nafasi na kupinguza competition Sasa wote wanataka mjini
 
Kigoma kasulu kuna shule jana walikuwa 4 phyisic

Tabora kuna shule jana walikuwa 8 mathematics

Alafu mwanza ilemela walikuwa 423 Bios

English kwa uchache niliona 600+

[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Una hoja ningekuwa Mimi mwalimu naomba hata huko namanyele makalion mwa Tanzania au huko visiwani kikubwa kupata nafasi na kupinguza competition Sasa wote wanataka mjini
Hadi Jana wanafunga Dirisha huko mpwapw wameomba watu 20 tu baadhi wamefika 120
 
Wenzenu wajanja wameomba vijijini huko, mikoa ya mbali, ili mradi kupata fursa, ungejua kabla ya kuomba ungeomba ushauri hapa kwanza, wengi wakiharibu ndio wanasema humu.
Kuwa wachache sio guarantee ya kupata, kuna vigezo vinazingatiwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…