William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,400
FMES
ninasema hivi Rais kwenda mpira wa timu ya taifa wakati wa maombolezo ya taifa hakuvunja sheria, kama unaijua sheria aliyoivunja iweke hapa,
Mkuu FMES,
Sometimes your arrogance startles! Hakuna mahali niliposoma uliposolewa ama hoja yako kupingwa na kukubali! There are people who know better/more than you can imagine. Anyway peace! Pamoja na ubishi wako naiheshimu michango yako!
- Incredible!Boramaisha
FMEs,
Hakuna anayebisha kwamba hakuna sheria inayomlazimisha Rais kwenda ama kutokwenda mpirani. Nilichofanya nikutoa mawazo yangu kuhusu suala la Rais kukubali kwenda mpirani na suala la kupangiwa Ratiba, kuifuata jinsi ilivyo na kwamba hawezi kuikataa ama kuibadilisha. Hiyo ndiyo hoja yako au labda ni sub-hoja ambayo mimi nimeipinga.
You are lucky to be a 'great thinker' but at the end of it all this is just a 'discussion forum' nothing spectacular.
Peace!
FMEs!