KAKA MWANAKIJIJI
Naelewa kuwa unajua kwa WAISLAMU msiba unamalizika pale tu maiti inapozikwa. MIMI nahisi kuwa wamemshelewesha sana kwenda kumzika kwa ajili ya kuomboleza. Kwa waislamu siku mbili ni nyingi sana kukaa na maiti na hiyo inatosha
Zilizobaki ni formality tu za serikali. kwa familia ni hadi watakapo soma arubaini. kwa hapo mzee sikuuingi mkono.
maziko yameisha na maisha yaendelee kama kawaida. PERIOD:
Naelewa kuwa unajua kwa WAISLAMU msiba unamalizika pale tu maiti inapozikwa. MIMI nahisi kuwa wamemshelewesha sana kwenda kumzika kwa ajili ya kuomboleza. Kwa waislamu siku mbili ni nyingi sana kukaa na maiti na hiyo inatosha
Zilizobaki ni formality tu za serikali. kwa familia ni hadi watakapo soma arubaini. kwa hapo mzee sikuuingi mkono.
maziko yameisha na maisha yaendelee kama kawaida. PERIOD: