Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.

Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.

Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Kiukweli alipoingia Kiba nilipokuwa nimekaa nikasimama walau nimpe sampoti King , ila nilijikuta kwenye mfadhaiko wa nafsi kuona wimbo unaoimbwa hauendani na tulipo , mimi kusimama kote nilitaka kusikia ule wimbo wa toka zamani .

Ajabu , kaka Kiba kaimba kawimbo kakijinga then katokomea huko niliumia sana ila nikaja kufuruhishwa na infatino kwa lile neno , Simba nguvu moya .[emoji3][emoji3]

Mkuu Labani og kwa hili sikupingi kajamaa kalipuyanga sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
 
Kiukweli alipoingia Kiba nilipokuwa nimekaa nikasimama walau nimpe sampoti King , ila nilijikuta kwenye mfadhaiko wa nafsi kuona wimbo unaoimbwa hauendani na tulipo , mimi kusimama kote nilitaka kusikia ule wimbo wa toka zamani .

Ajabu , kaka Kiba kaimba kawimbo kakijinga then katokomea huko niliumia sana ila nikaja kufuruhishwa na infatino kwa lile neno , Simba nguvu moya .[emoji3][emoji3]

Mkuu Labani og kwa hili sikupingi kajamaa kalipuyanga sana .

Sent from my SM-J410F using JamiiForums mobile app
Kabisa mkuu...kiba ni msanii mkali....ila ubunifu 3%
 
It's a matter of fact ..... Alikiba wasn't a right person to that event....
Kiingereza cha darasa la ngapi?Ali Kiba wasn't (a)right person to (that) event.
Ficha ujinga wako.Unatafuta umaarufu huku uwezo huna.Hata kiingereza cha darasa la saba kinakushinda.Halafu aliyekusudiwa kuburudishwa kwa kiswahili kwenye hiyo sherehe ni Rais wa FIFA?
 
Kiingereza cha darasa la ngapi?Ali Kiba wasn't (a)right person to (that) event.
Ficha ujinga wako.Unatafuta umaarufu huku uwezo huna.Hata kiingereza cha darasa la saba kinakushinda.Halafu aliyekusudiwa kuburudishwa kwa kiswahili kwenye hiyo sherehe ni Rais wa FIFA?
Kunywa maji mengi
 
Back
Top Bottom