Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,771
- 41,027
- Thread starter
- #41
una kikwetephobia? taarifa Rais hapew uwanjani. Taarifa hii ya Nujoma imeletwa toka jumapili na mimi nimesikia ikisomwa taarifa ya habari ya TBC Taifa juzi juaa mbili usiku.Mechi ilikuwa leo
sasa kama imetolewa jumapili ina maana gani? Haibadilishi ukweli kuwa amefanya timing mbaya. Sasa leo kama kuna watu wengine wametoa salamu zao alizipokea au zinasubiri hadi arudi in "maombolezo mode" hapo kesho!?