Chrismoris
JF-Expert Member
- Oct 27, 2017
- 14,113
- 17,645
Mmmmh!!! Ngoja nitafute picha / video,ukishaona mwanaume anajihusisha na mitindi/ fashion basi kuna 90% anaweza akawa punga/ chakulaYule mtoto hajitambui, we mwanamme gani anavaa chupi za kike? Wewe unaweza vaa bikini ukawaringishia wanawake? Basi mwenzako Martin anafanya haya.
Ulipata kipigo cha mbwa koko?Sitakuja kulala kwa mwanamke kwa yaliyonikuta
Mmmmh!!! Ngoja nitafute picha / video,ukishaona mwanaume anajihusisha na mitindi/ fashion basi kuna 90% anaweza akawa punga/ chakula
Hahahahahaha, we muthenge sana jamaa...kwamba mchizi atachimbwa mtaro wa masaburi sioUmebeba KY au utazikuta huko huko?.
Leo utatolewa marinda.
Sitakuja kulala kwa mwanamke kwa yaliyonikuta
Ameen. Usiikatishe safari yangu tafadhali. Ntakufungia tu safari.
tupe mrejesho sasaHahahhah
Kasie wangu;Kuhusu huu uzi, nimesoma comment kadhaa za wanaume ila asilimia kubwa wanaongelea kufiraa iwapo ni tukio la kufumania. Kwanini wanaume huwa mnawaza kuharibiana sehemu ya haja kubwa iwapo mtakuta mwanamke wako yukona mwanaume mwingine? Kwanini isiwe kupigana ndondi ili atayeshinda ndo anaondoka na mwanamke?
Huwa sielewi kabisaaa....
Kitakwimu wanawake wako wengi kuliko wanaume, sasa mkizidi kupunguza idadi ya wanaume kwa kuharibuana wenyewe kwa wenyewe (mnaongeza idadi ya mashoga).... Basi mjue idadi ya wanawake inazidi kuwa kubwa na mtaanza kutawaliwa na wanawake muda si mrefu.
In Howe's voice... "Watch Out".
Kasie wangu;
wanadamu wengi wana akili mandazi kwasababu wanapenda " kutengeneza kwa kuharibu"
ninamaanisha mtu aliyeumizwa moyo ili angalau ajisikie nafuu rohoni anamharibia mwingine zaidi.
lakini huwa tunajiuliza haya??;-
1. imekuwaje mke mwenye mume akubali kukulwa na mwingine?
2. je mwenye kosa ni mgoni au mke ambaye anajua ameolewa na akagawa kwa mwingine?
mimi ninaamini wakuadhibiwa zaidi ni mke kwani ndiye mwenye dhamana ya kutunza kiapo.
Kuhusu huu uzi, nimesoma comment kadhaa za wanaume ila asilimia kubwa wanaongelea kufiraa iwapo ni tukio la kufumania. Kwanini wanaume huwa mnawaza kuharibiana sehemu ya haja kubwa iwapo mtakuta mwanamke wako yukona mwanaume mwingine? Kwanini isiwe kupigana ndondi ili atayeshinda ndo anaondoka na mwanamke?
Huwa sielewi kabisaaa....
Kitakwimu wanawake wako wengi kuliko wanaume, sasa mkizidi kupunguza idadi ya wanaume kwa kuharibuana wenyewe kwa wenyewe (mnaongeza idadi ya mashoga).... Basi mjue idadi ya wanawake inazidi kuwa kubwa na mtaanza kutawaliwa na wanawake muda si mrefu.
In Jiwe's voice... "Watch Out".
Hahahahahhaaa Sam unawapa watu wivu ujue... Kila wanavotusoma hapa wivu unawapanda. Usisababishe wakanitupia zengwe buree Kasie wa watu.
Utakuja SA? Naanzaje kuikatisha hiyo safari sasa? Nakusubiri kwa hamuu.
Wakati nasoma ujumbe wako huu wimbo ukanijia.....
Usiende mbali namii mimi bado nakupenda. Usiondoke mbali namii mimi bado nakupenda.... By JN.
Ooh hongera mnoo
Tungefuata huu ushauri, majela, polisi, mahakama, sijui mapaparazi wote hao wangetafutiwa kazi nyingine.
Natofautiana kidogo na wewe hapo tu kwenye kupigana mpenzi, hata nikiwakuta hakuna haja ya kugombana, ni kuondoka tu taratibu huku unaimba wimbo wa Lucky Dube, Its not easy...ukifika mahali ukitulia unashushia na ule wa Nitapona mdogomdogo wa Nandy. Maisha yanaendelea.
Ujue hadi mtu kufikia hatua ya kuwa na mtu mwingine, kimsingi kuna tatizo. Sasa hata nikilazimisha au kudundana, bado hairejeshi upungufu uliojitokeza. Dawa nzuri hata kwenye ugomvi au majadiliano ya jazba ni kunyamaza, lakini sio kila mtu anaweza hilo.
Sasa kwa hizi comment, wengi wanaoongelea kuharibu wanaume wenzao, si watakua wahalifu kuliko hata hao wanaochepuka?
Hizi busara zako ndio huwa zinanikosha mie Samaritan. Uko vizuri Kasie