Ishu sio nyimbo ,ishu ni why Ali Kiba?!!na sio msanii wao!!?Ndio kiherehere cha kukurupuka haya sasa walaumuni CAF. Mmezoea kulalamika.
Una uhakika kweli Caf Ndio wameuchagua huo wimbo?Aliyekurupuka ni wewe kumlaumu Kiba wakati choice ya nyimbo iliombwa na CAF. Hujaelewa hata nilichoandika. Poor soul.
Msanii siku zote ni msanii siwezi kumuamini labda kama ningesikia kutoka caf wenyeweYes according to Ali Kiba.Una ushahidi wa kupinga maneno yake.
Halafu akapata nini?Lakini alishinda away
Mondi kaperform tuzo za award za mchezaji bora wa Africa aliyochukua Mane, kaperform big brother Africa, kafanya show kwenye ufunguzi wa michuano ya Africa Afcon na hivi karibuni kachaguliwa kuperform tuzo za Trace Award itakayofanyika ufaransa
🤣🤣🤣🤣Sema bora wangempandisha zuchu angemwimbia raisi wa FIFA honey alafu anze kumkatikia mibuno, wageni wange enjoy sana.
Mlifata medali kule?Medal
Sanaaaaaaaaaaaaaa[emoji109]Kwa kifupu mshikaji wenu kazingua snaa