Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Maoni: Alikiba hakuendana na ukubwa wa sherehe

Na kasoro jana ilikuwa nini?
Kwakuwa your fav hakuwepo au Shida nini?.
Kuperform mbele ya watu 60k sio sawa na kufanya shoo Dar live.
Kati ya performance mbovu kuwahi kufanyika kwenye matamasha ya Mpira Bongo hii la mondi ni namba moja.
Ufike wakati watu tuwe na fikra huru.
Mimi aina team, Kiba ni msanii mzuri lakini hana amsha amsha zinazoendana na tukio kama lile la jana ambalo lilihitaji hamasa kubwa kuashiria kufana kwa ufunguzi.
 
Ufike wakati watu tuwe na fikra huru.
Mimi aina team, Kiba ni msanii mzuri lakini hana amsha amsha zinazoendana na tukio kama lile la jana ambalo lilihitaji hamasa kubwa kuashiria kufana kwa ufunguzi.
Kosa la kwanza ulilolifanya ni kudhani fikra zangu hazipo huru. ( ondoa hii nadharia afu tutaelewana vizuri tu).
Kati ya Simba day za Hovyo kuwahi kutokea ni ambayo Diamond aliperform.
Hizo unazoziita amsha amsha ndio zilifanya performance iwe mbaya......
Uwanja ule ni mkubwa huwezi kuutawala kwa Mavurugu, ukiuendea kwa pupa utakutia aibu.
Diamond aliishia kukimbia kwenye running track kama Mwehu badala ya kuperform.

Wakati unanitaka mimi niwe na fikra huru, umesahau kuwa wewe ndio uko biased.
1.Kiba ana maringo, so maringo yake ( kama anayo) yanawahusu nini watu walioenda uwanjani?
2. Umeshindwa kuonyesha ni namna gani Ali kiba ameliangusha tamasha la jana ( Tamasha bora la mpira kuwahi kufanyika Tanzania ).

Kingine wakati, unasema Kiba ana maringo ni vyema mkamkumbusha mondi kuchunga mdomo wake, na kuelewa nafasi yake kwenye jamii.
Asidhani alivyo na "zombie " fans kwenye muziki basi ana hiyo influence kwenye Mpira.
Wakati diamond na Familia yake wanashirikiana na Manara kutaka kumfitinisha Mo na mashabiki wa Simba alitakiwa aelewe kuna Kesho, na huyo Manara hana uwezo wa kumfikisha Popote.
 
Mondi kaperform tuzo za award za mchezaji bora wa Africa aliyochukua Mane, kaperform big brother Africa, kafanya show kwenye ufunguzi wa michuano ya Africa Afcon na hivi karibuni kachaguliwa kuperform tuzo za Trace Award itakayofanyika ufaransa
 
Tatizo mnaichukua picha ya davido mnaiweka kwa kiba.

Nilikua naangalia game jana, Kuna jamaa mmoja alikua anamlaumu baleke, nikakuambia tatizo unaichukua picha ya haaland unaiweka kwa baleke.

Kuna vitu lazima tukubali watu huzidiana, kiba amejitahidi lakini kama ulikua unataka zaidi ya pale basi muachiw kiba picha yake yeye kama yeye
 
Jana nimecheka sana yaani kuna Rais wa FIFA, CAF na legendary Wenger then anakuja msanii Alikiba anaimba wimbo wa mke wa mtu sumu! [emoji23][emoji23] Ama kweli uongozi wa Simba kama alivyosema rage ni Mbumbumbu.

Haileti sense kwenye sherehe kubwa unaimba wimbo ule, ni kama unawafokea viongozi, na mashabiki, that's why nilitoka uwanjani kwa hasira sana.

Pale ilibidi isikike neno "We zombie" Simba la Simba chibu dangote "Shu", ama kweli Pengo la Diamond na Harmonize limeonekana jana kwa Mkapa.
Mambo ni itifaki mkuu...pale c leaders club acha kukariri...kama unaish mjii dar na bdo huelewi mqmbo ya itifaki fanya urudi kijijin kuendelea na kilimo Cha maboga
 
Mambo ni itifaki mkuu...pale c leaders club acha kukariri...kama unaish mjii dar na bdo huelewi mqmbo ya itifaki fanya urudi kijijin kuendelea na kilimo Cha maboga
Sipo dar mkuu
 
Back
Top Bottom