Kasie
Platinum Member
- Dec 29, 2013
- 22,379
- 41,294
Basi acha nipunguze wasije kukupiga kipapai ikawa tabu, manake kuna watu mafundi wa zengwe wasije kukuundia kamati ya semina elekezi.
Lakini wajue hata nisipoandika mistari hapa, uko ndani kabisa kumoyo.
Yaalaah yarabi tupe salama.
Hapo pa kumoyo pamenipa tulizo...
Basi twende mdogo mdogo bin kimya kimya.